Mbona alikuwa analindwa sana,unazani alichokuwa anaogopa nini?Ni wazee wapi hao?
Hata leo hii, pamoja na kwamba Mwalimu alikwisha fariki siku nyingi; ukipitisha kura kumshindanisha Samia na Nyerere katika uongozi, Samia haambulii kitu.
Mwinyi akiwa Rais alimwambia Mwalimu wewe Mwalimu ni mlima mimi Mwinyi ni Kichuguu tuNi wazee wapi hao?
Hata leo hii, pamoja na kwamba Mwalimu alikwisha fariki siku nyingi; ukipitisha kura kumshindanisha Samia na Nyerere katika uongozi, Samia haambulii kitu.
Tulivamiwa !NNh
HHe
Hebu nikuulize kulikuwa na Sababu Nani ya Tanzania kuingia Vitani na Uganda
Sio kweliMbona alikuwa analindwa sana,unazani alichokuwa anaogopa nini?
Sio kweli 🙌Alifeli kwa kiwango cha sgr
Hivi Idd Amini alikuwa mjinga mpaka aanze kuivamia Tanzania bila sababu? nimeleza kwa kina sana,ile Vita ilikuwa ya kumrudisha rafiki yake Miltoni Obote madarakani alijua labda itakuwa kama ya Israel na Hamasi labda ndani ya mwezi itakuwa imeishaTulivamiwa !
Be careful usiipindishe mada yako mwenyewe.Ngoja nikusahishe Kwanza,wewe ni kati ya wale waliosoma historia zilizopotoshwa, Ngoja nikupe historia ya Vita vya Tanzania na Uganda, Iddy Amini Dada alipompindua Miritoni Obote alikimbilia Tanzania kwa rafiki yake Nyerere,kwa kushirikiana na Yoweri Museveni na Obote walijaribu kurudi Uganda kwa mtutu wa bunduki wakitokea Tanzania ikashindika, wakafurushwa na majeshi ya Iddy Amini,
Baadaye kwa Sapoti ya jeshi la JKT bado ikashindikana,ndipo Amini akawafurusha mpaka kagera,ost yangu siijagusia hapo likaingilia jeshi la JWTZ, kuwafukuza ndani ya mipaka yetu
Sababu targeti ya Nyerere ilikuwa kumrudisha madarakani rafiki yake Obote ikabidi Vita viwe vya mda mrefu mpaka Arua kalibu na mpaka wa Sudan,
Sasa jiulize hivi Vita vilivyoharibu uchumi wa Tanzania vilikuwa na umuhimu wowote,Au mchokozi alikuwa Nyerere au Iddy Amini, maana yake Obote asingepinduliwa na Iddy Amini, hivi Vita visingetokea,na Iddy Amin hakuwa mjinga aanze tu kushambulia Tanzani,kwa nini hatukumshitaki kama tulivyoshambuliwa na Burundi wakatulipa fidia,msipende kusoma historia zilizopotoshwa na watu kwa maslai ya Viongozi
Na nimekushangaa kwa kusapoti Azimio la Arusha,ni kati ya makosa makubwa aliyoyafanya Nyerere,na kumbuka inchi haikuwa na wasomi wa kutosha katika uendeshaji wa Viwanda na makampuni,
Kama shule tu walikuwa wanafundisha walimu wa UPE waliotoka kumaliza darasa la saba,unategemea hayo makampuni yaliyokuwa na management ya wasomi kutoka inche baada ya kutaifishwa yalisimamiwa na watu wenye elimu ya kutosha?
Halafu usipende kuzalau watu
Kutawaliwa na Sultani Mzanzibari wa kawaida angeendelea kuwa Manamba hadi leo.Leo hii Zanzibar bila mapinduzi ingekuwa mbali sana kiuchumi tofauti na Tanganyika
KKutawaliwa na Sultani Mzanzibari wa kawaida angeendelea kuwa Manamba hadi leo.
Kabla ya kueleza matokea ilibidi ueleze chanzo,unajua jamii forum ni zaidi ya shule,hatutakiwi na sisi tuwe sehemu ya kuopotosha jamii,huku tunajua ukweliBe careful usiipindishe mada yako mwenyewe.
Sisi tume live the history.
Katika post yangu sijagusia CHANZO cha vita ya Uganda, nimeelezea MATOKEO ya vita ya Uganda.
Sio kweliTulivamiwa !
Hakujenga sekondari muda wote aliokaa madarakani,robo karne, kusoma bure ni misaada hiyo toka kea watu weupe, huchukua miaka kumi na nne kupata msimu wa diploma,12 certificateTulisoma bure na shule nyingi zilikuwa na viwango bora vya ufundishaji. Changamoto zilikuwa nyingi kwake ukizingatia wasomi walikuwa wachache sana.
Angesema vinginevyo angepotezwa, Mwinyi alikuwa mjanja, jamaa pamoja na kufeli alikuwa ni dikteta mkubwa sana kuwahi kutokea inchi hii , magu anasingiziwaMwinyi akiwa Rais alimwambia Mwalimu wewe Mwalimu ni mlima mimi Mwinyi ni Kichuguu tu
Kichuguu hakiwezi kushindana na Mlima 🙏🙏
Shule zilimilikiwa na serikali na tukasoma sisi, hivyo ni kama alizijenga yeye. Zilitaifishwa kutoka kwa wakoloni.Hakujenga sekondari muda wote aliokaa madarakani,robo karne, kusoma bure ni misaada hiyo toka kea watu weupe, huchukua miaka kumi na nne kupata msimu wa diploma,12 certificate
Plus,watoao rejea hiyo hawamjui mwinyi,yeye hataki kukuru na mtu,kama unapenda sifa atakumwagia mijisifa,mwinyi alijua kwamba mwamba alifeli vibaya, ndiyo maana alitoa kijembe cha foleni za ungaAngesema vinginevyo angepotezwa, Mwinyi alikuwa mjanja, jamaa pamoja na kufeli alikuwa ni dikteta mkubwa sana kuwahi kutokea inchi hii , magu anasingiziwa
Foleni za unga ni miaka ya 80-85 awamu yake ya mwisho, ni baada ya vita ya kagera kuumiza uchumi mzima.Plus,watoao rejea hiyo hawamjui mwinyi,yeye hataki kukuru na mtu,kama unapenda sifa atakumwagia mijisifa,mwinyi alijua kwamba mwamba alifeli vibaya, ndiyo maana alitoa kijembe cha foleni za unga
Kutaifisha ni sawa na kujenga,bro!?..au ndiyo mahaba,shule za 1900 kuhudumia 1960-80s, wangapi wamezaliwa hapo,kwa nini hujengi shule?..hutaki wasomi?Shule zilimilikiwa na serikali na tukasoma sisi, hivyo ni kama alizijenga yeye. Zilitaifishwa kutoka kwa wakoloni.
Mkuu tulisoma bure na miaka ile mpaka masuala ya chakula yalikuwa ni bure, pale forodhani wanafunzi wa sekondari walikuwa wanakula muda wa mapumziko, vifaa vya masomo vilitolewa bure pia.
Nyerere aliheshimu sana elimu, awamu ya kwanza asilimia karibu 95 tulijua kusoma na kuandika.
Vita alivitaka mwenyewe,miaka mitano yote hapakulimwa/ukame!?Foleni za unga ni miaka ya 80-85 awamu yake ya mwisho, ni baada ya vita ya kagera kuumiza uchumi mzima.
Hakuvitaka mwenyewe usiziamini sana hizi stori za vijiweni. Amin alitaka kutufanyia ubabe ikala kwake.Vita alivitaka mwenyewe,miaka mitano yote hapakulimwa/ukame!?
Awamu ya pili mpaka ya sita zinafanya kazi gani?. Ni uvivu wa kufikiri kila kitu kumtupia lawama Nyerere wakati wapo waliomfuatia katika nafasi ya urais.Kutaifisha ni sawa na kujenga,bro!?..au ndiyo mahaba,shule za 1900 kuhudumia 1960-80s, wangapi wamezaliwa hapo,kwa nini hujengi shule?..hutaki wasomi?