Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usipende kufanya masihara na Mambo ya MunguPembe pembe pembesi pembesi
Na wewe unganisha kama ni rahisiHizo ni mantra zinafungua chakra mbalimbali , umeziunganisha tu na vifungu vya biblia ili ilete tu maana katika dini yako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ufahamu wako wa biblia ni mdogo sanaCode ni Jina la YESU.
Acha kupoteza watu.
Vipi kuhusu code za kuondoa roho za umasikini na ufukura.Maana kuna watu pamoja na kufanya kazi kwa bidii lakini mambo bado hayafunguki.Code zinatolewa bure hulipii gharama yeyote ntakua nazituma huku kwenye huu uzi na matumizi yake
Gharama yako ni imani
Umepata wapi maelekezo hayo.Ufahamu wako wa biblia ni mdogo sana
Jina la yesu liliachiliwa na damu ya Yesu na linatufanya tusitegemee damu za mahafali kwenye kufanya upatanisho
Haina maana kwamba verse nyingine 31,102 za bible hazina maana zina ujumbe
Kazi ya verse 31,102 zinakazi gani kama jina la yesu peke yake linatoshaUmepata wapi maelekezo hayo.
Jina la YESU linatosha kufungua codes zote.
Imeandikwa wapi?Kazi ya verse 31,102 zinakazi gani kama jina la yesu peke yake linatosha
Usipende shortcut kwenye maisha
Ntaziweka huku na ntaku-tagVipi kuhusu code za kuondoa roho za umasikini na ufukura.Maana kuna watu pamoja na kufanya kazi kwa bidii lakini mambo bado hayafunguki.
Mungu ni neno na anaongea kupitia neno lake ambalo ni bibliaImeandikwa wapi?