Naufananisha Uwanja wa Ndege wa Chato na Ofisi ya Spika ya Urambo

Teh teh teh teh
 
Mbaya zaidi Kampuni inayofanya ujenzi ni YAKE MWENYEWE.. MAYANGA CONTRACTORS ENGINEERING LTD...
Ni ile ile iliyofanya upanuzi wa Barabara inayotaka Mwanza Airport..
Aibu kabisa.

Labda pasi ndefu ili ikimaliza ikapewe wa mwanza na vingine si unajua fursa za kibiashara za viongozi wa kiafrika. Ukienda mbali hizi ndio sababu za wao kuja kung'ang'ania madarakani ili na kampuni ziendelee kuishi.

Utashangaa saa nyingine hata bomba la mafuta wameshatia mikono yao.
 

WanaCCM mlichotuletea mnakijua wenyewe ila mtatulipa watanzania kwa u............p.............................z...........i huu mliotuletea
 
Mbaya zaidi Kampuni inayofanya ujenzi ni YAKE MWENYEWE.. MAYANGA CONTRACTORS ENGINEERING LTD...
Ni ile ile iliyofanya upanuzi wa Barabara inayotaka Mwanza Airport..
Aibu kabisa.
.

huo uwanja tu hauna faida kwa jamii... ila hiyo kuweka kampuni yake ni kashfa nyingine... TAKUKURU mko wapi...
 
mkuu kuna chochote unajua kuhusu mmiliki HALISI wa kwanza wa hii kamuni..




hii ni kashfa kubwa sana..

hata ikiwa wamebadilisha profile details hawawezi kubadilisha taarifa za wamiliki kule Brela.
 
Hivi wewe ni raia wa Tanzania au ni mgeni? Kila Rais uwa anaangalia kwao. Mwalimu Nyerere alitoa kipaumbele kwa watu kutoka mkoani kwake kuwa na nafasi nyingi jeshini, Mkapa kajenga daraja kubwa kwao, Kikwete kajenga bandari kwao na sasa huyu wa sasa amejenga uwanja wa ndege kwao Chato. Hata kama mimi ningekuwa Rais leo hii, ni wazi kwamba ningeweza kuweka au kujenga kitu chochote cha maana nyumbani kwetu. Dunia nzima, asilimia kubwa ya marais uwa wanawekeza nyumbani kwao. Sasa sijui wewe ni kwa nini unashangaa leo!
 
Mbaya zaidi Kampuni inayofanya ujenzi ni YAKE MWENYEWE.. MAYANGA CONTRACTORS ENGINEERING LTD...
Ni ile ile iliyofanya upanuzi wa Barabara inayotaka Mwanza Airport..
Aibu kabisa.
Jamani jamani!! Kama Ni kweli Basi nchi inakuwa plundered
 
Usiseme kwa sauti, wasiojulikana wapo karibu nawe.
 
Anataka wageni wamfuate chato wapande bombadia na kulala kwenye hoteli zake.
 
Mkuu hii fasihi imekaa vema wachache watakuelewa ......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…