Naumaliza mwaka Kwa machungu ya kuachana na mwanaume wangu niliyempenda sana

Naumaliza mwaka Kwa machungu ya kuachana na mwanaume wangu niliyempenda sana

Maybe help me to understand, umesema juzi kati ukamtumia sms ya kuachana na hakukujibu kitu.
Sasa kama wewe ndiye uliyemuacha nini kinakuumiza leo?
Hapo zilikua zimeshapita week mbili mkuu nikimpigia hapokei sms hajibu nilimtumia break up text nione kama ata make effort kuokoa mahusiano ndo nikarealize kama alidhamiria tuachane
 
Hello wakuu,
Nimeona nishare sababu Niko Katika Hali mbaya mawazo Mabaya YA kujidhuru yananijia kichwani....sijawahi kupenda kama nilivompenda yeye kila kitu kilikua vizuri gafla akakata mawasiliano week 3 nikimpigia hapokei sms hajibu nimehangaika nikaongea Na dada Na kaka yake lkn bado alinikalia kimya....mara ya mwisho kuwasiliana nae tuliwasiliana vizuri tu...mipango yetu ilikua tufunge ndoa Na alipanga mwezi Huu aje nyumbani kujitambulisha lkn gafla imrtokea Bada ya kimya kirefu siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu...naumia Na sijawahi kumkosea chochote Ila ameamua kunifanyia Huu ukatili
Naumia Sana najiuliza maswali ambayo sipati majibu
Huo ni mtego na mtihani kakupa Sasa jichanganye uone maana utakuwa umefeli mazima na atakuja kukwambia. Huyo ni mmeo tulia tu
 
Be strong.....jivute pembeni kwa muda kama ana kupima ......atarudi mwenyewe uwe stromg akirudi mpe conditions usimuonyeshe uko desparate..vumiliaa haijaisha hadi oiishe anakupima tu huyoooo.......usifanye ujinga wowote now tulizanaaa
Mkuui ananipimaje kunikalia kimya week 3 Na hatukugombana
 
Back
Top Bottom