Teh teh teh tehKweli mkuu wakati Mobutu Sese Seko anajenga uwanja wa ndege kijijini kwake watu walikuwa na wivu kama huu, leo uwanja unaingiza pesa nyingi za kigeni na kuchangia pato la taifa, kwani watalii mbali mbali wamekuwa wakimiminika kwenda kuyashangaa magofu na kujiuliza aliwezaje kujenga uwanja kama huo katikati ya lindi la umasikini wa wananchi wake. View attachment 629913 View attachment 629914
Muwe mnakumbuka kunywa dawa zenu kwa wakati ili kichaa kisipande!Huna lolote mzandiki wewe.
Mbaya zaidi Kampuni inayofanya ujenzi ni YAKE MWENYEWE.. MAYANGA CONTRACTORS ENGINEERING LTD...
Ni ile ile iliyofanya upanuzi wa Barabara inayotaka Mwanza Airport..
Aibu kabisa.
Nawe zingatia kumeza ARV zako kwa wakati mkuu.Muwe mnakumbuka kunywa dawa zenu kwa wakati ili kichaa kisipande!
....Mbona umepanic sana jombaa, hebu tafuta balimi baridi ushushe mzuka...Wewe ulitaka kampuni iwe yako?
Hata kama ni 'Mtu kwao',hii sasa imezidi. Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa,Hayati Samwel Sitta alianzisha na kusimamia ujenzi wa Ofisi ya Spika huko Urambo,Tabora. Nyumbani na jimboni kwake. Ofisi ikajengwa.
Sasa unajengwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa huko Chato,Geita. Nyumbani na lililokuwa jimbo la Rais na Mwenyekiti wetu wa CCM,Dr. John Pombe Magufuli. Uwanja umeshaanza kujengwa na ujenzi umeshika kasi.
Ofisi ya Spika kule Urambo,kama ulivyo Uwanja wa Ndege wa Chato,ilijengewa hoja na kutetewa na Wabunge wetu wa CCM. Kwasasa,haijulikani Ofisi ile ya Urambo inatumikaje na inatumika na nani. Labda Spika Ndugai huwa anaitumia.
Mambo ya Urambo yaweza kujirudia Chato. Hii ndiyo courtesy begins at home? Urambo=Chato?
Bunduki za nini tena jamani katika kujenga hoja!?
Mzee Tupatupa wa Lumumba(kwasasa Kibiti,Pwani)
.Mbaya zaidi Kampuni inayofanya ujenzi ni YAKE MWENYEWE.. MAYANGA CONTRACTORS ENGINEERING LTD...
Ni ile ile iliyofanya upanuzi wa Barabara inayotaka Mwanza Airport..
Aibu kabisa.
mkuu kuna chochote unajua kuhusu mmiliki HALISI wa kwanza wa hii kamuni..
Da! mhudumu ongeza grass! Nireewe nirewe tu!Mbaya zaidi Kampuni inayofanya ujenzi ni YAKE MWENYEWE.. MAYANGA CONTRACTORS ENGINEERING LTD...
Ni ile ile iliyofanya upanuzi wa Barabara inayotaka Mwanza Airport..
Aibu kabisa.
Hivi wewe ni raia wa Tanzania au ni mgeni? Kila Rais uwa anaangalia kwao. Mwalimu Nyerere alitoa kipaumbele kwa watu kutoka mkoani kwake kuwa na nafasi nyingi jeshini, Mkapa kajenga daraja kubwa kwao, Kikwete kajenga bandari kwao na sasa huyu wa sasa amejenga uwanja wa ndege kwao Chato. Hata kama mimi ningekuwa Rais leo hii, ni wazi kwamba ningeweza kuweka au kujenga kitu chochote cha maana nyumbani kwetu. Dunia nzima, asilimia kubwa ya marais uwa wanawekeza nyumbani kwao. Sasa sijui wewe ni kwa nini unashangaa leo!Hata kama ni 'Mtu kwao',hii sasa imezidi. Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa,Hayati Samwel Sitta alianzisha na kusimamia ujenzi wa Ofisi ya Spika huko Urambo,Tabora. Nyumbani na jimboni kwake. Ofisi ikajengwa.
Sasa unajengwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa huko Chato,Geita. Nyumbani na lililokuwa jimbo la Rais na Mwenyekiti wetu wa CCM,Dr. John Pombe Magufuli. Uwanja umeshaanza kujengwa na ujenzi umeshika kasi.
Ofisi ya Spika kule Urambo,kama ulivyo Uwanja wa Ndege wa Chato,ilijengewa hoja na kutetewa na Wabunge wetu wa CCM. Kwasasa,haijulikani Ofisi ile ya Urambo inatumikaje na inatumika na nani. Labda Spika Ndugai huwa anaitumia.
Mambo ya Urambo yaweza kujirudia Chato. Hii ndiyo courtesy begins at home? Urambo=Chato?
Bunduki za nini tena jamani katika kujenga hoja!?
Mzee Tupatupa wa Lumumba(kwasasa Kibiti,Pwani)
Utatafuta kwa kurunzi labda wawekeze kwenye satoKWA AINA YA UWANJA UNAOJENGWA PALE,NGOJA NITAFUTE NAULI NIKATEMBELEE CHATO KUONA FURSA ZA UWEKEZAJI
Jamani jamani!! Kama Ni kweli Basi nchi inakuwa plunderedMbaya zaidi Kampuni inayofanya ujenzi ni YAKE MWENYEWE.. MAYANGA CONTRACTORS ENGINEERING LTD...
Ni ile ile iliyofanya upanuzi wa Barabara inayotaka Mwanza Airport..
Aibu kabisa.
Usiseme kwa sauti, wasiojulikana wapo karibu nawe.Hata kama ni 'Mtu kwao',hii sasa imezidi. Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa,Hayati Samwel Sitta alianzisha na kusimamia ujenzi wa Ofisi ya Spika huko Urambo,Tabora. Nyumbani na jimboni kwake. Ofisi ikajengwa.
Sasa unajengwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa huko Chato,Geita. Nyumbani na lililokuwa jimbo la Rais na Mwenyekiti wetu wa CCM,Dr. John Pombe Magufuli. Uwanja umeshaanza kujengwa na ujenzi umeshika kasi.
Ofisi ya Spika kule Urambo,kama ulivyo Uwanja wa Ndege wa Chato,ilijengewa hoja na kutetewa na Wabunge wetu wa CCM. Kwasasa,haijulikani Ofisi ile ya Urambo inatumikaje na inatumika na nani. Labda Spika Ndugai huwa anaitumia.
Mambo ya Urambo yaweza kujirudia Chato. Hii ndiyo courtesy begins at home? Urambo=Chato?
Bunduki za nini tena jamani katika kujenga hoja!?
Mzee Tupatupa wa Lumumba(kwasasa Kibiti,Pwani)
kama aliwahi kukiri kufatilia kipindi cha tv cha shilawadu ataachaje kuifatilia jf.Unamwambia nani?? Sidhani hata kama anasoma kwanza kinachoandikwa mitandaoni
Sawa Dr Shika umesikika!....Mbona umepanic sana jombaa, hebu tafuta balimi baridi ushushe mzuka...
Mkuu hii fasihi imekaa vema wachache watakuelewa ......Kweli mkuu wakati Mobutu Sese Seko anajenga uwanja wa ndege kijijini kwake watu walikuwa na wivu kama huu, leo uwanja unaingiza pesa nyingi za kigeni na kuchangia pato la taifa, kwani watalii mbali mbali wamekuwa wakimiminika kwenda kuyashangaa magofu na kujiuliza aliwezaje kujenga uwanja kama huo katikati ya lindi la umasikini wa wananchi wake. View attachment 629913 View attachment 629914
Oneni comments za mataahira!! Yaani wewe pamoja na kwamba umejaza mavi kichwani huoni kabisa shida iliyopo?Wewe ulitaka kampuni iwe yako?