fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Yaani nikionaga haka kapicha huwa natukana kimoyo moyo. Kwanini kusiwe na board inayofuatilia utendaji wa hawa wakuu wa idara mbalimbali au ndio mwendo wa kulindana kwasababu wote wanatoka kwenye duka moja?
Kama umeshirikisha na utandawaz huu mbona wananchi hao hao hawana habari? Kwanini wanalalamika sasa?
Nyambafff......