The Masterpiece
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 562
- 1,544
Nawe pia kuna mwanaume ulimuumiza awali so kula chuma hicho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Open lkn sio rasmiAibu nishaipata sababu mahusiano yetu yalikua open Sana
Hapo ulitarajia ajibu nini? Badala ya kujiuliza hali atakayokuwa anpitia umeamua kuhitimisha kwa kumpiga chini. Seems unajifikiria zaidi wewe binafsi.nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu...
Ulimtumia kwanini?nikamtumia sms ya kuachana
Hapo zilikua zimeshapita week mbili mkuu nikimpigia hapokei sms hajibu nilimtumia break up text nione kama ata make effort kuokoa mahusiano ndo nikarealize kama alidhamiria tuachaneMaybe help me to understand, umesema juzi kati ukamtumia sms ya kuachana na hakukujibu kitu.
Sasa kama wewe ndiye uliyemuacha nini kinakuumiza leo?
Huo ni mtego na mtihani kakupa Sasa jichanganye uone maana utakuwa umefeli mazima na atakuja kukwambia. Huyo ni mmeo tulia tuHello wakuu,
Nimeona nishare sababu Niko Katika Hali mbaya mawazo Mabaya YA kujidhuru yananijia kichwani....sijawahi kupenda kama nilivompenda yeye kila kitu kilikua vizuri gafla akakata mawasiliano week 3 nikimpigia hapokei sms hajibu nimehangaika nikaongea Na dada Na kaka yake lkn bado alinikalia kimya....mara ya mwisho kuwasiliana nae tuliwasiliana vizuri tu...mipango yetu ilikua tufunge ndoa Na alipanga mwezi Huu aje nyumbani kujitambulisha lkn gafla imrtokea Bada ya kimya kirefu siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu...naumia Na sijawahi kumkosea chochote Ila ameamua kunifanyia Huu ukatili
Naumia Sana najiuliza maswali ambayo sipati majibu
Mumtafute jamaa na ikiwezekana mumuombee msamaha ili warudianeTukusaidie nini Sasa?
Sumu haijaribiwi kwa kulambwa....wewe uliamua kuinywa kabisa, mwanaume kamili hajaribiwiHapo zilikua zimeshapita week mbili mkuu nikimpigia hapokei sms hajibu nilimtumia break up text nione kama ata make effort kuokoa mahusiano ndo nikarealize kama alidhamiria tuachane
Umeona mambo ya vichawiKamroge tu.
Kuna vitu adimu mkuu ambavyo huwez Pata Kwa mwingineTafuta mwanaume mwingine
Mkuui ananipimaje kunikalia kimya week 3 Na hatukugombanaBe strong.....jivute pembeni kwa muda kama ana kupima ......atarudi mwenyewe uwe stromg akirudi mpe conditions usimuonyeshe uko desparate..vumiliaa haijaisha hadi oiishe anakupima tu huyoooo.......usifanye ujinga wowote now tulizanaaa
kumbembeleza babe ake arudi nyumbani 🙂↔️🙂↔️kufanya nini?
Mkuu nliona kimya kimezidiUlimtumia kwanini?
Ana pesa?Hapo zilikua zimeshapita week mbili mkuu nikimpigia hapokei sms hajibu nilimtumia break up text nione kama ata make effort kuokoa mahusiano ndo nikarealize kama alidhamiria tuachane
achana nae jitahidi na wewe usimtafuteMkuui ananipimaje kunikalia kimya week 3 Na hatukugombana