Gypsum Screw
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 701
- 895
miaka 1970 Mwalimu alikuwepo
ulimuuliza?
ulimuuliza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo mambo yalikuja baada ya vita ya Kagera (tulifunga mikanda). Kabla ya hapo us dollar ilikuwa shilingi tano. Na ndiyo ilikuwa nauli ya uda (dala).OK kama wewe ni mkubwa wangu unakumbuka ugali wa yanga tuliokuwa tunakula bila mboga?
Tuongee ukweli kutoka moyoni,kinachowaunganisha watu kutoka moyoni ni Dini,Uisilamu Kwa Zanzibar ulikuwa zaidi ya asilimia tisini na tisa Wazanzinar walikuwa au wako Dini moja,walikuwa wanaswali pamoja,ni ngumu watu hawa kuchinjina,kuna mtu tena wa dini nyingine aliyeenda kuwatia uchonganishiHakuna aliyewaharibia maisha wazanzibar. Ni wenyewe. Nani huyo mtaje ili dunia ikucheke? Shida yetu kubwa hatutaki kukubali tunawajibika kwa madhira yetu wenyewe. Kila tatizo tunasukumia watu wengine. Baada ya mapinduzi, ilikuwa dhahiri yangetokea mapinduzi mengine tena sio muda mrefu. Na hali ya usalama wakati ule, ilikuwa inaangaliwa kwa dhana ya ubepari au ukomunisti.
Je Zanzibar, iligawanyikaje katika hayo makundi mawili? Kina babu na wenzake walishakuwa wakomunisti. Na walikuwa peke yao au wakubwa wengine? Je Mzee Karume alikuwa upande gani? Mwarabu aliyepinduliwa?
Nani aliyeomba kuunganisha nchi na kwa maslahi ya nani? Mambo ya maisha hayana nafasi kwa watu vigeugeu.
Ukigeuka nyuma ukakatataa maneno yako mwenyewe uliyoyasema kwa mdomo wako, unakuwa mnara wa chumvi
Unawajua idadi ya watu waliotiwa kizuizini na nyerere,tena wengine wakakimbia inchi,ni kubwa kuliko marais wote waliokuja baada yakeNyerere last time alikuwa Raisi wa Tanzania almost 40 years ago, leo bado mnafikiri shida zenu ni Nyerere, at least shukuru hakutuachia vita kama haya matekaji ya siku hizi yanapotupeleka, na Kwa msio jua Nyerere alikuwa ahead of his time, yeye ndio alipigania nchi iwe na vyama vingi huku CCM aliyoianzishia walikuwa wanatutisha vyama vingi vitaleta vita, Nyerere nakubali sera zake za uchumi zilituletea umaskini lakini alionekana kubadilika mwishoni, alikuwa mtu wa haki na hakuwahi na Tamaa, alikufa maskini kabisa, na ingekuwa anaishi Nina uhakika asingekubaliana na siasa za CCM za wizi wa kura, kubambikia kesi, utekaji au kuuza maliasiri za nchi. He was a good man
Hakuwa Saint tunajua, nobody is perfectU
Unawajua idadi ya watu waliotiwa kizuizini na nyerere,tena wengine wakakimbia inchi,ni kubwa kuliko marais wote waliokuja baada yake
Ile vita ya Kagera ilikuwa inatumia dola nyingi sana za kimarekani kwa siku? Kumbuka Tz ilikuwa haitengenezi silaha nyingi za kivita, vyote hivyo vilinunuliwa kwa pesa za Kigeni . Naona wachumi wengi hawajadadavua kwa kina athari ya ile vita kwa uchumi wa Tz. ambao uliporomoka sana baada ya vita. Vile vile nidhamu za utendaji kazi maofisini na mashirika ya umma uliporomoka sana , na wizi wa mali ya Umma ukaota mizizi.1. Ukame
2. Njaa kubwa kuwai kutokea mpaka tukala ugali wa njano
3. Pressure kutoka nchi za maghalibi na taasisi za fedha za kimataifa
4. Vita ya Kagera shughuli zote za uzalishaji nikama zilisimama.
5. Kulipuka kwa gonjwa la ukimwi.
Hzo mbanga zilimpeleka mzee puta hakaona yeye hawezi kukubali masharti ya nchi za maghalibi ikabidi angatuke.
Daah, umenifurahisha sana sana na kunikumbusha mbali sana.Wewe Unasema umezaliwa miaka ya sabini halafu Unasema kulikuwa hakuna nguo na kwamba watu walikuwa wanavaa magunia 😂😅
Mimi nimezaliwa miaka ya Hamsini lakini sikuwahi kuona watu wakivaa magunia 🤣
Na pia vyakula tulikuwa tunakula mpaka tunasaza 😀😅
Maisha yalikuwa ya raha sana ndio maana ukaona hata Wacongomani wengi walihamia huku Tanzania kuja kupiga muziki !
Maisha yalikuwa mazuri sana asikudanganye mtu !
Sasa hivi maisha ni magumu kuliko ilivyokuwa Enzi zile !
Kama wapo Wazazi wako waulize !
Wewe usingeweza kujua maisha yakoje maana miaka hiyo ya 70 ndio kwanza Umezaliwa !😅🙌🙏👍
Wewe Unasema umezaliwa miaka ya sabini halafu Unasema kulikuwa hakuna nguo na kwamba watu walikuwa wanavaa magunia 😂😅
Mimi nimezaliwa miaka ya Hamsini lakini sikuwahi kuona watu wakivaa magunia 🤣
Na pia vyakula tulikuwa tunakula mpaka tunasaza 😀😅
Maisha yalikuwa ya raha sana ndio maana ukaona hata Wacongomani wengi walihamia huku Tanzania kuja kupiga muziki !
Maisha yalikuwa mazuri sana asikudanganye mtu !
Sasa hivi maisha ni magumu kuliko ilivyokuwa Enzi zile !
Kama wapo Wazazi wako waulize !
Wewe usingeweza kujua maisha yakoje maana miaka hiyo ya 70 ndio kwanza Umezaliwa !😅🙌🙏👍
U
Unawajua idadi ya watu waliotiwa kizuizini na nyerere,tena wengine wakakimbia inchi,ni kubwa kuliko marais wote waliokuja baada yake
U
Unawajua idadi ya watu waliotiwa kizuizini na nyerere,tena wengine wakakimbia inchi,ni kubwa kuliko marais wote waliokuja baada yake
Mkuu both ways,ila mwanzo alianza vizuri.Kulikuwa na law and order ilioachwa na wakoloni.It's very obvious Nchi Ilimshinda ikamlazimu kutoka tu madarakani
Mwalimu alikosea sehemu mbili...1.UJAMAA NA UTAIFISHAJI ULIOPELEKEA LAANA KUBWA 2. VITA YA UGANDA ILIYOTULETEA UMASIKININimezaliwa miaka 1970, nimekutana na maisha magumu Sana, kulikuwa hakuna Sabuni, Sukari, Mafuta na hata nguo.
Watu walivaa magunia, kulikuwa hakuna vyakula na wakati tunapata uhuru aliikuta Tanganyika iko vyema kutoka kwa mkoloni nchi ikiwa vizuri.
Je, Uongozi ulimshinda?
Akili za kushikiwa hizi.Unajua aliyewaharibia Wazanzibar Maisha?mpaka leo hii hakuna amani hasa kipindi cha uchaguzi sababu yake ni yeye na kila mwaka wapinzani wanashinda,hata mapinduzi yenyewe hayakufanywa na wazanzibar bali wamakonde walipitia Tanga kwenda Zanzibar na kufanya huo unyama wa mauaji kwa faida ya nani,yupo anayejua
Leo hii Zanzibar bila mapinduzi ingekuwa mbali sana kiuchumi tofauti na Tanganyika,
Wewe ni mtu mzima lakini huna akili hata kidogo. Nyerere alikuwa binadamu kama binadamu yeyote na sio malaika lakini J.K Nyerere alifanya jitahada kubwa sana kuivusha Tanzania katika kipindi ambacho teknolojia ilikuwa duni, umasikini mkubwa na wimbi la Ujinga na maradhi.. Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi katu kubeza jitihada za Mwl Nyerere.. Hakika alikuwa mtu muungwana sana na mwenye maono yasiyo mithilika.Nimezaliwa miaka 1970, nimekutana na maisha magumu Sana, kulikuwa hakuna Sabuni, Sukari, Mafuta na hata nguo.
Watu walivaa magunia, kulikuwa hakuna vyakula na wakati tunapata uhuru aliikuta Tanganyika iko vyema kutoka kwa mkoloni nchi ikiwa vizuri.
Je, Uongozi ulimshinda?
Umemaliza kila kitu !Daah, umenifurahisha sana sana na kunikumbusha mbali sana.
Mimi baby yangu alikua ni mkulima wa zao fulani la biashara kule kijijini .
Wakati wa Likizo tulikua tunakwenda kukaa kwa Babu .
Tulikua tunakutana wajukuu zaidi ya 15. Lakini tulikua tunakula chakula na kusaza. Unalazimishwa kula . Kuku wananchi kwa wawili . Kila kitu kilikuwepo na Jumapili wote tunapewa sadaka na babu ya kutoa Kanisani.
mwezi mzima wa likizo ni kama sherehe. Ila kazi kazi tu. Babu akafariki akiwa na zaidi ya miaka 90. Babu alikua na watoto 10 kwa mke mmoja. Mtoto wake wa Kwanza aligraduate Makerere University, na wengine wakiwa wafanya biashara lakini wote walisoma na kupata elimu yenye manufaa kwao.
Babu alikua anaamka mapema sana na kwenda shambani na kila mtu alipangiwa kazi ya kufanya na jioni alikua anakwenda kupiga mitungi yake. Alikua na elimu ya Darasa la nne lakini aliyamudu maisha kisawasawa.
Leo vijana walioko kijiji kile kile ni ombaomba na hakuna tena zao lile la biashara. Wenye hela kidogo ni boda boda na hawawezi hata kuoa na kuishi na mke na hata watoto wawili .
Mwalimu alijenga ujamaa na watu kujitegemea ndio maana Tanzania wananchi hawategemei serikali iwaletee chakula , malazi na hata mavazi.
Wezi wanahalalisha wizi wao kwa kumtukana Nyerere.
Mpaka leo hua najiuliza mbona maisha yale ya kiafrika yalikua mazuri na ya furaha sana .
Hakuuchukia utajiri kama utajiri aliiona jamii yetu kwa wakati ile ikiwa bado ipo nyuma sana kielimu na katika masuala mengi hivyo ujamaa ulikuwa na lengo la kuepuka uwepo wa matajiri wachache sana miongoni mwa maskini wengi sana.Kuna msemo unasema 'huwezi kutumia akili iliyosababisha tatizo kutatua tatizo'..haishangazi kuona kwamba hakuona tatizo kwenye ujamaa wake,ujamaa kwake ulikua dini,alichukia sana mtu kuwa tajiri
Nyerere aliacha viwanda kila mkoa tena vile vikubwa.. MWATEX, MUTEX, General Tyre na vingine vingi tu, nani alikuja kuviua?.Wewe ni mtu mzima lakini huna akili hata kidogo. Nyerere alikuwa binadamu kama binadamu yeyote na sio malaika lakini J.K Nyerere alifanya jitahada kubwa sana kuivusha Tanzania katika kipindi ambacho teknolojia ilikuwa duni, umasikini mkubwa na wimbi la Ujinga na maradhi.. Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi katu kubeza jitihada za Mwl Nyerere.. Hakika alikuwa mtu muungwana sana na mwenye maono yasiyo mithilika.
Unajua sababu ya Nchi kutokukopesheka??Mkuu both ways,ila mwanzo alianza vizuri.Kulikuwa na law and order ilioachwa na wakoloni.
Lakini taratibu nchi ikatoka kwenye mstali.
Lakini wafadhili wakuu wa maendeleo siku hizo walikuwa nchi za magharibi na pia nchi za mashariki kila upande ukivutia upande wake.
Baada ya vita vya Kagera ndio wafadhili wa nchi za magharibi walimtolea uvivu akina Raisi Reagan wa Marekani na Waziri Mkuu Margaret Thatcher wa Uingereza.
Walikata misaada ya maendeleo, nchi ikashindwa kukopesheka na taasisi za fedha,nchi iliyumba sana lakini wananchi waliongeza mshikamano licha ya ugumu wa maisha.
Kuna incidences nyingi za kutaka kumpindua zilianza kujitokeza lakini hakubadirisha msimamo wake akisema hawezi kugeuka jiwe hadi anastaafu.
Wanaomlaumu Nyerere bila ya kujua mengi ya wakati ule wengi ni vijana wadogo ambao wakati wa awamu yake walikuwa aidha hawajazaliwa au watoto chini ya miaka kumi, ambao bado hawajaanza kusikiliza taarifa za habari na kuelewa nini anachokisema mtangazaji..Unajua sababu ya Nchi kutokukopesheka??
Kwanza Mwalimu alikataa madini yasichimbwe kama Serikali haitapata asilimia 50 ya mapato yatakayo patikana ! = Waliokuja wajanja baada yake wakaruhusu mikataba ikatiwa saini Serikali ikawa inapewa asilimia 3 % ya mapato yanayo patikana kwenye dhahabu 😱 !
Nchi ilishindwa kukopesheka kwa sababu Nchi ilikuwa na deni la Dollar billion 8 inasemekana !
Mabepari lengo lao ilikuwa wakubaliwe kuchimba madini kwa bei Chee waliyokuwa wanataka wao !
Na pia walilazimisha ili Nchi iweze kukopeshwa na IMF ni lazima Mwalimu akubali thamani ya pesa ya Tanzania ishushwe !
Yote hiyo ilikuwa ni kumkomoa Mwalimu kwa sababu ya kwanza kuzisaidia Nchi nyingi za kusini mwa Africa kudai na kisha kupata Uhuru wao,
Tulikuwa tukibadili dolla ya marekani kwa shs 5 za Tanganyika na baadaye za Tanzania !
Mwalimu alifanyiwa hujuma na Mabeberu kwa sababu ya misimamo yake ya kukataa kunyonywa Rasilmali za Nchi !!
Weka Hiyo Akilini Mkuu 🙏👍
Naona mfuasi wa Nyerere, mada imekupiga kwenye mshono, sasa kama uko Ethiopia na Kenya walitaabika ndio halali na sisi tutaabike.Miaka yote hii umekuwa mtu mzima; na sijui kama hata shule ulikwenda, bado hata akili ya kutafuta taarifa mwenyewe huna?
Unaeleza umezaliwa miaka ya 1970. Sasa wewe kama mtoto hayo mambo uliyajuaje?
Tueleze ulipata utapia mlo ndiyo maana akili yako ikadumaa kiasi hiki?
Ni waTanzania wangapi walikufa njaa wakati huo, unajuwa? Je, Ethiopia na hapo Kenya, nako Nyerere aliwanyima chakula watu wa huko waliokuwa wakifa kwa njaa?