Natumia Biblia kutatua changamoto

Natumia Biblia kutatua changamoto

### tafsiri ya wewe kungatwa na nyoka ndotoni ###

Bible code number 18:- MENE MENE TEKELI MENE
Kazi yake;- kujua tafsiri ya ndoto ya wewe kung'atwa na nyoka
(Hesabu 21:6-9, Yeremia 8:17)
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata tafsiri kwenye fikra zako
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata tafsiri kwenye fikra zako
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
OUR PRODUCT -BIBLE CODE (luka 24:45)
Jumla zipo 144 na zote zipo kwenye huu uzi; zimekua digested kutoka kwenye biblia kwa uongozi wa Roho mtakatifu kwa lugha nyingine hazibuniwi ndo maana chini yake kuna mstari wa biblia. Bible code unatumia bure haziuzwi gharama ni iman na subira yako.

UKITUMIA BIBLE CODE UTAPATA MAARFA YA KUPAMBANA NA CHANGAMOTO INAYOKUKABILI
(Hosea 4:6, Yeremia 4:22, Mithali 1:7)
Fanyia kazi fikra/wazo utakalolipata baada ya kutamka hizi bible code ndo maarifa yenyewe na hilo ndo jibu lako ulikokua unalitafuta kumbuka imani bila matendo imekufa. Kama hitaji lako liko nje ya uwezo wako kwa asilimia 100 Mungu atakufanyia miujiza
NOTE: usimpangie Mungu akujibuje kuwa mnyenyekevu kwake na uache kiburi na kumziria sababu unaona amechelewa kukujibu (2 Mambo ya nyakati 33:23)

MSHUKURU MUNGU BAADA YA MAOMBI YAKO KUJIBIWA BAADA YA KUTAMKA BIBLE CODE (Luka 17:11-19, Waamuzi 6:16-18, Waamuzi 13:15-20)
Ni vizuri ukamshukuru Mungu kwa namna wewe unavyoona ni sahii lakin hakikisha una-mshukuru Mungu hata kwa kinywa chako., hata kama ni kidogo Mungu amekupa katika kikubwa ulichokua unaomba mshukuru.
Upo sahii mkuu
 
### kupata faida kwenye biashara ngumu ###

Bible code number 77:- TEKELI SENE PERESI SENE
Kazi yake;- Mungu kukupa mbinu ya kupata faida kwenye biashara ambayo ni ngumu kupata faida na imewashinda wengi.
(Isaya 48:17, Zaburi 32:8)
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unatamka jina na bible code kimoyo-moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata mbinu
(Majina yako matatu na jina la biashara yako-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) imani na msisitizo mpaka utakapopata mbinu
(Majina matatu unayemuombea na Jina la biashara yake-unatamka mara tatu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
### kupata wateja kwenye biashara yako au kampuni unayofanyia kazi ###

Bible code number 143:- TERE MENE TERE TERE
Kazi yake;- kupata wateja kwenye biashara yako au kampuni unayofanyia kazi
(Luka 5:3-6, Yohana 21:6, Mwanzo 31:11-12)​
UNATUMIAJE
  1. Jina la biashara yako/sehemu unapofanyia kazi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo
(Jina la biashara/kampuni - unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 144:- MENE MENE PETELI PETELI
Kazi yake;- kutumia nguvu iliyoko nyuma ya yale maji Musa aliyobadilisha kuwa damu kwenye nchi ya misri
(Kutoka 7:7-24)​
  • Mapenzi ya Mungu yatimie utumie wapi

UNATUMIAJE
  1. Jina lako na mapenzi ya Mungu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo
(Jina lako-Mapenzi ya Mungu- unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 145:- NENELI MENE PETELI PERESI
Kazi yake;- kutumia nguvu iliyopo nyuma ya wale vyura wa Musa aliowaleta juu ya nchi ya misri
(Kutoka 8:5-7)​
  • Mapenzi ya Mungu yatimie utumie wapi
UNATUMIAJE
  1. Jina lako na mapenzi ya Mungu yatimizwe-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo
(Jina lako-Mapenzi ya Mungu- unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 146:- MENE LEPE PERESI PERESI
Kazi yake;- kutumia nguvu iliyopo nyuma ya yale mavumbi ya nchi yaliyokuwa chawa kwenye nchi ya yote ya misri
(kutoka 8:16-19)​
  • Mapenzi ya Mungu yatimie utumie wapi
UNATUMIAJE
  1. Jina lako na mapenzi ya Mungu yatimizwe-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo
(Jina lako-Mapenzi ya Mungu yatimizwe- unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 147:- TELE PERESI TELE TELE
Kazi yake;- kutumia nguvu iliyopo nyuma ya mainzi yaliyokua juu ya nchi kipindi cha Musa
(Kutoka 8:21)​
  • Mapenzi ya Mungu yatimie utumie wapi
UNATUMIAJE
  1. Jina lako na mapenzi ya Mungu yatimizwe-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo
(Jina lako-Mapenzi ya Mungu yatimizwe- unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 148:- MENE TEKELI TELE TELE
Kazi yake;- kutumia nguvu iliyopo nyuma ya roho ya mauti iliyowaua wanyama wote wa misri
(Kutoka 9:2-6)​
  • Mapenzi ya Mungu utumie wapi

UNATUMIAJE
  1. Jina lako na mapenzi ya Mungu yatimizwe-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo
(Jina lako-Mapenzi ya Mungu yatimizwe- unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 149:- MENE TEKELI SETE SETE
Kazi yake;- kutumia nguvu iliyopo nyuma ya yale majipu yaliyowapata watu wa misri kipindi cha Musa
(Kutoka 9:8-10)​
  • Mapenzi ya Mungu yatimie utumie wapi
UNATUMIAJE
  1. Jina lako na mapenzi ya Mungu yatimizwe-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo
(Jina lako-Mapenzi ya Mungu yatimizwe- unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 150:- NETE PERESI MENE TEKELI
Kazi yake;- kutumia nguvu iliyopo nyuma ya mvua ya mawe na moto iliyonyesha kipindi cha Mvua
(Kutoka 9:18)​
  • Mapenzi ya Mungu yatimie utumie wapi
UNATUMIAJE
  1. Jina lako na mapenzi ya Mungu yatimizwe-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo
(Jina lako-Mapenzi ya Mungu yatimizwe- unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 151:- TENE PERESI MENE TENE
Kazi yako;- kutumia nguvu iliyopo nyuma ya wale nzige juu ya nchi ya misri kipindi cha Musa
(kutoka 10:21)​
  • Mapenzi ya Mungu yatimie utumie wapi
UNATUMIAJE
  1. Jina lako na mapenzi ya Mungu yatimizwe-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo
(Jina lako-Mapenzi ya Mungu yatimizwe- unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 152:- LESE TEKELI PERESI MENE
Kazi yake;- kutumia nguvu iliyopo nyuma ya lile giza lilo tanda nchi ya misri kama pigo kipindi cha Musa
(Kutoka 10:21)​
  • Mapenzi ya Mungu yatimie utumie wapi
UNATUMIAJE
  1. Jina lako na mapenzi ya Mungu yatimizwe-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo
(Jina lako-Mapenzi ya Mungu yatimizwe- unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 153:- KESE MENE TEKELI TEKELI
Kazi yake;- kutumia nguvu iliyopo nyuma ya sanduku la agano
(1 samwel 5:1-12)​
  • Mapenzi ya Mungu yatimie utumie wapi
UNATUMIAJE
  1. Jina lako na mapenzi ya Mungu yatimizwe-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo
(Jina lako-Mapenzi ya Mungu yatimizwe- unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 154:- PENE PENE PENE PERESI
Kazi yake;- kutumia nguvu iliyopo nyuma ya moto uliosambaratisha miji ya sodoma na gomora
(Mwanzo 19:1-25)​
  • Mapenzi ya Mungu yatimie utumie wapi
UNATUMIAJE
  1. Jina lako na mapenzi ya Mungu yatimizwe-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo
(Jina lako-Mapenzi ya Mungu yatimizwe- unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 155:- SETE MENE PERESI PERESI
Kazi yake;- kutumia nguvu iliyopo nyuma ya mvua iliyonyesha kipindi cha nuhu
(Mwanzo 7:1-24)​
  • Mapenzi ya Mungu yatimie utumie wapi
UNATUMIAJE
  1. Jina lako na mapenzi ya Mungu yatimizwe-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo
(Jina lako-Mapenzi ya Mungu yatimizwe- unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 156:- TEPE TEKELI TEPE TEPE
Kazi yake;- kufunga au kufungua chemchem na vilindi vya maji eneo husika
(Mwanzo 8:2, Isaya 41:18)​
UNATUMIAJE
  1. Kufungua chemchem na vilindi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka
(Jina la sehemu-kufungua chemchem na vilindi- unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kufunga chemchem na vilindi vya maji-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo
(Jina la sehemu-kufunga chemchem na vilindi- unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 157:- TEPE MENE TEPE TEPE
Kazi yake;- Mungu kukusaidia kubuni na kutengeneza wazo la biashara lenye faida
(Isaya 48:17)​
UNATUMIAJE
  1. Unataja eneo ambalo hilo wazo unataka kuwa implemented-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo
(Unataja eneo ambalo unataka hilo wazo kutekelezwa- unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 158:- SETE SETE SETE PERESI
Kazi yake;- kusikiliza mazungumzo kati ya Mungu na shetani
(Ayubu 1:7-12, 2:1-7, 1 Wafalme 22:20-22)​
  • Kujua ukubwa na mipaka ya kibali alichopewa shetani na Mungu cha kujaribu na kutesa watakatifu

UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapokupa kibali
(Jina lako- unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumuombea mtu mwingine-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapokupa kibali
(Jina lake- unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Nchi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapokupa kibali
(Jina la nchi- unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Back
Top Bottom