raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Ana mahaba na ZuchuMkuu, shikilia hapo sasa, kama unataka kufahamu anachokifanya Zuchu;
- Mixing ya taarabu na singeli
- Boosting ya matusi
- Sauti inasaidiwa na vyombo
Show ya kwanza ya Jide naudhuria pale Diamond Jibilee, 2001, imeandaliwa na Clouds, nilipata wasaa wa kukaa naye meza moja aisee; itoshe kusema,
- Mleta mada anatafuta mileage kwenye thread yake na si vinginevyo!
Ana miaka 21Una miaka mingapi?
Uha uhakika zuchu haandikiwi kijana?Jide mara nyingi anaandikiwaga naamewahi kukiri domokaya ni moja kati ya mwandishi wake tofauti na Zuchu anaandika mwenyewe kwenye hili namuunga mkono mtoa mada but overall ukizungumzia kuhusu ubora wa kuimba Jide yupo by far zaidi ya Zuchu
Ninaishi dar na bado unanifokeaUha uhakika zuchu haandikiwi kijana?
Hebu acha kupotosha nenda dar ujue mengi sio kujifungia huko nachingwea
Nami nashangaa. Anafananishaje BINTI na CHAPATI ya Zuchu?Huenda hujui hata Ngoma za Lady Jaydee
Kweli Utafananisha "HONEY" ya Zuchu na
"UNDERSTANDING" ya Lady Jaydee
watoto wa 2005 nyie
Kinaanza kwanza kipaji ndio kinafata unachosema, diamond hawezi kumsupport kimuziki mtu asiye na kipajiJe Zuchu anaweza kusimama mwenyewe na uandishi bila Diamond na WCB?
Ile aliyoimba mpaka akafungiwa ZanzibarMfano wimbo upi Zuchu kaimba matusi?
hawana mvuto..au enzi zao zimeishaMbona queen darling na lavalava wapo wcb lakini hawabebwi na label??
Nadhani hapa amezungumzia uandishi wa mashairi na si kitu kingine.Jay Dee si kumlinganisha na Zuchu.
Jay Dee huyo anamzaa huyo Zuchu, heshimu amekaa kwenye game muda wote huo na bado anapambana na watoto wa 2000s.
Kitu ambacho hatuna uhakika Zuchu atafika hapo...
Kama ulishawahi ingia shows za Jay Dee utakiri Zuchu hawezi kufanya live performance kwa kuimba kama Jay Dee....
Inasemekana 'eti' WCB kama hauandiki nyimbo zako mwenyewe hauwezi kuwa signed(hii ukitoa Queen Darlin ambaye alisainiwa kwa kigezo cha undugu).Uha uhakika zuchu haandikiwi kijana?
Hebu acha kupotosha nenda dar ujue mengi sio kujifungia huko nachingwea
πππππππndio maana hajielewiAna miaka 21
Anasoma chuo
Bado anakaa kwao
Chapati chapati π€£π€£Jay Dee nilimshuhudia anafanya live performance yule dada anaimba aisee...
Mziki unapigwa umetulia unapiga fundo za vinywaji taratiiiib...
Sio unaniimbia 'kuna kitu kimoja sijui kinasimama kinataka kinyama.... Ptuuu.. upuuzi tu..
Kwenye pen game hakuna msanii wa kike wa bongofleva amewahi kufikia uwezo wa Zuchu toka bongofleva izaliwe nasema hakuna.
Jide ni msanii mkali, anauwezo mkubwa kafanya hitsong nyingi namheshimu kwa ilo ila huu mjadala nimeuona uko kuwa Jide anaweza andika kumzidi Zuchu haupo sahihi.
Jide ni mkongwe ila ngoma nyingi ameandikiwa, Zuchu 97% ya ngoma zake anaandika mwenyewe.
Nafikiri mnaona uhandishi wa Zuchu hata wasanii wa kiume wengi hawamuwezi.
Nyimbo kama Raha, Kwaru, Nisamehe, Naringa ni uhandishi wa kiwango cha juu sana cha sanaa.
Huu mjadala usiendelee popote nimeumaliza rasmi.
A person who canβt compose a logic must not be consideredUpo nje ya mada mkuu. Hii mada haizungumzii nani ni mkongwe.
Mada inahusu kalamu.
Hizo nyimbo ulizotaja hapo mwandishi sio Lady JDYes nami naongelea uandishi angalia hata siku hazigandi ni kama Version ya NARINGA Kwa sasa
Angalia WANGU aliyopiga na Byser mule Jide alitulia kuandika