Naumaliza mwaka Kwa machungu ya kuachana na mwanaume wangu niliyempenda sana

Wewe acha unafiki hapa,

Ulikua unatuma picha za watu waliouawa Gaza,picha ambazo hazikua nzuri kiubinadamu,

Nikakuripoti kwa moderator,ila ukawa unazidi tu kutuma hizo picha kwa makusudi,

So,acha unafiki wako hapa na kujifanya eti una busara.
Kuuwawa kwa magaidi ni jambo la furaha kwa kila mpenda amani
 
Amina lkn hatakama kunipima ndo week 3 mkuu
 
Andante me pia nliona ameamua kuniacha kimya kimya
 
Make kwanza ni cheke 😂😂😂unakalibisha mahojiano!
 
Pole sana dada, tambua jamaa alikuwa anakupenda na pengine bado anakupenda ila kutokana sababu kadhaa ameamua kuvunja uhusiano.
Kwako wewe bora nusu shari kuliko shari kamili.
Mshukuru mwenyezi Mungu.
Ahsanteee mkuuu Yote yanawezekana
 
Sawa nimeshafuta mawasiliano yake mpaka namba ZA ndugu zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…