Nauliza, Mwalimu Nyerere nchi ilimshinda kuongoza?

Ni wazee wapi hao?
Hata leo hii, pamoja na kwamba Mwalimu alikwisha fariki siku nyingi; ukipitisha kura kumshindanisha Samia na Nyerere katika uongozi, Samia haambulii kitu.
Mwinyi akiwa Rais alimwambia Mwalimu wewe Mwalimu ni mlima mimi Mwinyi ni Kichuguu tu
Kichuguu hakiwezi kushindana na Mlima 🙏🙏
 
Be careful usiipindishe mada yako mwenyewe.
Sisi tume live the history.
Katika post yangu sijagusia CHANZO cha vita ya Uganda, nimeelezea MATOKEO ya vita ya Uganda.
 
...ulizaliwa 1970 wewe ndy unajuw zaidi yetu kama ilimshinda au haikumshinda kulingana na mateso uliyopitia wakat huo au uchumi wa nch au maendeleo uliyoyakuta akashndw kuendeleza au jns alivyokuw akitawala na utawala wa wakoloni.nadhani ww ndy mwenye majibu wa swali lako,asant
 
Kutawaliwa na Sultani Mzanzibari wa kawaida angeendelea kuwa Manamba hadi leo.
K
Be careful usiipindishe mada yako mwenyewe.
Sisi tume live the history.
Katika post yangu sijagusia CHANZO cha vita ya Uganda, nimeelezea MATOKEO ya vita ya Uganda.
Kabla ya kueleza matokea ilibidi ueleze chanzo,unajua jamii forum ni zaidi ya shule,hatutakiwi na sisi tuwe sehemu ya kuopotosha jamii,huku tunajua ukweli
 
Tulisoma bure na shule nyingi zilikuwa na viwango bora vya ufundishaji. Changamoto zilikuwa nyingi kwake ukizingatia wasomi walikuwa wachache sana.
Hakujenga sekondari muda wote aliokaa madarakani,robo karne, kusoma bure ni misaada hiyo toka kea watu weupe, huchukua miaka kumi na nne kupata msimu wa diploma,12 certificate
 
Hakujenga sekondari muda wote aliokaa madarakani,robo karne, kusoma bure ni misaada hiyo toka kea watu weupe, huchukua miaka kumi na nne kupata msimu wa diploma,12 certificate
Shule zilimilikiwa na serikali na tukasoma sisi, hivyo ni kama alizijenga yeye. Zilitaifishwa kutoka kwa wakoloni.

Mkuu tulisoma bure na miaka ile mpaka masuala ya chakula yalikuwa ni bure, pale forodhani wanafunzi wa sekondari walikuwa wanakula muda wa mapumziko, vifaa vya masomo vilitolewa bure pia.

Nyerere aliheshimu sana elimu, awamu ya kwanza asilimia karibu 95 tulijua kusoma na kuandika.
 
Angesema vinginevyo angepotezwa, Mwinyi alikuwa mjanja, jamaa pamoja na kufeli alikuwa ni dikteta mkubwa sana kuwahi kutokea inchi hii , magu anasingiziwa
Plus,watoao rejea hiyo hawamjui mwinyi,yeye hataki kukuru na mtu,kama unapenda sifa atakumwagia mijisifa,mwinyi alijua kwamba mwamba alifeli vibaya, ndiyo maana alitoa kijembe cha foleni za unga
 
Kutaifisha ni sawa na kujenga,bro!?..au ndiyo mahaba,shule za 1900 kuhudumia 1960-80s, wangapi wamezaliwa hapo,kwa nini hujengi shule?..hutaki wasomi?
 
Kutaifisha ni sawa na kujenga,bro!?..au ndiyo mahaba,shule za 1900 kuhudumia 1960-80s, wangapi wamezaliwa hapo,kwa nini hujengi shule?..hutaki wasomi?
Awamu ya pili mpaka ya sita zinafanya kazi gani?. Ni uvivu wa kufikiri kila kitu kumtupia lawama Nyerere wakati wapo waliomfuatia katika nafasi ya urais.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…