Naufunga mjadala: Zuchu ni mwandishi bora wa nyimbo kuliko Lady Jaydee

Naufunga mjadala: Zuchu ni mwandishi bora wa nyimbo kuliko Lady Jaydee


Kwenye pen game hakuna msanii wa kike wa bongofleva amewahi kufikia uwezo wa Zuchu toka bongofleva izaliwe nasema hakuna.

Jide ni msanii mkali, anauwezo mkubwa kafanya hitsong nyingi namheshimu kwa ilo ila huu mjadala nimeuona uko kuwa Jide anaweza andika kumzidi Zuchu haupo sahihi.

Jide ni mkongwe ila ngoma nyingi ameandikiwa, Zuchu 97% ya ngoma zake anaandika mwenyewe.

Nafikiri mnaona uhandishi wa Zuchu hata wasanii wa kiume wengi hawamuwezi.

Nyimbo kama Raha, Kwaru, Nisamehe, Naringa ni uhandishi wa kiwango cha juu sana cha sanaa.

Huu mjadala usiendelee popote nimeumaliza rasmi.
Hivi hako kamdomo anakabinuaga au ndo alivyo huyu mrembo?
 

Kwenye pen game hakuna msanii wa kike wa bongofleva amewahi kufikia uwezo wa Zuchu toka bongofleva izaliwe nasema hakuna.

Jide ni msanii mkali, anauwezo mkubwa kafanya hitsong nyingi namheshimu kwa ilo ila huu mjadala nimeuona uko kuwa Jide anaweza andika kumzidi Zuchu haupo sahihi.

Jide ni mkongwe ila ngoma nyingi ameandikiwa, Zuchu 97% ya ngoma zake anaandika mwenyewe.

Nafikiri mnaona uhandishi wa Zuchu hata wasanii wa kiume wengi hawamuwezi.

Nyimbo kama Raha, Kwaru, Nisamehe, Naringa ni uhandishi wa kiwango cha juu sana cha sanaa.

Huu mjadala usiendelee popote nimeumaliza rasmi.
Huyu si walitaka kampusua viatu vya kichwani majuzi hapa?
 
Nashauri tusitumie Matusi, Lugha ya kuudhi, udhalilishaji wala kuwachapa viboko Vijana wa miaka ya 2000 mpaka sasa. Tuwasaidie wajue Muziki umetoka wapi na kwa nini Wasanii wa zamani ni Bora kuliko sasa. Si Lady Jay Dee tu uliyemtaja kwa kebehi; Tafuta Kizazi chote cha akina Dully Sykes, K Sal, Daz Nundaz, Prof Jizeee, Baba Tunda na AsanteSana kutoka Misufini Moro, Mtoto wa Chemba Squad Noora -Mez B wa Area C bila kumsahau Mkali wangu wa Free style wa muda wote Cowboy Ngwea, Inspector Haroun Babuuu, Juma Nature Kiroboto, Mkongwe wa game Sugu, Solo Thang, TID wa Zeze, Wagosi wa Kaya na Kesi ya Mkoa, Chid Benzinoo, East Coast ya Mwana FA -AY-King Crazy GK, Pauline Zongo nk, Mandojo na Domokaya ...Taja Vipaji vyote vya zamani halafu fananisha na muziki wenu wa sasa UTAELEWA KWA NINI BONGO FLEVA ilishakufa, tunasikiliza muziki ili mradi siku ziende. Mkongwe Master J aliwahi kusema, itakuwa fedheha kubishana na Kijana wa sasa ambaye anamuuliza 'Master J ulifanya nini enzi zako?'
 
Back
Top Bottom