- Thread starter
- #181
Waulize wazee watakwambia,unafahamu hata historia ya Mwamwindi na Kreluu ilikuwaje mpaka akampiga risasi?msipende sana kusoma storie za kwenye vitabu zimepotoshwa kwa maslai ya wakubwaStori za vijiweni tena vijiwe vya kahawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waulize wazee watakwambia,unafahamu hata historia ya Mwamwindi na Kreluu ilikuwaje mpaka akampiga risasi?msipende sana kusoma storie za kwenye vitabu zimepotoshwa kwa maslai ya wakubwaStori za vijiweni tena vijiwe vya kahawa.
Badala ya kila nyumba kuungwanishwa na umeme wa bei nafuu ,wakaletewa mwenge ili uwamulike mpaka huko vijijini na mipakani, sindio vifkra za MKT hizo
Waulize wazee watakwambia,unafahamu hata historia ya Mwamwindi na Kreluu ilikuwaje mpaka akampiga risasi?msipende sana kusoma storie za kwenye vitabu zimepotoshwa kwa maslai ya wakupwa
Unajua aliyewaharibia Wazanzibar Maisha?mpaka leo hii hakuna amani hasa kipindi cha uchaguzi sababu yake ni yeye na kila mwaka wapinzani wanashinda,hata mapinduzi yenyewe hayakufanywa na wazanzibar bali wamakonde walipitia Tanga kwenda Zanzibar na kufanya huo unyama wa mauaji kwa faida ya nani,yupo anayejuaKama umezaliwa miaka ya 70 na hujui yaliyotokea basi utakuwa ni baba/babu mpumbavu sana kuwahi kutokea. Kuhusu Mwalimu Nyerere naweza kusema ana mazuri mengi kuliko mabaya. Aliipenda Tanzania na alitaka kila mtanzania afaidi keki ya taifa ila bahati mbaya akawa haambiliki. Kosa lake kuu ni kuamini yeye anajua kila kitu.
Uongo mtupu.....Watu walivaa magunia, kulikuwa hakuna vyakula...
Iko hivi nazani hata kesho ukiamka huwezi kumkoza mzee wa miaka 70,80 na kuendelea,au tafuta sehemu ya tukio husika lililowahi kutokea halafu waulize wahusika wa pale hasa wazee,utaupata ukweli no utafaidika kuliko kusoma vitabu vilivyoandikwa kwa kupotosha ukweliUnasema kama vile kusimuliwa kuna ukweli usiyopidishwa. Na wanaosimulia ni waongo namba moja. No research no right to speak.
Waafrika bila kufanya tafiti zenye kuutafuta ukweli na kuusema ukweli ulivyo, tutaendelea kurogana na kujiona ndio maendeleo, wakati tunazidi kuwa mafukara.
Ukweli pekee ndio utatuweka huru
Hakuna aliyewaharibia maisha wazanzibar. Ni wenyewe. Nani huyo mtaje ili dunia ikucheke? Shida yetu kubwa hatutaki kukubali tunawajibika kwa madhira yetu wenyewe. Kila tatizo tunasukumia watu wengine. Baada ya mapinduzi, ilikuwa dhahiri yangetokea mapinduzi mengine tena sio muda mrefu. Na hali ya usalama wakati ule, ilikuwa inaangaliwa kwa dhana ya ubepari au ukomunisti.Unajua aliyewaharibia Wazanzibar Maisha?mpaka leo hii hakuna amani hasa kipindi cha uchaguzi sababu yake ni yeye na kila mwaka wapinzani wanashinda,hata mapinduzi yenyewe hayakufanywa na wazanzibar bali wamakonde walipitia Tanga kwenda Zanzibar na kufanya huo unyama wa mauaji kwa faida ya nani,yupo anayejua
Leo hii Zanzibar bila mapinduzi ingekuwa mbali sana kiuchumi tofauti na Tanganyika,
Iko hivi nazani hata kesho ukiamka huwezi kumkoza mzee wa miaka 70,80 na kuendelea,au tafuta sehemu ya tukio husika lililowahi kutokea halafu waulize wahusika wa pale hasa wazee,utaupata ukweli no utafaidika kuliko kusoma vitabu vilivyoandikwa kwa kupotosha ukweli
Mwenye asili Aachi asili. Lile ni tambiko la kweli kabisa. Ila mbona hatutumii asili kitajirisha nchi😎 ,Mambo ya lamli za Mlingotini bagamoyo, na Mzee Forojo Ganze. Hili watu hawataki kabisa kulisema. Shekhe Yahya, marehemu, alikuwa anasema mwenge ni ishara ya kishetani. Sijui ana ukweli au uongo kiasi gani
Tukisema watu walivaa magunia mnatuona waongo,Kingine hiki kulikuwa na kodi ya kichwa tena ilikuwa pesa ndogo sana,ulikuwa ukilipa unapewa card fulani ambayo ukikutana na mgambo unaonyeshaUongo mtupu.
Wakati unazaliwa mwaka wa sabini nilikuwa tayari nina miaka kumi na nne. Kwa hiyo tafadhali acha kuandika uongo kwa maslahi yako. Sijahadithiwa kama wewe.Tukisema watu walivaa magunia mnatuona waongo,Kingine hiki kulikuwa na kodi ya kichwa tena ilikuwa pesa ndogo sana,ulikuwa ukilipa unapewa card fulani ambayo ukikutana na mgambo unaonyesha
Lakini kutokana na umasikini uliokubuhu baadhi ya wanaume walikuwa wanakimbia nyumba na famiria zao toka alfajiri na kwenda kujificha maporini na kuludi usiku ili kuwakwepa migambo,jiulize huo mda anaojificha maporini angezalisha kiasi gani akiwa nyumbani?
Usizani tanzania yote ilikuwa kama Daresalaam kwa kipindi hicho na Mikoani kulikuwa sawa na wilayani au na Vijijini,Wakati unazaliwa nilikuwa na miaka kumi na nne. Kwa hiyo tafadhali acha kuandika uongo kwa maslahi yako.
Hebu nieleze ni mkoa gani watu walikuwa wanavaa magunia ezi hizo? Usilete stori za kutunga hapa.Usizani tanzania yote ilikuwa kama Daresalaam kwa kipindi hicho na Mikoani kulikuwa sawa na wilayani au na Vijijini,
Unajuwa mtu kipindi hicho alikuwa anakwenda hospital mfano hizi pravete na zilikuwa chache za mission yaani wamisionari halafu unapewa dawa imexpire,unaambiwa hii unaweza kutumia hata mwezi mmoja haina tatizo,na kuna selikali,sijui kama huko zilikotoka Wazungu walikuwa wanatumia,na unarizika unakunywa kabisa
Mfano hai tafuta historia ya Safari ya D.k Salim Armed Salim alipokwenda mtwara akawakuta watu wamevaa magunia,ikabidi akamwambie Rais wafanye mpango waruhusu mitumba maana ilikuwa imepigwa marufuku,tulikuwa tunategemea viwanda vya ndani vizarishe nguo,na vilikuwa havitoshelezi.Hebu nieleze ni mkoa gani watu walikuwa wanavaa magunia ezi hizo? Usilete stori za kutunga hapa.
Hebu jifunze kuandika kwanza dogo. Sina haja ya kutafuta hiyo historia kwani nilikuwepo. Sijahadithiwa kama wewe uliyehadithiwa.Mfano hai tafuta historia ya Safari ya D.k Salim Armed Salim alipokwenda mtwara akawakuta watu wamevaa magunia,ikabidi akamwambie Rais wafanye mpango waruhusu mitumba maana ilikuwa imepigwa marufuku,tulikuwa tunategemea viwanda vya ndani vizarishe nguo,na vilikuwa havitoshelezi.
Watu wameshawahi kuuziwa pafu za sigara,yaani mranguzi anauza sigara iliyowashwa,ukipiga pafu moja unatoa hera,anapewa mwingine nyie vijana tumetoka mbali
Mimi siyo dogo mimi mzee istoshe nilishakimbia kitambo huko kwenu jehanamu,ndiko kulikonifanya nipoteze capacity yangu ya kuandika sababu ya kuingiza lugha tofauti tofauti za inchi tofauti usinione bwengeNdio ndio maana aliji ng'atua mmbo yasimchachie
Kwangu wewe ni dogo.Mimi siyo dogo mimi mzee istoshe nilishakimbia kitambo huko kwenu jehanamu,ndiko kulikonifanya nipoteze capacity yangu ya kuandika sababu ya kuingiza lugha tofauti tofauti za inchi tofauti usinione bwenge
OK kama wewe ni mkubwa wangu unakumbuka ugali wa yanga tuliokuwa tunakula bila mboga?Kwangu wewe ni dogo.