Natumia Biblia kutatua changamoto

Natumia Biblia kutatua changamoto

Bible code number 10:- SESE SESE SESESI SESESI
Kazi yake;- Mungu kukusaidia kutafuta mke au mume
(Mithali 31:10-31, hesabu 27:4-11)
Kama hupati mtu sahihi na una-matamanio ya ndoa
Kuwa tayari kwa kumpata mtu ambaye ni chaguo la Mungu na sio chaguo lako

UNATUMIAJE
  1. Mwanaume-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapompata mke
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Mwanamke-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapompata mme
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka utakapopata mme au mke
(Majina yake matatu unayemuombea-unatamka mara tatu tu kwa siku (unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code;- TEKE TEKE TEKELI PERESI
Kazi yake;-Rizki ya kila siku
  • Wafanyakazi
  • Wafanyabiashara
  • Wasio na kazi utapata akili ya kuishi na kupata rizki japokua huna kazi rasmi
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unakua unatamka kimoyo kimoyo mda wowote ule unaweza acha mzigo ukiondoka au mpaka utakapoona mabadiliko
(Jina lako)(unatamka bible code)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina lake alafu zinafuata code
(Jina la unayemuombea) (unatamka bible code)
.....Unaweza acha mzigo ukiondoka....unamaanisha nini hapo?
 
Bible code number 11:- KESE KESE MENE KESE
Kazi yake;- kujua mwanaume/mwanamke uliyekua naye kwenye mahusiano kwa mda huu anafaa kuingia naye kwenye ndoa na kutengeneza familia
(Mathayo 7:6-7)
Kuna kundi kubwa la vijana wapo kwenye mahusiano na wanampango wa kuingia kwenye ndoa kabla hujaingia kwenye ndoa fanya haya maombi ili kujua huyo mwenza wako ni mtu sahii au la
  • Kama huyo mwenza wako ni sahii Mungu ataimarisha mahusiano
  • Kama huyo mwenza wako sio sahii Mungu atawatenganisha bila ya wewe kutumia nguvu

UNATUMIAJE
  1. Mwanaume-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakuonyesha huyo mwanamke ni sahii kwa ndoa au la
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Mwanamke-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakuonyesha huyo mwanaume ni sahii kwa ndoa au la
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo Kama huyo mtu aliyekua nae sio sahii Mungu atawatenganisha kama ni sahii Mungu ataimarisha mahusiano yao
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 05:- TEKELI TESE TEKELI TEKELI
Kazi yake;- kuomba kibali cha kwenda kutembelea mbingu ya tatu (peponi) kama kuhani
(2 korintho 12:1-5, isaya 33:16-24, waebrania 10:19-39, Yeremia 23:18)
  • Kusimama katika baraza la BWANA ili kulifahamu neno lake, kulisikia na kulitia moyoni kwa ajili ya watu
  • Kusikia mashauri ya siri ya Mungu

UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina nabible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa msisitizo na imani mpaka Mungu atakapokupa au kukunyima kibali
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa iman na msisitizo mpaka Mungu atakapo kupa au kukunyima kibali
(Majina yake matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
UTANGULIZI
Daniel 5:25 Na maandiko yaliyoandikwa ni haya; MENE, MENE, TEKELI, NA PERESI. Ukisoma huu mstari utaona ni mara moja kwenye biblia yote Mungu ametumia mfano wa code kufikisha ujumbe, japokua anaweza tumia njia nyingine sababu anazo nyingi kufikisha ujumbe. Mimi binafsi natumia bible code kuwa agano kwa watu na nuru ya mataifa; kuyafunua macho ya vipofu, kuwatoa gerezani waliofungwa, kuwatoa wale walioketi gizani katika nyumba ya kufungwa

UNATUMIAJE
  1. Binafsi-Unakua unatamka kimoyo kimoyo mda wowote ule unaweza acha mzigo ukiondoka au mpaka utakapoona mabadiliko
(Jina lako)(unatamka bible code)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina lake alafu zinafuata code
(Jina la unayemuombea) (unatamka bible code)

MAMBO YA KUZINGATIA
  • Code zinatolewa bure hulipii gharama yeyote ntakua nazituma huku kwenye huu uzi na matumizi yake
  • Hii huduma inahusu watu wa dini zote sio wakristo tu, hata ukiwa mwislamu, mhindu, budhaa unarusiwa pia
  • Nia yako moyoni mwako ndo itakayoamua either code ifanye kazi au la nikimaanisha kama una nia ovu kama kisasi, kuwa kikwazo kwa wengine, kuwakera wengine, n.k hazifanyi kazi ili ifanye kazi inatakiwa uwe mnyenyekevu
  • Code hazina ishara yeyote ile sababu zimejikita kwenye ulimwengu wa roho na inafanya kazi kimya kimya na ni mara chache sana zina miujiza
  • Code inachukua mda kufanya kazi means inafanya kazi pole pole ni kwa mda gani exactly mapenzi ya Mungu ndo yatakayoamua na ni mara chache sana inafanya kazi mara moja (instantly)
  • Kwenye suala zima la kipato inakupa unachostahili kama ni utajiri itakupa utajiri
  • Inabadilisha sheria za ulimwengu wa roho
  • Hakikisha unafanya kazi hizo code zisiwe tiketi ya wewe kusubiria miujiza
  • Code mda mwingine inaweza isiondoe tatizo linalokukabili ila ikalisitiri (kulifanya kuwa irrelevant) lisiwe ni kikwazo kwako lakin litaendelea kuwepo
Karibuni katika utukufu wa Mungu
Code nyingine kwenye Biblia ilitumiwa na Nabii Nathan alipokuwa ametumwa na Mungu kwenda kwa Daudi, baada ya Daudi kumuua Uria, isipokuwa code yenyewe ilitumia lugha ya kawaida ya binadamu
 
Bible code number 07:- KEKE KEKE TEKELI PERESI
Kazi yake;-Kujua hazina yako ilipo iwe ni mtu au nchi
(1 samwel 2:1-10, Luka 12:34, Mathayo 6:21)​
Kabla hujafanya haya maombi kama ni mtu washa kwanza nuru yako kupitia bible code number 03, na kwa nchi bible code number 164 na baada ya hapo ndo uanze kutamka bible code number 07 Hii itakusaidia kujua siri ya mafanikio​
yako imefichwa kwenye kazi/shughuli ipi​
  • Mapenzi ya Mungu yatimizwe uwe tajiri au na maisha ya kawaida (kama ni mpango wa Mungu uwe tajiri utakua tajiri bila kutumia nguvu, na kwa-Mungu hamna utajiri wa kulazimisha au wamagumashi)
  • Kama ni nchi Mungu atakupa mtazamo wa kisera juu ya matumizi ya rasilimali za nchi

UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka ujue hazina yako ilipo
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa msisitizo na iman mpaka ujue hazina yako ilipo
(Majina yake matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku) (unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Nchi/sehemu ya nchi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka ujue hazina yako ilipo
(Jina la nchi/sehemu ya nchi-unatamka mara tatu tu kwa siku)unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 04:- MEKE MEKE MEKELI MERESI
Kazi yake;- Kuwa na ushirika na Roho ya hekima ya eneo ulilopo
(Mithali 8:1-36, 9:1-18, 1:20-33)​
Roho ya hekima ambayo hukaa sehemu ya eneo ulilopo itakupa mambo yafuatayo;-​
  • Ufahamu juu ya shughuli unayofanya
  • Busara juu ya shughuli unayofanya
  • Maarifa juu ya shughuli unayofanya

UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa iman na msisitizo mpaka kiu itakapoondoka
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 12:- MERE MERE MEKELI MERESI
Kazi yake;- Kuondoa changamoto ya mimba kuharibika
(Mathayo 19:13-15)​
  • Kuzuia mimba changa kuharibika
  • Mimba kubwa kuharibika
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa iman na msisitizo mpaka utakapobeba mimba na kujifungua salama
(Majina yako matatu-unatamka majina matatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa iman na msisitizo mpaka atakapojifungua salama
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku) (unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 03:- MENE NENE TETELI TETESI
Kazi yake;-Kuwasha nuru na moto ndani yako
(Mambo ya walawi 6:12-13, Isaya 60:20)​
  • Kama huna bahati
  • Kama una roho ya kukataliwa
  • Nyota yako ina-giza
  • Mianga yote ya mbinguni iangazayo juu yako imekua giza
  • Jua limefunikwa kwa wingu dhidi yako
  • Mwezi hautoi nuru yake kwako
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa iman na msisitizo mpaka nuru itakapowaka ndani yako
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa iman na msisitizo mpaka nuru itakapowaka ndani yako
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-Unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 14:- METE METE METELI METESI​
Kazi yake;- Kama umefungwa kizazi wewe na mwenza wako au mmoja wapo
(1 samwel 1:5, 1:15-20)​
  • Umeenda hospitalini wewe na mwenza wako ni wazima kabisa ila hampati watoto

UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa iman na msisitizo mpaka kizazi kitakapofunguliwa
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa iman na msisitizo mpaka kizazi kitakapofunguliwa
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 65:- NETE NETE TEKELI PERESI
Kazi yake;-kuondoa tatizo la kurithi linaloisumbua familia au nchi
(2 Samweli 21:1-14, Mathayo 27:50)​
  • Ugonjwa wa kurithi
  • Ukame wa kurithi
  • Tabia ya kurithi
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka tatizo litakapoondoka
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(tatizo la kurithi linalokusumbua)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka tatizo litakapoondoka
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(tatizo la kurithi linalomsumbua) (unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 15:- PERESI PERESI PERESI PERESI
Kazi yake;- kupata idea ya dharura/haraka itakayokuvusha nyakati ngumu
(Mwanzo 26:1-5, 2 Wafalme 7:1-20)​
  • Kipindi kigumu cha uchumi
  • Kipindi cha njaa
  • Kipindi cha vita
  • Wakati madeni yamekulemea
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka idea ya dharura itakapokuja kwenye fikra zako
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka idea ya dharura itakapokuja kwenye fikra zako
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Back
Top Bottom