Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lugha ya jiwe! aliwaambia kigamboni Kha!!Piga mbizi kama huna nauli
Hapana haiwezekani ikawa hivyo.Million 11 Tsh
Piga mbizi kama huna nauli
Usifikirie idadi ndongo wa marubani wa TZ ambao hawazidi 10.Hapana haiwezekani ikawa hivyo.
Hata hivyo million 11 tu? Hela ndogo sana iyo. Mshahara wa rubani wangu wa private jet Gulfstream kwa saa ikiwa angani.
Usifikirie idadi ndongo wa marubani wa TZ ambao hawazidi 10.
Fikiria maelfu ya machinga wadogo wanaoenda China
Economy class haizidi dollar 1500Vip nauli ya Tz, to USA
Machinga wamefungua hadi gazeti lao la kusifia serikali, wso wako poa kabisa.Nauli ya kwenda Ganzhou, China imefikia Million 11 . Hiyo Ni kwenda tu. Kuhusu malazi , matumizi na nauli ya kurudia bado ni juu yako. Naona Rais amefungua nchi kwa wageni tu , Ila si kwa wa-TZ .
Machinga wenzangu mtaji upo?