Natumia Biblia kutatua changamoto

Natumia Biblia kutatua changamoto

Umetoka kwenye utapeli umeamia kwenye wazimu kama mstari wa luka hautibu we shida yako ni nini
Mbona unateseka kwani umelazimishwa kutumia
Majungu sio mtaji

Ughushi mkubwa katika Luka 24:44-48 kuhusu “ufufuo wa Yesu siku ya tatu” ukidai kwamba ulitabiriwa katika Agano la Kale wakati ni uongo hakuna hicho kitu katika agano la kale!

Hebu tuangalie Luka 24:44-48 kutoka katika Biblia ya NIV:

Luka 24

44 Akawaambia, Haya ndiyo niliyowaambia nilipokuwa nikali pamoja nanyi: Ni lazima yatimizwe yote niliyoandikiwa katika Torati ya Mose, na katika Manabii na Zaburi.

45 Kisha akazifungua akili zao wapate kuelewa Maandiko.

46 Akawaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu;

47 Na toba na msamaha wa dhambi utahubiriwa kwa jina lake kwa mataifa yote, kuanzia Yerusalemu.

48 Ninyi ni mashahidi wa mambo haya.

Wapi katika Agano la Kale yameandikwa maneno hayo?! Nionyeshe mstari mmoja wa Agano la Kale uliotabiri kuhusu ufufuo wa siku ya tatu wa Yesu?
 
USIDANGANYE WATU

Utambulisho wa Luka kama mwandishi unategemea hasa vifungu vya "sisi" katika Matendo (kuanzia Matendo 16:10), ambavyo vinaonyesha kwamba Luka alihusishwa na Paulo katika huduma yake na aliandika maelezo ya shughuli zake. Amplified Bible, Ukurasa 1153)"

Uthibitisho pekee walio nao kuhusu Luka kuwa mwandishi pekee wa injili hii ni dhana dhaifu juu ya "sisi". Huu ni ujinga hata kidogo! Uvumi huu unaonyesha:

Injili iliwezekana kuwa ilibadilishwa au kuandikwa na wengine kando na Luka.
Mahali pa uhifadhi haijulikani.
Tarehe ya uhifadhi wake pia haijulikani.

Inafaa pia kutaja kwamba mwandishi wa kitabu cha Matendo pia hajulikani kama inavyoonyeshwa hapo juu:

"Ingawa mwandishi hatajitaja mwenyewe, ushahidi nje ya Maandiko na makisio kutoka kwa kitabu chenyewe yanaongoza kwenye hitimisho kwamba mwandishi alikuwa Luka. (Kutoka NIV Bible Commentary [1], ukurasa wa 1643)"
Umeanza kusema mimi ni tapeli nikakuambia leta ushahidi ukashindwa

Ukantuhumu navuta bangi

Sasa hivi unasema mimi ni muongo nikikuuliza nipe ushahid wa mimi kuwa muongo huna

Majungu sio mtaji na huwezi mpangia Mungu kuachilia utukufu wake
 
Umeanza kusema mimi ni tapeli nikakuambia leta ushahidi ukashindwa

Ukantuhumu navuta bangi

Sasa hivi unasema mimi ni muongo nikikuuliza nipe ushahid wa mimi kuwa muongo huna

Majungu sio mtaji na huwezi mpangia Mungu kuachilia utukufu wake

Umetoa Kodi ipi kutoka injili ipo au ya utapeli. 😜😜😜

Yaani wazimu ulivyokuzidi Kama vile waandishi wa biblia walisema maandishi yao wametia na Kodi ndani yake Za kutibia magonjwa na kodi za kuondoa matatizo 😝😝😝
 
Umetoa Kodi ipi kutoka injili ipo au ya utapeli. 😜😜😜

Yaani wazimu ulivyokuzidi Kama vile waandishi wa biblia waliosema maandishi yao wameitia na Kodi ndani yake 😝😝😝
Mimi siwez kukutukana ila we endelea kutukana wee ukichoka utaacha na mimi ntaendelea na hiki nachokifanya
 
Hapo umetumia Kodi ipi Mkuu? Ya yohana au Luka
Hivi unawezaje poteza mda ma mtu uliyemtuhumu ni tapeli, mvuta bangi wa chato, anawazimu, mjinga
Tanzania ni nchi yenye vichekesho sana

Yaani unawezaje mdharau mtu kwa kiwango kikubwa hivi na bado unahangaika naye
 
Hivi unawezaje poteza mda ma mtu uliyemtuhumu ni tapeli, mvuta bangi wa chato, anawazimu, mjinga
Tanzania ni nchi yenye vichekesho sana

Yaani unawezaje mdharau mtu kwa kiwango kikubwa hivi na bado unahangaika naye

Sihangaiki naye ninawaamsha wengine na kumuonyesha kuwa wengine wanaufahamu mchezo wake

Hivi wewe usiyemdharau unafuata biblia ipi ??KJV, NIV QJV, RSV,au ipi kati ya maelfu ya biblia zilizo tofauti
 
Sihangaiki naye ninawaamsha wengine na kumuonyesha kuwa wengine wanaufahamu mchezo wake

Hivi wewe usiyemdharau unafuata biblia ipi ??KJV, NIV QJV, RSV,au ipi kati ya maelfu ya biblia zilizo tofauti
Mchezo upi sababu umeshindwa kuonyesha kwamba ni tapeli
Na mbona hakuna malalamiko ya watu kuonyesha wamefanyiwa usanii
 
### kwa mke/mume aliyekimbia ###

Bible code number 28:- METE METE METELI METESI
Kazi yake;-kumrudisha mume/mke aliyekimbia
(Kutoka 4:14)
Mungu ataachilia furaha kwenye fikra za mme/mke aliyekimbia na hatimaye atarudi
  • Kama unataka mke wako kurudi aliyekimbia na kukuachia watoto
  • Kama unataka mme wako arudi baada ya kuikimbia familia
UNATUMIAJE
  1. Mwanaume unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka mke wako atakaporudi
(Majina yako matatu ya mke wako-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Mwanamke unakua unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka mme wako atakaporudi
(Majina yako matatu ya mme wako-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka mke/mume atakaporudi
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
### ukiwa kwenye nyakati ngumu ###

Bible code number 02:- ELOI ELOI LAMA SABAKTHANI
Kazi yake;- kukupa nguvu ukiwa katika bonde la uvuli wa mauti
(Mathayo 27:46, Zaburi 23)
  • Mungu hutupitisha kwenye majaribu na ukweli tunapaswa kushukuru katika kila jambo, ingawa inahuzunisha na inaubonda bonda na kuufinyanga moyo, unakua na uchungu wa moyo, pia unajikuta ukitaman kulia lakini machozi hayatoki kutoka..but we have to be strong; sababu ni mpaka kusudi la Mungu litimie ndo ugumu unaopitia utaondoka fanya jitihada za wewe kuondoa huo ugumu ila usitumie nguvu kubwa sana kuondoa huo ugumu sababu utaleta negative impact kubwa sana kwako.
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata nguvu
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata nguvu
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
### ukiwa kwenye nyakati ngumu ###

Bible code number 02:- ELOI ELOI LAMA SABAKTHANI
Kazi yake;- kukupa nguvu ukiwa katika bonde la uvuli wa mauti
(Mathayo 27:46, Zaburi 23)
  • Mungu hutupitisha kwenye majaribu na ukweli tunapaswa kushukuru katika kila jambo, ingawa inahuzunisha na inaubonda bonda na kuufinyanga moyo, unakua na uchungu wa moyo, pia unajikuta ukitaman kulia lakini machozi hayatoki kutoka..but we have to be strong; sababu ni mpaka kusudi la Mungu litimie ndo ugumu unaopitia utaondoka fanya jitihada za wewe kuondoa huo ugumu ila usitumie nguvu kubwa sana kuondoa huo ugumu sababu utaleta negative impact kubwa sana kwako.
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata nguvu
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata nguvu
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)

Hiyo ni biblia mpya ya Gibbethon,
Inapatikana kanisa lipi?
 
### ukiwa safarini ####

Bible code number 29:- LESE LESE LESE TEKELI
Kazi yake;- Mungu kukulinda katika safari
(Matendo ya mitume 27:1-44, 28:1-16)
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo-moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 5 ukiwa kwenye safari na ukiendelea ni vizuri pia (kwa siri abiria mwenzako asijue) kwa imani na msisitizo ukiwa safarini
(Majina yako matatu-na sehemu unayoenda-unatamka mara tatu tu)(unatamka bible code angalau dakika 5 ukiwa kwenye safari na ukiendelea ni vizuri pia)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 5 ukiwa kwenye safari na ukiendelea ni vizuri pia (kwa siri abiria mwenzako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka atakapo-fika
(Majina matatu unayemuombea-sehemu anayoenda-unatamka mara tatu tu)(unatamka bible code angalau dakika 5 akiwa kwenye safari na ukiendelea ni vizuri pia)
 
Back
Top Bottom