and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Kuna kitu kimoja kwa jina sitokitaja... Inaitwa 'kitu'Mfano wimbo upi Zuchu kaimba matusi?
Nimeshangaa sana! Kumbe hata muziki mzuri wengi hawaujui!Kalamu ipi , kalamu ya kuandika matusi, hivi nyie madogo mmekuwaje?
Zuchu nyimbo zake si matusi tu, hata ukikaa na mzazi aibu kusikiliza.
Mbona wazazi wako wanasikiliza muogo wa jang'ombe, unaelewa maana ya muogo wa jang'ombe?Kuna kitu kimoja kwa jina sichokitaja...
Wewe hio nyimbo unaweza kusikiliza sebuleni na wanao?
Nyimbo nyingi tu..Mfano wimbo upi Zuchu kaimba matusi?
Hivi hako kamdomo anakabinuaga au ndo alivyo huyu mrembo?
Kwenye pen game hakuna msanii wa kike wa bongofleva amewahi kufikia uwezo wa Zuchu toka bongofleva izaliwe nasema hakuna.
Jide ni msanii mkali, anauwezo mkubwa kafanya hitsong nyingi namheshimu kwa ilo ila huu mjadala nimeuona uko kuwa Jide anaweza andika kumzidi Zuchu haupo sahihi.
Jide ni mkongwe ila ngoma nyingi ameandikiwa, Zuchu 97% ya ngoma zake anaandika mwenyewe.
Nafikiri mnaona uhandishi wa Zuchu hata wasanii wa kiume wengi hawamuwezi.
Nyimbo kama Raha, Kwaru, Nisamehe, Naringa ni uhandishi wa kiwango cha juu sana cha sanaa.
Huu mjadala usiendelee popote nimeumaliza rasmi.
We wazazi wangu hawasikilizi huo upuuzi...Mbona wazazi wako wanasikiliza muogo wa jang'ombe, unaelewa maana ya muogo wa jang'ombe?
Hiyo ndio sanaa.
Nimeshangaa sana! Kumbe hata muziki mzuri wengi hawaujui!
Huyu si walitaka kampusua viatu vya kichwani majuzi hapa?
Kwenye pen game hakuna msanii wa kike wa bongofleva amewahi kufikia uwezo wa Zuchu toka bongofleva izaliwe nasema hakuna.
Jide ni msanii mkali, anauwezo mkubwa kafanya hitsong nyingi namheshimu kwa ilo ila huu mjadala nimeuona uko kuwa Jide anaweza andika kumzidi Zuchu haupo sahihi.
Jide ni mkongwe ila ngoma nyingi ameandikiwa, Zuchu 97% ya ngoma zake anaandika mwenyewe.
Nafikiri mnaona uhandishi wa Zuchu hata wasanii wa kiume wengi hawamuwezi.
Nyimbo kama Raha, Kwaru, Nisamehe, Naringa ni uhandishi wa kiwango cha juu sana cha sanaa.
Huu mjadala usiendelee popote nimeumaliza rasmi.
Unajichanganya sana mkuu acha kuwa emotional unapofanya judgement.We wazazi wangu hawasikilizi huo upuuzi...
Au unafikiri kila muziki wa zamani ni mzuri...
Zuchu hamna kitu...
Upo OP.Zuchu anaimba vizuri ndiyo,ila Jide aliimba vizuri pia,wote wanaimba vizuri,anachotakiwa Zuchu afanye,ni kudumu kwenye gemu muda mrefu,kama Jide alivyo.
Nshakuambia Zuchu hata yule dada Ruby hafiki kwa kuimba, Zuchu ni label inambeba tatizo nyie madogo wa 2001 muziki hamjui...Unajichanganya sana mkuu acha kuwa emotional unapofanya judgement.
Duh comprehension ni janga la taifa 🥺Nshakuambia Zuchu hata yule dada Ruby hafiki kwa kuimba, Zuchu ni label inambeba tatizo nyie madogo wa 2001 muziki hamjui...
Labda wazazi wako wale vijana waliokuzaa miaka ya 2002, wazazi wangu wakongwe walisikiliza nyimbo kipindi hiko vijana 1970s.. na 1950s...Mbona wazazi wako wanasikiliza muogo wa jang'ombe, unaelewa maana ya muogo wa jang'ombe?
Hiyo ndio sanaa.
Watoto 2005 mna shida sana...Duh comprehension ni janga la taifa 🥺
Waliskiliza usimchezee chatu oooh chatu na MAKUmbeleLabda wazazi wako wale vijana waliokuzaa miaka ya 2002, wazazi wangu wakongwe walisikiliza nyimbo kipindi hiko vijana 1970s.. na 1950s...
Aaah wapi!!!Waliskiliza usimchezee chatu oooh chatu na MAKUmbele