Nature inavyo-expose hoja ya ukamilifu wa QUR'AAN

Nature inavyo-expose hoja ya ukamilifu wa QUR'AAN

Mtu ukikuta anatoa mihadhara utafikiri amewahi kufa anavyojifanya anasimulia habari za jehanamu au habari za peponi watu Wenye akili wanaweza kuzitumia akili zao kuwamanipulate watu kwa ajili ya Manufaa yao kupitia namna mbalimbali vikiwemo vitabu.kuna baadhi ya mambo mlioamrishwa myafanye ambayo mtu mmoja anadai alishushiwa na yapo kwenye vitabu nimebaini hayo mambo yalikuwa ni tabia ya mtu huyu lakini akadai Ameshushiwa na hao anaodai walikuwa wanamshushia na hiyo tabia ni ya kupenda uke maana tunaambiwa alikuwa na wake wa kumwaga huku mmoja akiwa ametwaliwa akiwa ana umri wa mtoto wa STD 3
 
1. Third brain? Scientifically not proved hakuna kitu kinaitwa third brain na unayoita subconcious brain ni part ya mind ,kama haujui mind ni abstract thing na brain ni physical thing in my experience kwenye hii field of science ni kwamba SOMETHING ABSTRACT CAN NOT BE PROVEN BY SCIENTIFIC APPROACH hence hata existence ya hiyo 'subconcious mind' kama ulivyoiita ni more controversial prove me wrong.

2. Naam hata ALLAH (the exalted one) ametuambia tuangalie mazingira ila tuweze kutambua uwepo wake zipo sura nyingi mnoo ameelezea jinsi nature inavyotambulisha uwepo wake ni wewe tu kutafuta , na nimefurahi umetumia mfano huu 😅😅.

3. Naona una base na dotrinw of innatism ila nikuulize swali vipi unawesa kunitajia mtoto yoyote mchanga aliyezaliwa anaongea? If the info is there?

Final verdict?
Haujajibu bado swali langu maana umeegemea zaidi upande wa dini hasa uislamu na pia scientific evidences ulizoweka hazina proofs na weakness nyingi please naomba jibu langu mkuu

Mkuu my pineal gland is active.

Bado sijaona hoja YAKO hapo. Did you call Allah the Exalted one?

Please can you tell me about this ayat.

Why did Allah say this 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221211-215731.png
    Screenshot_20221211-215731.png
    22.2 KB · Views: 6
Jamaa alikariri vifungu vya biblia ambayo ilikuwa Ipo miaka mingi, kwenye nchi za kikristu alipokwenda na wajomba zake kwenye biashara wakati huo alikozaliwa walikuwa hawajui dini zaidi ya kuabudu kwenye mawe, akaja kuchanganya na maneno yake ndio akawalaghai imeshushwa 😆😆

Kwanza mtume muhammad (swalalah alayhi wasalam) alikuwa hajui kusoma wala kuandika how akariri vifungu vya biblia? Na unanua miaka hiyo kulikuwa hakuna nchi inaitwa ya kikristo? Kama una ushahidi weka hapa .

Ushahidi huu hapa alikuwa hajui kusoma wala kuandika ningependa na wewe uweke wa kwako kwamba aliiba kwente bible
 

Attachments

  • Screenshot_20221211-221515.png
    Screenshot_20221211-221515.png
    39.4 KB · Views: 5
Tena hicho kitabu chenye script zinazoandikwa kutoka kulia kwenda kushoto hakina chochote cha maana ukisoma kitabu chenye title kama how to become rich au how to live a healthier life unaweza kupata kitu kuliko kwenye hicho kitabu
Hopeless deluded idiot
 
Kwanza mtume muhammad (swalalah alayhi wasalam) alikuwa hajui kusoma wala kuandika how akariri vifungu vya biblia? Na unanua miaka hiyo kulikuwa hakuna nchi inaitwa ya kikristo? Kama una ushahidi weka hapa .

Ushahidi huu hapa alikuwa hajui kusoma wala kuandika ningependa na wewe uweke wa kwako kwamba aliiba kwente bible
Mke wa Mtume Bi Khadija alikuwa Mkristo tena mtawa na yeye ndo alitumiwa na the Holy Sea kuuanzisha uislamu.

What are you talking about man
 
Mkuu my pineal gland is active.

Bado sijaona hoja YAKO hapo. Did you call Allah the Exalted one?

Please can you tell me about this ayat.

Why did Allah say this 👇

Hakuna njia isiyo ya kipimo ya kujua kwamba pineal gland yako ipo active but naona unaandika mambo ambayo hauna elimu nayo let me educate you.

Clinicaly speaking pineal gland huwa inaacha kukuwa kuanzia ukiwa na mwaka 1 hadi 2 ukishafika balehe itaanza kukauka (calcification) hii process huitwa kitaalam "pineal atrophy" na hapo ndipo inapokuwa clinicaly insignificance kana kwamba kama ikiondolewa utakuwa affected kwente sleeping cycles pekee na hii itaenda in conjuction with disrupted melatoni production.

Labda kama haujui .
Pineal glanda kazi yake inapokea info za light and dark cycles fro. Environment kisha ina convey hizi info kwa ku produce melatonin (hormone ya usingizi) ambayo yenyewe ita triger kitu tunaita "circadian rhythms " .

circadian rythms : Ni natural response yako ya 24 hours cycles deppends on dark and light cycles hii inakuwezesha wewe kusinzia wakati wa usiku pekee ndiyo maana tunalala usiku NATURALY .

sijajua ulimaanisha nini uliposema "pineal gland " yako ipo active .
 
Kwani nyinyi wagalatia sikuhizi mna shida gani mbona mnalialia sana kuhusu Quran?

Mmekosa hoja ya kuthibitisha kuwa Quran ni maneno ya uongo mmebaki mnalialia tu

Allah alishajua kuwa hakuna binadamu atakaeweza kuthibisha kuwa Quran sio kitabu Cha Mungu

Na ndio maana akasema ndani ya Quran asiyemtaka mtume Muhammad basi na ACHUKUE KAMBA AJINYONGE
Mipasho ya hivi haiwezi kutoka kwa Mungu. Mohammad alieleza mambo yake tu tena mengine alikwapua kwa watu.
 
Hakuna njia isiyo ya kipimo ya kujua kwamba pineal gland yako ipo active but naona unaandika mambo ambayo hauna elimu nayo let me educate you.

Clinicaly speaking pineal gland huwa inaacha kukuwa kuanzia ukiwa na mwaka 1 hadi 2 ukishafika balehe itaanza kukauka (calcification) hii process huitwa kitaalam "pineal atrophy" na hapo ndipo inapokuwa clinicaly insignificance kana kwamba kama ikiondolewa utakuwa affected kwente sleeping cycles pekee na hii itaenda in conjuction with disrupted melatoni production.

Labda kama haujui .
Pineal glanda kazi yake inapokea info za light and dark cycles fro. Environment kisha ina convey hizi info kwa ku produce melatonin (hormone ya usingizi) ambayo yenyewe ita triger kitu tunaita "circadian rhythms " .

circadian rythms : Ni natural response yako ya 24 hours cycles deppends on dark and light cycles hii inakuwezesha wewe kusinzia wakati wa usiku pekee ndiyo maana tunalala usiku NATURALY .

sijajua ulimaanisha nini uliposema "pineal gland " yako ipo active .
Mkuu hiyo pineal grand wachana nayo . I don't know anything that me and you can talk about the pineal gland. This is because I know which thou no not. Tuachane na mjadala wa pineal gland.


Nijibu kuhusu ayat hii hapa chini. Hiki ni nini hiki?
 

Attachments

  • Screenshot_20221211-215731.png
    Screenshot_20221211-215731.png
    22.2 KB · Views: 5
Hivi nikiandika kitabu cha mahesabu yani 1+1=2, 1+2=3...nk nk.

Sasa kaasababu mahesabu ni kamilifu na hiko kitabu kitakuwa hakina makosa yoyote, je tutasema hicho kitabu kimeandikwa na Mungu?
 
Mke wa Mtume Bi Khadija alikuwa Mkristo tena mtawa na yeye ndo alitumiwa na the Holy Sea kuuanzisha uislamu.

What are you talking about man
Hizi ni theories za kina "alberto rivera" so zilishakuwa debunked muda sana so sitojihusisha nazi .

Turudi kwenye mada ni kwamba khadija alikuwa monotheist toka mwanzo jua kwamba dini nyingi za monotheist zilikuwepo pia kipindi hicho.
 
Wewe ndio kilaza. Ume sapoti hoja yangu bila kujua kama una sapoti.

Dini YAKo inasema Kitabu cha dini YAKo ndio kina muongoza mwanadamu namna ya kuishi.

Ila nature inasema DNA ndio inayo muongoza mwanadamu jinsi ya ku behave...

Dna ndio ina waongoza wanyama na viumbe wengine wote jinsi ya kubehave.

Nyati hali nyama.sio KWA sababu anaogopa dhambi ya kuua la hasha bali kwa sababu dna yake ndio inayo muongoza vitu GANI vya KULA n.k


Kumbe BASI hata mwanadamu hakuhitaji Kitabu chochote ILI kimuelekeze kwamba " kumuua binadamu mwenzako ni vibaya"n.k.

Ni dna ndio inayo mdictate mwanadamu jinsi ya kuishi jinsi ya ku behave etc.

Babu zetu waliishi Afrika KWA zaidi ya miaka bilioni mbili. Qur'aan ina.miaka.1500.

KWA miaka yote hiyo DNA ndio ilikuwa ina wa dictate namna ya kuishi na namna ya kubehave.

Ndio maana mpaka leo hii tupo apa tunabishana.

Vinginevyo wange go into extinction




Habari za Kitabu kum dictate mwanadamu ni uongo...
Una uhakika Quran haijaongelea hilo?

Quran inaongelea wazi process ya Binadamu toka kwenye Manii na tumekuwa programmed toka kuzaliwa (Hizo Dna).

Maybe ni ukosefu wako wa Elimu na sio Quran?

Angalia video hio ikielezea

 
Mkuu hiyo pineal grand wachana nayo . I don't know anything that me and you can talk about the pineal gland. This is because I know which thou no not. Tuachane na mjadala wa pineal gland.


Nijibu kuhusu ayat hii hapa chini. Hiki ni nini hiki?
Mbona aya ipo wazi ?

Laiti kama Allah( the exalted one) angelitaka basi angeshatupa watu wote uongofu na tungeingia peponi lakini akajibu hapo hapo kuwa neno lake lilishapita (kwamba ametupa free will na akatupa muongozo wa kufuata na kuweza kujiepusha na adhabu iumizayo hii ni kwa wote majini na watu maana majini ni viumbe kama sisi amewaumba yeye Allah( the exalted one) na kawapa sheria pia za kumuabudu yeye pekee so ni kwamba kama binadamu na majini kwa sababu ya free will yetu basi tutapuuzia muongozo wake n kuishi kwa udhalimu basi) ataujaza moto wa jehanam kwa hao waovu kati ya majini na watu .
 
Una uhakika Quran haijaongelea hilo?

Quran inaongelea wazi process ya Binadamu toka kwenye Manii na tumekuwa programmed toka kuzaliwa (Hizo Dna).

Maybe ni ukosefu wako wa Elimu na sio Quran?

Angalia video hio ikielezea


Qur'aan haijataja DNA kama DNA hiyo ni translation tu ya huyo mwananzuoni.


Anyways mwenzako kashindwa kutoa tafsiri ya ayat hii hapa chini please hebu msaidie kutoa tafsiri maana wewe umesema u msomi wa QUR'AAN 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221211-215731.png
    Screenshot_20221211-215731.png
    22.2 KB · Views: 3
Kwanini Mungu aumbe binadamu asiyekamilika? Ili iweje?
Au ndo ili atende dhambi mwishowe amchome moto? Anapata faida gani sasa
Tupo duniani as a test, kila mtu anakuwa tested kivyake vyake, hakuna shida unayoipata hapa duniani ambayo hutalipwa, na watu wote wataenda peponi unless wenyewe hawataki. So wewe jitahidi kadri ya uwezo wako mengine Muachie Mungu mwenyewe.
 
Mbona aya ipo wazi ?

Laiti kama Allah( the exalted one) angelitaka basi angeshatupa watu wote uongofu na tungeingia peponi lakini akajibu hapo hapo kuwa neno lake lilishapita (kwamba ametupa free will na akatupa muongozo wa kufuata na kuweza kujiepusha na adhabu iumizayo hii ni kwa wote majini na watu maana majini ni viumbe kama sisi amewaumba yeye Allah( the exalted one) na kawapa sheria pia za kumuabudu yeye pekee so ni kwamba kama binadamu na majini kwa sababu ya free will yetu basi tutapuuzia muongozo wake n kuishi kwa udhalimu basi) ataujaza moto wa jehanam kwa hao waovu kati ya majini na watu .
Mkuu hii ayat wenzako walokole wanasemaga ndio ina prove kwamba uislamu ni dini ya majini na imeanzishwa na mkuu wa majini na hiyo Ayat ni mkuu wa majini anajiapiza kwamba atawapeleka binadamu na Majini motoni. ..

Itafakari hiyo Ayat KWA kina mkuu. Think deep. God is not going to say those kinds of words to his creation.
 

Attachments

  • Screenshot_20221211-215731.png
    Screenshot_20221211-215731.png
    22.2 KB · Views: 5
Hivi nikiandika kitabu cha mahesabu yani 1+1=2, 1+2=3...nk nk.

Sasa kaasababu mahesabu ni kamilifu na hiko kitabu kitakuwa hakina makosa yoyote, je tutasema hicho kitabu kimeandikwa na Mungu?
Kaa hicho kitabu kitaelezea future events in precision before they even happen, na kama kitaelezea past events accurately without any errors na kama kitaelezea ground breaking scientific findings ambazo zitakuwa proved on the future accurately then basi kimetoka kwa mwenyezi mungu muumba wa vyote.
 
Kaa hicho kitabu kitaelezea future events in precision before they even happen, na kama kitaelezea past events accurately without any errors na kama kitaelezea ground breaking scientific findings ambazo zitakuwa proved on the future accurately then basi kimetoka kwa mwenyezi mungu muumba wa vyote.

Hicho Kitabu chako mkuu kimeandikwa na watu wa Holy Sea KWA msaada wa majini. Then akatumiwa shushushu wao Bi Hadija lengo likiwa kutimiza agenda fulani. Ni agenda GANI?( U dont need to know it you look like a person who deserve to be deceived) ( Holy Sea ndio Wana literatures na connection na.majini wote ulimwenguni)

Ukamilifu wa hicho Kitabu ni kwa sababu watu walikaa ku copy na kupaste.
 
Back
Top Bottom