...Labda ni kwa Sababu unakwenda 'Nchi' nyingine!Huo usafiri wa ndege duniani kote unajulikana, na ni kutokana na gharama nyingi zilizoko huko, hoja hapa ni kwenye usafiri wa majini, ki ukweli hizi gharama hapo hazina uhalisia kabisa na umbali, huo, hata kama labda ni kutokana na boat kuwa za kisasa lakini bado,
Huo usafiri wa ndege duniani kote unajulikana, na ni kutokana na gharama nyingi zilizoko huko, hoja hapa ni kwenye usafiri wa majini, ki ukweli hizi gharama hapo hazina uhalisia kabisa na umbali, huo, hata kama labda ni kutokana na boat kuwa za kisasa lakini bado,
Mi napandaga VIPIle nauli ya sh 25,000 vigezo ni vyombo vinavyotumika ni gali sana au ni umbali?
Maana Zenji ukitoka na boti tu bandari ya Dar ukipiga hatua chache unaiona kwa macho, na ukitoka bandari ya Zanzibar hatua chache tu unaanza kukiona kiwanda cha Wazo yaani ni karibu tu ila nauli kuwa 25,000 kuendelea sijui ni vigezo gani vinatumika.
Hiyo ni precision nyingine sijawahi panda!
Shida sio kuona shida ni hao Ewura
NB toka zenji hadi daslam ni 36Km ambapo kwa bas almost ni 2000 to 3000
Hivi kwenda unguja lazma mpite Pemba au ni Moja Kwa MojaAcha kudanganya umma wewe. Dar mpaka Unguja ni 120KM. Hata ingekuwa bus nauli isingepungua 5,000 Shs.
Mi nitapiga mbizi one dey😂Vuka kwa miguu mkuu.
Jana nimemkatia mtu v.i.p elf 35 Ni dkt alikwenda kwenye semina
Ni ghli Sana sijapenda na akuna alternative au washindani wengi ktk hyo viasha na muda wa boti Ni saa moja saa sita .na saa kumi
Kampuni Ni mbil tu Zanzibar feri na Kilimanjaro expresView attachment 2153352
Unguja ipo karibu na Dar, Pemba Iko karibu na Tanga. Kutoka Dar kwenda Unguja ni karibu kuliko kutoka Unguja kwenda Pemba.Hivi kwenda unguja lazma mpite Pemba au ni Moja Kwa Moja
Kama unaona ni nyingi piga mbizi tuu mkuuIle nauli ya sh 25,000 vigezo ni vyombo vinavyotumika ni gali sana au ni umbali?
Maana Zenji ukitoka na boti tu bandari ya Dar ukipiga hatua chache unaiona kwa macho, na ukitoka bandari ya Zanzibar hatua chache tu unaanza kukiona kiwanda cha Wazo yaani ni karibu tu ila nauli kuwa 25,000 kuendelea sijui ni vigezo gani vinatumika.
Maji chumvi ndugu yanguHakuna sehemu nimelinganisha na nauli ya basi mimi!!ninacho jiuliza mbona kuna kipindi kulikuwa na boti mwanza kwenda bukoba, nilisafiri kwa tsh.30, 000 na ni safari ya zaidi ya masaa 3?!!kabla hazijafanyiwa zengwe?!!kule hakuna manahodha, mainjinia?!!
Pale kigoma kulikuwa na usafiri wa boti kwenda DRC, karibia masaa 5 majini lakini nauli ilikuwa tsh.40, 000!hapa iwe tsh.25, 000 hapana kuna sehemu sio sawa!!!
15Na ni dk ngapi hadi Zanzibar?