Nauli hizi za SGR nani atapanda? Kutoka Dar - Moro Tsh 24,000?

Nauli hizi za SGR nani atapanda? Kutoka Dar - Moro Tsh 24,000?

Ndio hivyo mkuu, alihojiwa meneja uwanja akajibu hvyo nilimsikia mwenyewena kibongobongo inawezekana kwa sababu ya unit moja inauzwa kwa bei tofauti kulingana na matumizi husika...mfano nyumbani wanauza bei ndogo kulinganisha na mashine ya kusaga... So kwa huko uwanjani watauza hata unit moja 10000+
 
Pumbavu kweli wewe nauli ndogo wakati kuna watu waliiba billion 3 wako segerea. Basi moja inabeba watu si chini ya 350 during rush hours. Nauli ndogo ni 750. Per trip ni 262,500 hio ya kuishia Kimara tu. Chukulia basi kumi zifanye mzunguko huo mara 6 kuanzia saa 10 jioni hadi saa 3 usiku.

Roughly 262,500x10x6=15,750,000 hio ni Gerezani - Kimara one way hujahesabia kurudi. Ukiweka nenda rudi manaake unazungumzia 25M.

Kivukoni-Kimara nako upate 15,750,000 one way. Ukiweka nenda rudi maanake unazungumzia 30M kwa traffic ya ferry.

Hapo sijagusa ya mbezi mwisho ambayo ni 400x350=140,000
Ukiweka mabasi 10 yaende 6 trip kila moja ni 140,000x10x6 =8,400,000 hio ni one way Kimara-Mbezi tu during rush hours. Ukiweka 2 way maana yake inaweza gonga 12M.

Sijazungumzia less profitable routes kama Moroco, Muhimbili na Mwenge. Tuchukulie zote combined two ways zilete 23M tu during rush hours.

Twende kwenye hesabu ya jumla sasa.
Kwa masaa 5 tu ya jioni kuanzia saa 10.

Kimara-Gerezani: 25M
Kivukoni-Kimara: 30M
Kimara-Mbezi: 12M
Muhimbili-Morroco-Mwenge: 23M
SUB Totals================90M

Routes asubuhi: 70M
Routes jioni: 90M
TOTAL================160M

EXPENSES
FUEL. 20M
MISC. 5M (25)

NET==================135M

Humo una justify vipi kwamba umeshindwa nunua basi? Hio ni hesabu ya siku tu. Fanya kwa mwezi mzima utagundua kuwa hizo basi zinaweza generate 4.05B ukitoa mishahara ya kulipa staff wote, maintanance na vipuri utagundua the company makes around 2.5 Billions each month on average.

Basi moja la kichina likizidi sana ni 300M na hununui kila siku. Ukimeki kila mwaka useme ununue 10 tu kwa hio income inashindikanaje? Mwendokasi unauliwa na ufisadi. Msimamizi mzuri wa mradi hayupo wamekabidhiana wezi.
Mkuu
Kwanza shukrani kwa tusi.
Then, hesabu hazifanywi hivi.
This is exaggeration. Hujawaza hiyo miundombinu ambayo ni rented. Interest on loan kwa hayo mabasi. Fuel hujasema estimate zako zikoje.
Ingekuwa lucrative hivyo, ingekuwa tofauti sana.
Hiyo passengers 350 ni overestimate. Hiyo mizunguko 6 huipati kwa muda wa saa 10 mpaka saa 3.
 
Mkuu
Kwanza shukrani kwa tusi.
Then, hesabu hazifanywi hivi.
This is exaggeration. Hujawaza hiyo miundombinu ambayo ni rented. Interest on loan kwa hayo mabasi. Fuel hujasema estimate zako zikoje.
Ingekuwa lucrative hivyo, ingekuwa tofauti sana.
Hiyo passengers 350 ni overestimate.
Mkuu unaonekana unasafiri na gari yako binafsi. Hujawahi panda mwendo kasi wewe.,
 
Waweke 15k ntapanda ila 24, napanda kimbinyiko napitiliza Dodoma
15,000/- angalau sana tutaweza kulipa japo kitu kitachosababisha watu 50% wasipande ni garama, mfano mabasi yatatoza 10,000/-, yule mchumia juani mchumi, ambaye hajali kupoteza muda unadhani ataenda kupanda hilo dubwana?.

Hata mimi kama sina jambo la haraka sitapanda hilo dude, kuokoa 5000/- napanda bus.
 
15,000/- angalau sana tutaweza kulipa japo kitu kitachosababisha watu 50% wasipande ni garama, mfano mabasi yatatoza 10,000/-, yule mchumia juani mchumi, ambaye hajali kupoteza muda unadhani ataenda kupanda hilo dubwana?.

Hata mimi kama sina jambo la haraka sitapanda hilo dude, kuokoa 5000/- napanda bus.
Watashamgaa😅😅😅
 
Mwenye miradi yake asingekubali huu ujinga abadani.... na bado kuna chawa wanaona bibi yao ni genius. Yote hii ni shida ya kuwa na kichwa kinachotegemea kila kitu wawaze wengine.
 
15,000/- angalau sana tutaweza kulipa japo kitu kitachosababisha watu 50% wasipande ni garama, mfano mabasi yatatoza 10,000/-, yule mchumia juani mchumi, ambaye hajali kupoteza muda unadhani ataenda kupanda hilo dubwana?.

Hata mimi kama sina jambo la haraka sitapanda hilo dude, kuokoa 5000/- napanda bus.
Hivi natokaje Kibamba nikapande treni Posta halafu naenda Moro
 
Hivi natokaje Kibamba nikapande treni Posta halafu naenda Moro
Ndiyo maana ya ile comment yangu, kwamba watapanda wasio na haraka, kama sina jambo la haraka sitapanda hilo dude, kuokoa 5000+ napanda bus.
 
Back
Top Bottom