Kwamba zuchu label ndo inambeba??Nshakuambia Zuchu hata yule dada Ruby hafiki kwa kuimba, Zuchu ni label inambeba tatizo nyie madogo wa 2001 muziki hamjui...
Ni kichaa tu anayeanzisha mjadala na kuufunga bila kudadiliwa na mtu mwingine...mpigie tu debe ,shanga zake zikichakaa atakugawia
Kwenye pen game hakuna msanii wa kike wa bongofleva amewahi kufikia uwezo wa Zuchu toka bongofleva izaliwe nasema hakuna.
Jide ni msanii mkali, anauwezo mkubwa kafanya hitsong nyingi namheshimu kwa ilo ila huu mjadala nimeuona uko kuwa Jide anaweza andika kumzidi Zuchu haupo sahihi.
Jide ni mkongwe ila ngoma nyingi ameandikiwa, Zuchu 97% ya ngoma zake anaandika mwenyewe.
Nafikiri mnaona uhandishi wa Zuchu hata wasanii wa kiume wengi hawamuwezi.
Nyimbo kama Raha, Kwaru, Nisamehe, Naringa ni uhandishi wa kiwango cha juu sana cha sanaa.
Huu mjadala usiendelee popote nimeumaliza rasmi.
Hawa madogo bado sana wataleta ubishi!Kuna kitu kimoja kwa jina sitokitaja... Inaitwa 'kitu'
Wewe hio nyimbo unaweza kusikiliza sebuleni na wanao? Au mzazi kama yupo au watu wazima unao waheshimu?
Jay Dee nilimshuhudia anafanya live performance yule dada anaimba aisee...Hawa madogo bado sana wataleta ubishi!
Chuma cha..
Understanding na Tid
Faraja
Machozi
Nakuota aliyoshirikishwa na Q chief
Pumziko
Si wema
Na live performance ni hatari...
Nailazimisha furaha,Sio kweli japo una uhuru wa maoni mkuu ukitaka kujua ufundi wa jide kasikilize yahaya
"Wa nok nok " || Jide x dojo x kaya
"Kama Jana '" || Kibla x jide
" Sawa na wao ". || Jide
Together remix Jide & spicy ⚡⚡
View attachment 3129705
JaroMfano wimbo upi Zuchu kaimba matusi?
Kwakuwa mnashea bwana?
Kwenye pen game hakuna msanii wa kike wa bongofleva amewahi kufikia uwezo wa Zuchu toka bongofleva izaliwe nasema hakuna.
Jide ni msanii mkali, anauwezo mkubwa kafanya hitsong nyingi namheshimu kwa ilo ila huu mjadala nimeuona uko kuwa Jide anaweza andika kumzidi Zuchu haupo sahihi.
Jide ni mkongwe ila ngoma nyingi ameandikiwa, Zuchu 97% ya ngoma zake anaandika mwenyewe.
Nafikiri mnaona uhandishi wa Zuchu hata wasanii wa kiume wengi hawamuwezi.
Nyimbo kama Raha, Kwaru, Nisamehe, Naringa ni uhandishi wa kiwango cha juu sana cha sanaa.
Huu mjadala usiendelee popote nimeumaliza rasmi.
Utakua umelewa wewe sio bure
Kwenye pen game hakuna msanii wa kike wa bongofleva amewahi kufikia uwezo wa Zuchu toka bongofleva izaliwe nasema hakuna.
Jide ni msanii mkali, anauwezo mkubwa kafanya hitsong nyingi namheshimu kwa ilo ila huu mjadala nimeuona uko kuwa Jide anaweza andika kumzidi Zuchu haupo sahihi.
Jide ni mkongwe ila ngoma nyingi ameandikiwa, Zuchu 97% ya ngoma zake anaandika mwenyewe.
Nafikiri mnaona uhandishi wa Zuchu hata wasanii wa kiume wengi hawamuwezi.
Nyimbo kama Raha, Kwaru, Nisamehe, Naringa ni uhandishi wa kiwango cha juu sana cha sanaa.
Huu mjadala usiendelee popote nimeumaliza rasmi.
Jide anajua bhana!Jay Dee nilimshuhudia anafanya live performance yule dada anaimba aisee...
Mziki unapigwa umetulia unapiga fundo za vinywaji taratiiiib...
Sio unaniimbia 'kuna kitu kimoja sijui kinasimama kinataka kinyama.... Ptuuu.. upuuzi tu..
Jide mzuri kuandika kuliko zuchu na sio kuandika tu bali kwenye angle zote, sio sababu ya jide kuaanza zamani muziki bali yupo vizuri hata angeanza leosinza pazuri huwa unaropoka na kuandika vitu kimuhemko, utakuwa na maisha magumu sana kwenye hii dunia. Zuchu umemjua lini ? Mida huu saa 15:22 nipo na Jamaa anaitwa Mzazizo ni moja ya watu wanaomuandikia Zuchu nyimbo.
Wewe ni Kijana wa hovyo na umejaa ushabiki maandazi tu hujui kitu. Nyerere aliikomboa Tanzania mikononi mwa Wakoloni halafu leo hii uje useme eti Jakaya Kikwete ni Tajiri kuliko Nyerere. Muache Jide kumfananisha na Zuchu kila kitabu kina zama zake.
Nakupa assignment mtafute Mzazizo ni nani ?
Binafsi nilikuwa sidhani kama Zuchu ana andika mwenyewe nyimbo zakesinza pazuri huwa unaropoka na kuandika vitu kimuhemko, utakuwa na maisha magumu sana kwenye hii dunia. Zuchu umemjua lini ? Mida huu saa 15:22 nipo na Jamaa anaitwa Mzazizo ni moja ya watu wanaomuandikia Zuchu nyimbo.
Wewe ni Kijana wa hovyo na umejaa ushabiki maandazi tu hujui kitu. Nyerere aliikomboa Tanzania mikononi mwa Wakoloni halafu leo hii uje useme eti Jakaya Kikwete ni Tajiri kuliko Nyerere. Muache Jide kumfananisha na Zuchu kila kitabu kina zama zake.
Nakupa assignment mtafute Mzazizo ni nani ?