bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
usitetee mipango mibovu. Hata Nyerere mwenyewe alikiri kukoseaNi sababu iliyo changia, siyo sababu pekee; na hakuna mtu aliye kuwa amepanga itokee hivyo. Watu kuhama ilikuwa ime pangwa hivyo bila kuwa na ufahamu wa kitakacho tokea na hali ya hewa.