Natumia Biblia kutatua changamoto

Natumia Biblia kutatua changamoto

### ukiwa safarini ####

Bible code number 29:- LESE LESE LESE TEKELI
Kazi yake;- Mungu kukulinda katika safari
(Matendo ya mitume 27:1-44, 28:1-16)
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo-moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 5 ukiwa kwenye safari na ukiendelea ni vizuri pia (kwa siri abiria mwenzako asijue) kwa imani na msisitizo ukiwa safarini
(Majina yako matatu-na sehemu unayoenda-unatamka mara tatu tu)(unatamka bible code angalau dakika 5 ukiwa kwenye safari na ukiendelea ni vizuri pia)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 5 ukiwa kwenye safari na ukiendelea ni vizuri pia (kwa siri abiria mwenzako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka atakapo-fika
(Majina matatu unayemuombea-sehemu anayoenda-unatamka mara tatu tu)(unatamka bible code angalau dakika 5 akiwa kwenye safari na ukiendelea ni vizuri pia)

Wacha kumtania Mungu ,yaani , Lese lese Tekeli eti Mungu akulinde na safari, hiyo ni lugha gani ?? Au lugha hiyo mnatumia Manzese uwanja wa fisi
 
Ila mwamba unajitoa ufahamu ameshakuambua ameku-ignore ila unaendelea kucoment haoni huu upupu unaocoment
Unafikiri hasomi, ??? ukweli unamuuma anayejitoa ufahamu ni Bwana wa Makodi Kama vile alishirikiana na waandishi wa Biblia. Anatoa Kodi Kama vile Yesu alimuagiza hayo maneno yake ya uongo ,mara Tesi mara Tuhu huuuu uongo mtupu , inasikitisha na wewe unauamini huu uongo au mnavuta bangi pamoja ?
Bangi mbaya kijana
 
Unafikiri hasomi, ??? ukweli unamuuma anayejitoa ufahamu ni Bwana wa Makodi Kama vile alishirikiana na waandishi wa Biblia. Anatoa Kodi Kama vile Yesu alimuagiza hayo maneno yake ya uongo ,mara Tesi mara Tuhu huuuu uongo mtupu , inasikitisha na wewe unauamini huu uongo au mnavuta bangi pamoja ?
Bangi mbaya kijana
Bro muachie Mungu amjaji na mda utaongea
Mbona kama jambo analofanya linakuumiza sana
unashida mahali

Mihata kama anachofanya ni uongo siwezi umia sababu sinampango wa kutumia na hakuna baya alilonifanyia kwanini nichukie anachofanya
Unachofanya ni personal attack alafu hata humjui kitu ambacho sio tunda la rohoni bali ni uwivu na chuki ndo vinakusumbua
 
Unafikiri hasomi, ??? ukweli unamuuma anayejitoa ufahamu ni Bwana wa Makodi Kama vile alishirikiana na waandishi wa Biblia. Anatoa Kodi Kama vile Yesu alimuagiza hayo maneno yake ya uongo ,mara Tesi mara Tuhu huuuu uongo mtupu , inasikitisha na wewe unauamini huu uongo au mnavuta bangi pamoja ?
Bangi mbaya kijana
Anachofanya kinaweza kawa ni uongo lakin kwanini unatamtuhumu kwa tuhuma za uongo kama amekufanyia kitu kibaya sana mara tapeli, mvuta bangi yaani una-muattack binafsi kama unamjua sio ustaarabu,
attack content yake anayoituma sio personality unapoelekea unaenda kumtukania mpaka wazazi wake

hakuna hata mtu mmoja anayekussuport katika viewers elfu 19 huoni kama unashida; unatumia nguvu kubwa sana kumuondelea credibility alafu hakuna anayekusupport

Kama angekua ni mtu mbaya tungeona malalamiko huku kutoka kwa watu lakin hatuoni zaidi ya wewe ambayo kibinidamu wewe ndo unashida

Na unapataje uchungu kwa jambo ambalo umeshajidhihirisha ni uongo mtu kuleta uzi wa uongo sio tiketi ya kumdhalilisha na kumtukana kama unamjua huku humjui; huku jamiiforum nyuzi nyingi sana ni za uongo
 
Bro muachie Mungu amjaji na mda utaongea
Mbona kama jambo analofanya linakuumiza sana
unashida mahali

Mihata kama anachofanya ni uongo siwezi umia sababu sinampango wa kutumia na hakuna baya alilonifanyia kwanini nichukie anachofanya
Unachofanya ni personal attack alafu hata humjui kitu ambacho sio tunda la rohoni bali ni uwivu na chuki ndo vinakusumbua

Kwani nimesema mimi nam jaji ?? kwa nini mtu aeleze uongo tumezee tutamwanika tu
 
Kwani nimesema mimi nam jaji ?? kwa nini mtu aeleze uongo tumezee tutamwanika tu
Usiattack personality yake kwa tuhuma za uongo ambazo wewe umeshindwa kuthibitisha hata moja hiyo ni chuki unarushiwa kupinga ila jikite kwenye content anayopost huku na sio personality yake

Hii dunia kuna-kuagree na ku-disagree ndo maana kuna waislamu wanaoamini mafundisho ya wakristo ni uongo yao ni bora, kuna wasabato wanaamini wakatiliki wanepotoka kwa hiyo ni kawaida kwa mtu kutokuamini kile mtu mwingine anachoamini

HatuweI fanana kwenye kufikiri na mitazamo na hii inafanya maisha ya dunia kua excited ndo maana ndani ya ukristo kuna madhehebu zaidi ya 1000 na kila mmoja anaamini ni bora kuliko mwenzake lakin wanaheshimiana despite their difference
 
Kwani nimesema mimi nam jaji ?? kwa nini mtu aeleze uongo tumezee tutamwanika tu
Biblia ni moja ila kuna madhehebu zaidi ya elfu moja kwenye ukristo na yanazidi kuongezeka ulishajiulizaga hili swali na kila dhehebu linaamini ni bora kuliko mengine na mengine yanawaponda wengine wamepotoka jibu ni kwamba biblia ni moja ila kila mtu anaelewa kivyake na hii ni moja ya utukufu wa Mungu

Huna unachoanika zaidi ya kumtukana binafsi na kudhalilisha utu wake
 
Biblia ni moja ila kuna madhehebu zaidi ya elfu moja kwenye ukristo na yanazidi kuongezeka ulishajiulizaga hili swali na kila dhehebu linaamini ni bora kuliko mengine na mengine yanawaponda wengine wamepotoka jibu ni kwamba biblia ni moja ila kila mtu anaelewa kivyake na hii ni moja ya utukufu wa Mungu

Huna unachoanika zaidi ya kumtukana binafsi na kudhalilisha utu wake

Biblia Si moja yaani unaniambia Queen James na King James version na Satanic Bible zote ni sawa??
 
Kama sio moja kwanini una-muattack personality mleta uzi je kama anatumia biblia yake

MIMI NAONGEA NA WEWE

aliyesema biblia zote ni sawa na hujajibu swali jee unakubali biblia za Queen james Version , King James version , Satanic Bible zote ni sawa

anza kujibu hilo swali please
 
MIMI NAONGEA NA WEWE

aliyesema biblia zote ni sawa na hujajibu swali jee unakubali biblia za Queen james Version , King James version , Satanic Bible zote ni sawa

anza kujibu hilo swali please
Swala sio kuongea na mimi mkuu
Wewe mwenyewe umesema Biblia ni tofauti alafu unamtukana mleta uzi hapo kichwani kwako kuna shida kubwa sana

Inamaana mleta uzi anatumia biblia yake ambayo wewe umekubali ziko tofauti sasa unamtukana na kumdhalilisha utu wake mambo mengine ya hovyo sana
 
Biblia umesema ni tofauti alafu unamtukana mleta uzi hapo kichwani kwako kuna shida sana

Ndio umejibu swali ???

Aliyesema biblia zote ni sawa ni wewe , na hujajibu swali,

jee unakubali biblia za Queen james Version , King James version , Satanic Bible zote ni sawa ???

Anza kujibu hilo swali please
 
Ndio umejibu swali ???

Aliyesema biblia zote ni sawa ni wewe , na hujajibu swali,

jee unakubali biblia za Queen james Version , King James version , Satanic Bible zote ni sawa ???

Anza kujibu hilo swali please
Siwezi jibu ujinga tunabishana kwa sababu ya uzi wa mtu mwingine ndo sababu ya sisi kubishana

We endelea kumtukana mleta uzi kwa kumuita mwizi, tapeli na mvuta bangi
Mtu yeyote akisoma hizi coversation kati yangu na wewe anaona kabisa tatizo liko kwako
 
Siwezi jibu ujinga tunabishana kwa sababu ya uzi wa mtu mwingine ndo sababu ya sisi kubishana

We endelea kumtukana mleta uzi kwa kumuita mwizi, tapeli na mvuta bangi
Mtu yeyote akisoma hizi coversation kati yangu na wewe anaona kabisa tatizo liko kwako

Najuwa huwezi kujibu unaogopa aibu , maana unajuwa hizo biblia si sawa

Hata hizi unazodanganyia kwa kuleta upuuzi wa kodi nazo haziko sawa ziko tofauti



All versions are not saying the same thing!

This chart is by no means complete.


Most Christians recognize the New World Translation (NWT - Jehovah'sWitness Bible) for the corrupt work it is. What most Christians don't recognize isthe same corruption in their own "Christian" bibles!



AV (King James)New InternationalNew American StandardNew World Translation
Hos 11:12…but Judah yet ruleth with God, and is faithful with the saints.Judah is unruly against God, even against the faithful Holy One.Judah is also unruly against God, even against the Holy One who is faithful.Judah is yet roaming with God, and with the Most Holy One he is trustworthy.
Mt 9:13for I am not come to call the righteous, but sinners to repentance.For I have not come to call the righteous, but sinners.For I did not come to call the righteous, but sinners.For I came to call, not righteous people, but sinners.
Mt 18:11​
For the Son of man is come to save that which was lost.​
OMITTED​
footnote casts doubt​
OMITTED​
Mt 19:17Why callest thou me good? "Why do you ask me about what is good?" "Why are you asking me about what is good?" "Wny do you ask me about what is good?"
Mt 25:13Ye know neither the day nor the hour wherein the Son of man cometh.You do not know the day or the hour.You do not know the day nor the hour.You know neither the day nor the hour,
Mk 10:24…how hard it is for them that trust in riches to enter into the kingdom of God!…how hard it is to enter the kingdom of God!…how hard it is to enter the kingdom of God!…how difficult a thing it is to enter into the kingdom of God!
Lk 2:33And Joseph and his mother,,,The child's father and mother…His father and mother…its father and mother…
Lk 4:4Man shall not live by bread alone, but by every word of God.Man does not live on bread alone.Man shall not live on bread alone.Man must not live by bread alone.
Lh 4:8​
Get thee behind me, Satan.​
OMITTED​
OMITTED​
OMITTED​
Jn 6:47He that believeth on me hath everlasting life.He who believes has everlasting life.He who believes has eternal life.He that believes has everlasting life.
Jn 8:9​
And when they heard it, being convicted by their own conscience, went out…​
…those who heard began to go away…​
…when they heard it, they began to go out one by one…​
OMITTED​
Jn 9:4I must work the works of him that sent me.We must do the work of him who sent me.We must work the works of Him who sent Me.We must work the works of him that sent me.
Jn 10:30I and my Father are oneI and the Father are one.I and the Father are one.I and the Father are one.
Ac 2:30that of the fruit of his loins, according to the flesh, he would raise up Christ to sit on his throne;…he would place one of his descendants on his throne.…to seat one of his descendants upon his throne.…he would seat one from the fruitage of his loins upon his throne.
Ac 8:37​
If thou believest with all thine heart, thou mayest. And he answered and said, I believe that Jesus Christ is the Son of God.
OMITTED​
footnote casts doubt (some editions just omit it)​
OMITTED​
Ac 23:9​
Let us not fight against God.​
OMITTED​
OMITTED​
OMITTED​
Rom 13:9​
Thou shalt not bear false witness.
OMITTED​
OMITTED​
OMITTED​
Co 1:14In whom we have redemption through his blood, even the forgiveness of sins.In whom we have redemption, the forgiveness of sins.In whom we have redemption, the forgiveness of sins.By means of whom we have our release by ransom, the forgiveness of our sins.
1Ti 3:16God was manifest in the flesh.He appeared in a body.He who was revealed in the flesh.He was made manifest in the flesh.
1Ti 6:5Perverse disputings of men of corrupt minds, and destitute of the truth, supposing that gain is godliness: from such withdraw thyself."from such withdraw thyself" is omitted"from such withdraw thyself" is omitted"from such withdraw thyself" is omitted
1Pe 1:22Ye have purified your souls in obeying the truth through the Spirityou have purified yourselves by obeying the truth…Since you have in obedience to the truth purified your souls…Now that you have purified your souls by your obedience to the truth…
1Jo 4:3And every spirit that confesseth not that Jesus Christ is come in the flesh is not of God.But every spirit that does not acknowledge Jesus is not from God.And every spirit that does not confess Jesus is not from God.But every inspired expression that does not confess Jesus does not originate with God.
Re 5:14Four and twenty elders fell down and worshipped him that liveth for ever and ever.…the elders fell down and worshipped.…the elders fell down and worshipped.…the elders fell down and worshipped.
Re 20:9Fire came down from God out of heaven…Fire came down from heaven…Fire came down from heaven…Fire came down out of heaven…
Re 21:24And the nations of them which are saved shall walk in the light of it.The nations will walk by its light.And the nations shall walk by its light.And the nations will walk by means of its light.
 
Najuwa huwezi kujibu unaogopa aibu , maana unajuwa hizo biblia si sawa

Hata hizi unazodanganyia kwa kuleta upuuzi wa kodi nazo haziko sawa ziko tofauti



All versions are not saying the same thing!

This chart is by no means complete.


Most Christians recognize the New World Translation (NWT - Jehovah'sWitness Bible) for the corrupt work it is. What most Christians don't recognize isthe same corruption in their own "Christian" bibles!



AV (King James)New InternationalNew American StandardNew World Translation
Hos 11:12…but Judah yet ruleth with God, and is faithful with the saints.Judah is unruly against God, even against the faithful Holy One.Judah is also unruly against God, even against the Holy One who is faithful.Judah is yet roaming with God, and with the Most Holy One he is trustworthy.
Mt 9:13for I am not come to call the righteous, but sinners to repentance.For I have not come to call the righteous, but sinners.For I did not come to call the righteous, but sinners.For I came to call, not righteous people, but sinners.
Mt 18:11​
For the Son of man is come to save that which was lost.​
OMITTED​
footnote casts doubt​
OMITTED​
Mt 19:17Why callest thou me good?"Why do you ask me about what is good?""Why are you asking me about what is good?""Wny do you ask me about what is good?"
Mt 25:13Ye know neither the day nor the hour wherein the Son of man cometh.You do not know the day or the hour.You do not know the day nor the hour.You know neither the day nor the hour,
Mk 10:24…how hard it is for them that trust in riches to enter into the kingdom of God!…how hard it is to enter the kingdom of God!…how hard it is to enter the kingdom of God!…how difficult a thing it is to enter into the kingdom of God!
Lk 2:33And Joseph and his mother,,,The child's father and mother…His father and mother…its father and mother…
Lk 4:4Man shall not live by bread alone, but by every word of God.Man does not live on bread alone.Man shall not live on bread alone.Man must not live by bread alone.
Lh 4:8​
Get thee behind me, Satan.​
OMITTED​
OMITTED​
OMITTED​
Jn 6:47He that believeth on me hath everlasting life.He who believes has everlasting life.He who believes has eternal life.He that believes has everlasting life.
Jn 8:9​
And when they heard it, being convicted by their own conscience, went out…​
…those who heard began to go away…​
…when they heard it, they began to go out one by one…​
OMITTED​
Jn 9:4I must work the works of him that sent me.We must do the work of him who sent me.We must work the works of Him who sent Me.We must work the works of him that sent me.
Jn 10:30I and my Father are oneI and the Father are one.I and the Father are one.I and the Father are one.
Ac 2:30that of the fruit of his loins, according to the flesh, he would raise up Christ to sit on his throne;…he would place one of his descendants on his throne.…to seat one of his descendants upon his throne.…he would seat one from the fruitage of his loins upon his throne.
Ac 8:37​
If thou believest with all thine heart, thou mayest. And he answered and said, I believe that Jesus Christ is the Son of God.
OMITTED​
footnote casts doubt (some editions just omit it)​
OMITTED​
Ac 23:9​
Let us not fight against God.​
OMITTED​
OMITTED​
OMITTED​
Rom 13:9​
Thou shalt not bear false witness.
OMITTED​
OMITTED​
OMITTED​
Co 1:14In whom we have redemption through his blood, even the forgiveness of sins.In whom we have redemption, the forgiveness of sins.In whom we have redemption, the forgiveness of sins.By means of whom we have our release by ransom, the forgiveness of our sins.
1Ti 3:16God was manifest in the flesh.He appeared in a body.He who was revealed in the flesh.He was made manifest in the flesh.
1Ti 6:5Perverse disputings of men of corrupt minds, and destitute of the truth, supposing that gain is godliness: from such withdraw thyself."from such withdraw thyself" is omitted"from such withdraw thyself" is omitted"from such withdraw thyself" is omitted
1Pe 1:22Ye have purified your souls in obeying the truth through the Spirityou have purified yourselves by obeying the truth…Since you have in obedience to the truth purified your souls…Now that you have purified your souls by your obedience to the truth…
1Jo 4:3And every spirit that confesseth not that Jesus Christ is come in the flesh is not of God.But every spirit that does not acknowledge Jesus is not from God.And every spirit that does not confess Jesus is not from God.But every inspired expression that does not confess Jesus does not originate with God.
Re 5:14Four and twenty elders fell down and worshipped him that liveth for ever and ever.…the elders fell down and worshipped.…the elders fell down and worshipped.…the elders fell down and worshipped.
Re 20:9Fire came down from God out of heaven…Fire came down from heaven…Fire came down from heaven…Fire came down out of heaven…
Re 21:24And the nations of them which are saved shall walk in the light of it.The nations will walk by its light.And the nations shall walk by its light.And the nations will walk by means of its light.
Kwani neno lako ni sheria mpaka tuliamini we jamaa ni mjinga sana
Umezaliwa umeikuta biblia na utakufa utaiacha huna hatimiliki nayo na huwez pangia watu watumie watumie kama unavyotaka wewe
 
Kwani neno lako ni sheria mpaka tuliamini we jamaa ni mjinga sana
Umezaliwa umeikuta biblia na utakufa utaiacha huna hatimiliki nayo na huwez pangia watu watumie watumie kama unavyotaka wewe

Kwani wapi nimetia neno langu kwenye biblia ? Mbona unachanganyikiwa au Kodi zako zinakuchanganya😝😝😝
 
Back
Top Bottom