Nauliza, Mwalimu Nyerere nchi ilimshinda kuongoza?

Nauliza, Mwalimu Nyerere nchi ilimshinda kuongoza?

Hapo sasa ndipo kwenye tatizo na inaonekana huelewi kitu mpaka nifundishe.
Kazi ya kiongozi yeyote si kugawa mali za nchi hovyo hovyo. Huo sio uongozi.
WaTanzania hawawezi kushindwa kuiendeleza nchi yao kiasi kwamba kila kitu tukigawe kwa watu toka nje.

Kama wewe unafikiri hiyo ndiyo uongozi, basi mimi nasema wakati umefika tubinafsishe hiyo nafasi ya uongozi alionao/aliokuwa nao Samia/Mwinyi.

Na sita shangaa hata kidogo kama bado huelewi kitu nilicho eleza hapa.
Nakwenda zangu kwa sasa. Ukitaka mjadala ni huko baadae.
Nimekwambia usitumie neno kugawa,kugawa ni kutoa bure,kuna utaratibu wa kukodisha vitalu vya uwindaji, utasema ni kugawa?..kea wachumi land(ardhi) 'udongo,anga na maji,tumebinafsisha migodi,utaita kugawa?..kwa nini unasema kugawa,kugawa kwako lina maana gani?
 
Nimekwambia usitumie neno kugawa,kugawa ni kutoa bure,kuna utaratibu wa kukodisha vitalu vya uwindaji, utasema ni kugawa?..kea wachumi land(ardhi) 'udongo,anga na maji,tumebinafsisha migodi,utaita kugawa?..kwa nini unasema kugawa,kugawa kwako lina maana gani?
Irrelevant and petty..
Kama hupati uwiano mzuri wa faida inayo patikana, huoni kuwa ni sawa na kugawa?
 
Can you elaborate huo uwiano mbaya wa faida unaopatikana sasa,na utuoneshe tunaostahiki kupata
Wewe ni mtu tegemezi sana. Bila shaka huko shuleni ulikuwa msumbufu sana kwa walimu wako. Kila mara unahitaji 'spoon feeding'?

Haya, ngoja nikupe muda kidogo:

Bandari nchi inatafuta mikopo kuiboresha miundo mbinu zake ili iweze kufanya kazi zake kwa ufanisi zaidi.
Huo mkopo ni wananchi ndio watakao ulipa (usiniambie wananchi hawahusiki, maana nimegundua akili yako inavyo fanya kazi).

Baada ya kuiboresha bandari kwa ukarabati huo, badala ya kufanya juhudi kuweka usimamizi mzuri wa uendeshaji wake, unakwenda nje kutafuta kampuni ije kufaidika na hali hiyo nzuri iliyopo hapo bandarini.
Hapa umeshindwa kama kiongozi kuhakikisha kwamba Tanzania pia inahitaji kujijengea uwezo wa kuendesha shughuli za bandari zake. Kiongozi anaona bora "agawe" (wewe unaita uwekezaji)! Dola za Marekani ?250 milioni katika miaka mitano? (Uwekezaji)?.
Bandari hiyo huyo aliye gawiwa anakaa nayo miaka 30, na pengine zaidi; na wewe kiongozi usiye kuwa na akili kichwani unaona hilo ni jambo zuri sana. Haiingii akilini mwako kwamba hata kama WaTanzania wote wangekuwa na akili finyu, ndani ya miaka 30 wasiweze kuwa wamefuzu katika uendeshaji wa shughuli za Bandari.
B\Na siyo hivyo tu. Bandari hiyo hiyo, kabla ya kuwatafuta hawa "wajomba" na wao waje kufaidi, palikuwepo na "wawekezaji"? wengine, walio kaa hapo zaidi ya miaka 25; na katika muda wote huo, wananchi wa nchi yako bado waliendelea kuwa vihiyo, wasioweza kitu katika maswala ya uendeshaji wa bandari?

Tafadhali sana, mkuu 'Gallo'; nimetumia muda wote huu kueleza kwa haraka sana ninavyo kusikitikia wewe na viongozi wako. Nchi hii haitakuwa tofauti na Haiti katika miaka 100 ijayo kama mwendo wenyewe ndio huu huu wa viongozi hawa na wananchi wa aina ya 'Gallo'.
 
Watu wenye roho mbaya ndivyo walivyo uwa wanajijali wenyewe tu na wanapenda sifa na kuabudiwa na ndivyo hali ilivyo hivi sasa nchini mwetu,
Nyerere anaabudiwa kuliko Mwenyezi Mungu aliyetuumba,kila kitu utasikia Mwalimu alisema!
Angalia hata Muungano tulionao ulistahili kabisa muundo wake kupitiwa upya lakini ni kama vile kila kiongozi anaogopa kuchokonoa jambo hilo kwani anaona atauudhi mzimu wa Nyerere sasa labda tusubiri hadi vile vizee vyote vinavyomuabudu huyo bwana mkubwa vife vyote.
Mizimu haitakaa viishe mkuu kwani machawa wanazidi kuzaliwa kila kukicha
 
Sio kwa Tanzania ambapo Rais wa nchi amehodhi madaraka yote kikatiba. Anabeba mzigo wote.

Siku itakapokubaliwa na katiba ikarekebishwa, kwanza, kumuweka Rais na viongozi wote chini ya sheria na, pili, kuhamisha baadhi ya mamlaka stahiki kwa mihimili mingine na taasisi kuu za kitaifa, ndipo hiyo kauli ya “mfumo wa uongozi wa mihimili na taasisi” itakuwa na maana.

Nyerere alisimika mfumo wa imperial presidency ambao warithi wake huko CCM hawataki kabisa ubadilishwe. Wanaulinda kwa “jasho na damu” wakitumia vyombo vya dola kutisha na kuangamiza upinzani ndani na nje ya chama.
Ujamaa huzaa urasimu ambao huzaa umaskini, hakuna ufuatiliaji wa kina wa kila sekta.
 
Wewe ni mtu tegemezi sana. Bila shaka huko shuleni ulikuwa msumbufu sana kwa walimu wako. Kila mara unahitaji 'spoon feeding'?

Haya, ngoja nikupe muda kidogo:

Bandari nchi inatafuta mikopo kuiboresha miundo mbinu zake ili iweze kufanya kazi zake kwa ufanisi zaidi.
Huo mkopo ni wananchi ndio watakao ulipa (usiniambie wananchi hawahusiki, maana nimegundua akili yako inavyo fanya kazi).

Baada ya kuiboresha bandari kwa ukarabati huo, badala ya kufanya juhudi kuweka usimamizi mzuri wa uendeshaji wake, unakwenda nje kutafuta kampuni ije kufaidika na hali hiyo nzuri iliyopo hapo bandarini.
Hapa umeshindwa kama kiongozi kuhakikisha kwamba Tanzania pia inahitaji kujijengea uwezo wa kuendesha shughuli za bandari zake. Kiongozi anaona bora "agawe" (wewe unaita uwekezaji)! Dola za Marekani ?250 milioni katika miaka mitano? (Uwekezaji)?.
Bandari hiyo huyo aliye gawiwa anakaa nayo miaka 30, na pengine zaidi; na wewe kiongozi usiye kuwa na akili kichwani unaona hilo ni jambo zuri sana. Haiingii akilini mwako kwamba hata kama WaTanzania wote wangekuwa na akili finyu, ndani ya miaka 30 wasiweze kuwa wamefuzu katika uendeshaji wa shughuli za Bandari.
B\Na siyo hivyo tu. Bandari hiyo hiyo, kabla ya kuwatafuta hawa "wajomba" na wao waje kufaidi, palikuwepo na "wawekezaji"? wengine, walio kaa hapo zaidi ya miaka 25; na katika muda wote huo, wananchi wa nchi yako bado waliendelea kuwa vihiyo, wasioweza kitu katika maswala ya uendeshaji wa bandari?

Tafadhali sana, mkuu 'Gallo'; nimetumia muda wote huu kueleza kwa haraka sana ninavyo kusikitikia wewe na viongozi wako. Nchi hii haitakuwa tofauti na Haiti katika miaka 100 ijayo kama mwendo wenyewe ndio huu huu wa viongozi hawa na wananchi wa aina ya 'Gallo'.
Wewe ni wale masalia wa ujamaa, huko kwenye bandari ni mbali sana. Pale airport kuna swissport kampuni ya kigeni ipo inakaribia miaka 30 sasa.

Kuna tofauti yoyote kati ya swissport na DP World au TICTS?. Kumbuka kuwa kutumia pesa kwa mabilioni kwa ajili ya ukarabati haitoi uhalali wa kuhurusiwa kwa ufanisi duni wa hao hao ambao pesa zao zimewekezwa hapo bandarini.

Pia kumbuka kwamba DPW ni mmiliki wa mzigo mpana wa huko Rwanda, Burundi na DRC na keshapewa sehemu ya kuuhifadhi huo mzigo kabla haujaletwa hapa Dar tayari kwa kupandishwa melini kuelekea huko ughaibuni.

Umenasa katika fikra zile zile za bandari kuwa ni eneo moja tu, tafuta maarifa ya kisasa kuhusu suala la uendeshaj wa bandari. DPW haishii hapo hapo TPA kwenye hivyo vifaa vya kushusha na kupakia mizigo melini anashughulika na logistics nzima za kuutoa mzigo huko ulipo na kuuleta kwa SGR na kisha kuupakia melini.

Tafuta maarifa ya haya masuala, sio mepesi kama tunavyoyaelezea humu.
 
Hapo sasa ndipo kwenye tatizo na inaonekana huelewi kitu mpaka nifundishe.
Kazi ya kiongozi yeyote si kugawa mali za nchi hovyo hovyo. Huo sio uongozi.
WaTanzania hawawezi kushindwa kuiendeleza nchi yao kiasi kwamba kila kitu tukigawe kwa watu toka nje.

Kama wewe unafikiri hiyo ndiyo uongozi, basi mimi nasema wakati umefika tubinafsishe hiyo nafasi ya uongozi alionao/aliokuwa nao Samia/Mwinyi.

Na sita shangaa hata kidogo kama bado huelewi kitu nilicho eleza hapa.
Nakwenda zangu kwa sasa. Ukitaka mjadala ni huko baadae.
Ubinafsishaji hutegemea na sekta husika, sio kila sekta inaingia katika hicho kigezo cha kubinafsishwa.

Hatuna elimu za masuala ya shipping hivi sasa hapa Tanzania, kuna ubaya wowote kwa wataalam wa DPW kutoa elimu hiyo kama inavyoelezwa ndani ya mkataba waliosaini na seikali?.

Ni muendelezo wa akili za kijama zenye kujaa 'umimi' na 'usisi' katika kila hatua. Huo ubinafsi huwa na faida iwapo raslimali watu inayokuwepo katika nchi moja inatiliwa mkazo vya kutosha.
 
Hakuna namna ambapo taasisi zetu nyingi zinaweza kujiendesha zenyewe. Bandari ni nyeti na inaingiza pesa nyingi.

India na Belfgium wamempa DP World aendeshe bandari zao, sisi ni akina nani?. Acheni haya mawazo ya kiduanzi.
Na India hao hao (Adani) mnawapa zenu!

Nilisha kwambia siku nyingi, ila hutaki kuelewa au akili yako ni finyu sana. Usichukulie mifano ya nchi nyingine ambazo tayari zinao uwezo, na zina bandari kadhaa zinazo endeshwa na wao wenyewe, ndiyo iwe mifano ya kuhalalisha ujinga mnao fanya hapa.
 
Mjinga wewe unayedhani matusi ndio ujanja.
Nikiona upumbavu nitakueleza hapo hapo; na nauona upumbavu mwingi sana katika fikra zako kwa muda mrefu sana tokea uingie humu kwa lengo lile lile la kupotosha ili malengo yenu yafanyike.

Huo mfano wa Swissport hapo najuwa umekutumia bila kutumia akili.
 
Wewe ni mtu tegemezi sana. Bila shaka huko shuleni ulikuwa msumbufu sana kwa walimu wako. Kila mara unahitaji 'spoon feeding'?

Haya, ngoja nikupe muda kidogo:

Bandari nchi inatafuta mikopo kuiboresha miundo mbinu zake ili iweze kufanya kazi zake kwa ufanisi zaidi.
Huo mkopo ni wananchi ndio watakao ulipa (usiniambie wananchi hawahusiki, maana nimegundua akili yako inavyo fanya kazi).

Baada ya kuiboresha bandari kwa ukarabati huo, badala ya kufanya juhudi kuweka usimamizi mzuri wa uendeshaji wake, unakwenda nje kutafuta kampuni ije kufaidika na hali hiyo nzuri iliyopo hapo bandarini.
Hapa umeshindwa kama kiongozi kuhakikisha kwamba Tanzania pia inahitaji kujijengea uwezo wa kuendesha shughuli za bandari zake. Kiongozi anaona bora "agawe" (wewe unaita uwekezaji)! Dola za Marekani ?250 milioni katika miaka mitano? (Uwekezaji)?.
Bandari hiyo huyo aliye gawiwa anakaa nayo miaka 30, na pengine zaidi; na wewe kiongozi usiye kuwa na akili kichwani unaona hilo ni jambo zuri sana. Haiingii akilini mwako kwamba hata kama WaTanzania wote wangekuwa na akili finyu, ndani ya miaka 30 wasiweze kuwa wamefuzu katika uendeshaji wa shughuli za Bandari.
B\Na siyo hivyo tu. Bandari hiyo hiyo, kabla ya kuwatafuta hawa "wajomba" na wao waje kufaidi, palikuwepo na "wawekezaji"? wengine, walio kaa hapo zaidi ya miaka 25; na katika muda wote huo, wananchi wa nchi yako bado waliendelea kuwa vihiyo, wasioweza kitu katika maswala ya uendeshaji wa bandari?

Tafadhali sana, mkuu 'Gallo'; nimetumia muda wote huu kueleza kwa haraka sana ninavyo kusikitikia wewe na viongozi wako. Nchi hii haitakuwa tofauti na Haiti katika miaka 100 ijayo kama mwendo wenyewe ndio huu huu wa viongozi hawa na wananchi wa aina ya 'Gallo'.
Unajichanganya sana, unataka serikali ikope pesa ya kuboresha bandari Ili tuendeshe wenyewe,lakini humohumo unalaumu hatukujifunza kwa mwekezaji miaka 25 iliyopita,modi maana yake hatuna ujuzi wa kuendesha bandari hivyo tunahitaji kujifunza kwa muwekezaji, hapohapo unapinga muwekezaji,pili umekiri palikuwa na muwekezaji kwa miaka 25 iliyopita,tena wahaya wazawa,unayajua matatizo ya bandari kea miaka 25 iliyopita?..ufanisi ulikuwaje?.. tatu,tumeshindwa kuendesha mwendokasi na mashirika mengine ya umma huko nyuma,nini kinakupa imani kuwa bandari I tutaweza?..kabla ya ticts kuendesha bandari,huko nyuma aliendesha nani na ufanisi ulikuwaje?..na nani kakwambia uwekezaji wa dp world ni dola 200+m tu?
 
Unajichanganya sana, unataka serikali ikope pesa ya kuboresha bandari Ili tuendeshe wenyewe,lakini humohumo unalaumu hatukujifunza kwa mwekezaji miaka 25 iliyopita,modi maana yake hatuna ujuzi wa kuendesha bandari hivyo tunahitaji kujifunza kwa muwekezaji, hapohapo unapinga muwekezaji,pili umekiri palikuwa na muwekezaji kwa miaka 25 iliyopita,tena wahaya wazawa,unayajua matatizo ya bandari kea miaka 25 iliyopita?..ufanisi ulikuwaje?.. tatu,tumeshindwa kuendesha mwendokasi na mashirika mengine ya umma huko nyuma,nini kinakupa imani kuwa bandari I tutaweza?..kabla ya ticts kuendesha bandari,huko nyuma aliendesha nani na ufanisi ulikuwaje?..na nani kakwambia uwekezaji wa dp world ni dola 200+m tu?
Huyo muungwana anataka bandari ile ile ya kizamani isiyokuwa na teknolojia ndio iendelee kuwepo miaka yote, kisa ni zile dhana potofu kwamba bandari ni nyeti kwa uchumi wa taifa.

Kagame alimkejeli Kikwete akimwambia anaweza kuendesha Tanzania kwa kutegemea bandari ya Dar peke yake. Samia kaamua kufanyia kazi kwa vitendo hizo kejeli ya Kagame.

Pia huyo na wengine wengi wanachoshindwa kuelewa ni maana ya kisasa ya bandari wao wanaishi na mitazamo ya kizamani ya bandari.
 
Unajichanganya sana, unataka serikali ikope pesa ya kuboresha bandari Ili tuendeshe wenyewe,lakini humohumo unalaumu hatukujifunza kwa mwekezaji miaka 25 iliyopita,modi maana yake hatuna ujuzi wa kuendesha bandari hivyo tunahitaji kujifunza kwa muwekezaji, hapohapo unapinga muwekezaji,pili umekiri palikuwa na muwekezaji kwa miaka 25 iliyopita,tena wahaya wazawa,unayajua matatizo ya bandari kea miaka 25 iliyopita?
basi bwana. Siwezi kukusaidia zaidi ya hapo.
Kumbe uelewa nao kwako ni shida kabisa. Ulivyo andika hapo ndivyo nilivyo maanisha mimi?
 
Back
Top Bottom