Natumia Biblia kutatua changamoto

Natumia Biblia kutatua changamoto

### Busara katika uongozi ###

Bible code number 69:-TEKELI PESI TEKELI TEKELI
Kazi yake;- Kukupa busara katika uongozi ulioupata iwe ni familia, nchi, kampuni au sehemu yeyote ile
(Kutoka 18:13-26, 1 samweli 18:5)
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka busara itakapokuja ndani yako
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(sehemu unayoongoza) (unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka busara itakapokuja
(Majina yake matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(sehemu anayoongoza)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
### Kupata riziki ya kila siku ###

Bible code number 01:- TEKE TEKE TEKELI PERESI
Kazi yake;-Kumuomba Mungu akupe mkate (rizki) wa kila siku
(Mathayo 6;9-13)
Mungu kukupa rizki katika kazi zako za kukuingizia kipato
  • Mungu atakupa akili ya kupata kipato kwa njia za halali hutategemea rushwa kupata kipato
  • Hata-kama ukiwa katika hali ngumu sana huna ajira au unaumwa Mungu atakupa namna ya kupata kipato cha kila siku
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 5 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
### kutoa mapepo ###

Bible code number 55:- PERESI MENE TEKELI PERESI
Kazi yake;-Yesu kutoa mapepo/majini kutoka kwa mtu
(Luka 8:26-32)
  • Kichaa kilichosababishwa na majini
  • Kichaa kilichosababishwa na kutupiwa majini na mtu mwingine
UNATUMIAJE
  1. unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka kichaa kitakapoondoka
(Majina matatu ya mwenye kichaa-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku tu na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 78:- TEKELI TEKELI LENE MENE
Kazi yake;- kufunga milango ya bahari iliyofunguka
(Mithali 8:29, Ayubu 38:8)
  • Kuongezeka kwa bahari kunakotishia kupotea kwa kisiwa au eneo la nchi
UNATUMIAJE
  1. Unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu atakapokupa ruhusa ya kukubali au kukataa
(Kutaja eneo bahari ilipozidi-kutamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Anachofanya kinaweza kawa ni uongo lakin kwanini unatamtuhumu kwa tuhuma za uongo kama amekufanyia kitu kibaya sana mara tapeli, mvuta bangi yaani una-muattack binafsi kama unamjua sio ustaarabu,
attack content yake anayoituma sio personality unapoelekea unaenda kumtukania mpaka wazazi wake

hakuna hata mtu mmoja anayekussuport katika viewers elfu 19 huoni kama unashida; unatumia nguvu kubwa sana kumuondelea credibility alafu hakuna anayekusupport

Kama angekua ni mtu mbaya tungeona malalamiko huku kutoka kwa watu lakin hatuoni zaidi ya wewe ambayo kibinidamu wewe ndo unashida

Na unapataje uchungu kwa jambo ambalo umeshajidhihirisha ni uongo mtu kuleta uzi wa uongo sio tiketi ya kumdhalilisha na kumtukana kama unamjua huku humjui; huku jamiiforum nyuzi nyingi sana ni za uongo
Umenena mkuu.
Anapataje uchungu kwa jambo usilishughulika nalo. Pilipili ya shamba inakuwashaje nyumbani?

Amebaki peke yake
 
Mkuu

Kuna nguvu gani hasa!!?mbona nikitaja jina na hiyo code mene mene tekeli na peresi ni kama Kuna heart beat crescendo fulani hivi!!
MENE MENE TEKELI PERESI

Haya ni maneno aliyoandikiwa mfalme Belshaza utawala wa babeli. Mfalme Belshaza ni kama alikuwa anaendeleza ukaidi wa baba yake mfalme Nebukadneza kufanya mazambi ya kutengeneza masanamu nakuyaabudu kama ni Mungu wake na kuuwa watu kila anapojisikia



BHN


DANIELI 3
Nebukadneza anasimamisha sanamu
1Mfalme Nebukadneza alitengeneza sanamu ya dhahabu, yenye kimo mita ishirini na nane na upana mita tatu. Aliisimamisha katika sehemu tambarare ya Dura, mkoani Babuloni. 2Kisha mfalme akaamuru maliwali, wasimamizi, wakuu wa mikoa, washauri, watunza hazina, majaji, mahakimu na maofisa wote wa mikoa wahudhurie sherehe ya kuzindua rasmi sanamu aliyoisimamisha.

Biblia inatueleza mfalme Belshaza aliandaa sherehe pamoja na wake zake na masuria

Mfalme aliagiza vyombo ambavyo vilikuwa vinatumika katika hekalu ufalme wa Yerusalemu vitolewe ili aweze kunywea divai pamoja na wake zake na masuria
Lengo la sherehe ilikuwa ni kuisifu na kuipa utukufu miungu ya kuchonga hapo ndio mfalme alipoona kiganja kinaandika maneno hayo ukatani

MENE MENE TEKELI PERESI

Mfalme alikuwa hajui maana ya hayo maneno aliwaita wachawi wamuambie maana yake wakashindwa. Ndipo alipotafuta towashi mfasiri wa ndoto Daniel kutoa maana ya maneno yale ambayo yanalikuwa na maanisha ufalme wa Belshaza umefika mwisho kutokana na machukizo yake mbele za Mungu
 
Mkuu tiba ya mtoto kukojoa kitandani
Bible code number 40:- PERESI PETELI PETELI PERESI
Kazi yake;- kugusa upindo wa vazi la Yesu ili kupona magonjwa sugu
(Luka 8:43-48, Luka 5:15)
Magonjwa sugu yaliyoshindikana hospitalini
  • Aggresive cancer
  • Kufeli kwa figo kunakotishia maisha ya mgonjwa
  • Neurodegenerative diseases mfano motor neuron, alzheimers, parkinson n.k
  • Magonjwa ya moyo
  • Na mengine mengi
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka ugonjwa utakapoondoka au kuwa irrelevant
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka ugonjwa utakapoondoka au kuwa irrelevant
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 40:- PERESI PETELI PETELI PERESI
Kazi yake;- kugusa upindo wa vazi la Yesu ili kupona magonjwa sugu
(Luka 8:43-48, Luka 5:15)
Magonjwa sugu yaliyoshindikana hospitalini
  • Aggresive cancer
  • Kufeli kwa figo kunakotishia maisha ya mgonjwa
  • Neurodegenerative diseases mfano motor neuron, alzheimers, parkinson n.k
  • Magonjwa ya moyo
  • Na mengine mengi
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka ugonjwa utakapoondoka au kuwa irrelevant
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka ugonjwa utakapoondoka au kuwa irrelevant
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
Unachofanya wewe ni upotoshaji biblia haitambui hizo code unazoziandika hapa
 
Bible code number 40:- PERESI PETELI PETELI PERESI
Kazi yake;- kugusa upindo wa vazi la Yesu ili kupona magonjwa sugu
(Luka 8:43-48, Luka 5:15)
Magonjwa sugu yaliyoshindikana hospitalini
  • Aggresive cancer
  • Kufeli kwa figo kunakotishia maisha ya mgonjwa
  • Neurodegenerative diseases mfano motor neuron, alzheimers, parkinson n.k
  • Magonjwa ya moyo
  • Na mengine mengi
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka ugonjwa utakapoondoka au kuwa irrelevant
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka ugonjwa utakapoondoka au kuwa irrelevant
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
Inawezekana kumuombea mtu zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja..??
 
Unachofanya wewe ni upotoshaji biblia haitambui hizo code unazoziandika hapa
Utukufu wa Mungu ni mkubwa mwanadamu huwezi mpangia Mungu afanye kazi kama unavyotaka

Hata Yesu mafarisayo na masudakayo walimuita mpotoshaji sababu alikua kinyume na mafundisho yao
 
Bible code number 34:- MENE MENE SENE TEKELI
Kazi yake:- kulinda mali unazomiliki dhidi ya adui zako
(Mhubiri 10:8)
  • Nyumba
  • Gari na Magari
  • Biashara
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka kiu itakapoondoka
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 60:- MENE TENE MENE TENE
Kazi yake;- Kukupa idea mpya kwenye biashara yako na kuwa mbunifu kazini kwenye nyakati nzuri za uchumi na siasa
(Malaki 3:10-13)
  • Kupata fikra za kibunifu kwenye biashara yako
  • Kupata fikra za kibunifu kwenye kazi uliyoajiriwa
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka idea mpya itakapokuja
(Majina yako matatu-unatakiwa utamke mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asijue) kwa imani na msisitizo mpaka idea mpya itakapokuja
(Majina matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatakiwa utamke mara tatu tu kwa siku) (unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Bible code number 13:- RESE MENE MENE PERESI
Kazi yake;- kukupa tafsiri ya ndoto ambayo imekua ikijirudia rudia
(Mwanzo 41:1-25, Daniel 2:1-45)
Kama ndoto haipo kwenye zile ambazo tumezitolea maelezo
UNATUMIAJE
  1. Binafsi-unatamka jina na bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa msisitizo na imani mpaka Mungu atakapokupa tafsiri ya ndoto
(Majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
  1. Kumwombea mtu-unatamka jina lake alafu zinafuata bible code kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (kwa siri jirani yako asisikie) kwa iman na msisitizo mpaka Mungu atakapo kupa tafsiri ya ndoto aliyoiota mara nyingi
(Majina yake matatu unayemuombea/uhusiano wako na yeye-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
 
Sema unatumia biblia kuwaibia watu
1703147108877.jpg
2023_12_31_20.32.15.jpg
 
Back
Top Bottom