Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
- Thread starter
- #41
Nlitaka nihakikishe kama tumeachanaWanawake bwana, sababu za kuandika "tuachane" wakati kiuhalisia haupo tayari kwa hilo ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nlitaka nihakikishe kama tumeachanaWanawake bwana, sababu za kuandika "tuachane" wakati kiuhalisia haupo tayari kwa hilo ni nini?
ila inafurahisha kuona na sisi tunawasumbua kidogokumbembekeza babe ake arudi nyumbani 🙂↔️🙂↔️
Anazo Ila Mimi nimemzidi Mara 5 yakeAna pesa?
Huo ndio mtihani umepewa majibu shida yako nn? Tuliaaa muda ni mwalim mzuriii jitulizee nakuambia ur a testedMkuui ananipimaje kunikalia kimya week 3 Na hatukugombana
Kwa maneno Ni rahisi Sana Ila vitendo ngumuachana nae jitahidi na wewe usimtafute
kula vizuri jipende na jipe furaha mwenyewe siku yaja utapata anaejali hisia zako 🙂↔️🙂↔️
AhsantePole mkuu
Tatizo lao wengi wa wanawake huwa wanabadili jambo analohisi tu, hana uhakika nalo kuwa la kweli. Alihisi kaachwa kisha badala ya kuvuta subira atafiti ni nini tatizo la kukatika ghafla kwa mawasiliano baina yake na boyfriend wake, yeye katangulia mbele zaidi akaamua kumuandikia sms ya kuachana.Wanawake bwana, sababu za kuandika "tuachane" wakati kiuhalisia haupo tayari kwa hilo ni nini?
niliwahi kusikia wao wanapenda kuwahi kuachaWanawake bwana, sababu za kuandika "tuachane" wakati kiuhalisia haupo tayari kwa hilo ni nini?
Kipenzi mpendwaHello wakuu,
Nimeona nishare sababu Niko Katika Hali mbaya mawazo Mabaya YA kujidhuru yananijia kichwani....sijawahi kupenda kama nilivompenda yeye kila kitu kilikua vizuri gafla akakata mawasiliano week 3 nikimpigia hapokei sms hajibu nimehangaika nikaongea Na dada Na kaka yake lkn bado alinikalia kimya....mara ya mwisho kuwasiliana nae tuliwasiliana vizuri tu...mipango yetu ilikua tufunge ndoa Na alipanga mwezi Huu aje nyumbani kujitambulisha lkn gafla imrtokea Bada ya kimya kirefu siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu...naumia Na sijawahi kumkosea chochote Ila ameamua kunifanyia Huu ukatili
Naumia Sana najiuliza maswali ambayo sipati majibu
How sure are u ananitest nini sasaHuo ndio mtihani umepewa majibu shida yako nn? Tuliaaa muda ni mwalim mzuriii jitulizee nakuambia ur a tested
AmenKipenzi mpendwa
Mosi, elewa kwamba upendo mkubwa na mkuu sana una mstari mwembamba sana na eneo la chuki kubwa mno. Hivyo unachokipitia ni kiwa mmevuka mstafi mwembamba unaotenganisha upendo na chuki.
Pili, ni kwamba. Mwanaume yeyote usijirahisi kwake sana yaani kujinyenyekeza kulikopitiliza wakati wa uchumba. Mume ndo mnajenga kunyenyekeana
Tatu, mama Fatuma ana mabinti watatu na mmoja anaitwa Tatu. Siku zote mama yake anamuusia Tatu na dada zake kwamba KATU USIYACHUKULIE MAPENZI kama ndiyo hatima ya maisha yako. Hivyo ninakushauri kwamba, usiwaze kujidhuru maana Mungu atakuletea mchumba wa moyo wako atakayekuwa mkweli kwako na kujali hisia zako
Naomba tuambie mkuuMadam njoo nikupe ushuhuda Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya
Uvumilivu na mengine atakuchunga sana hapo usifanye ujingaa shauri yako utanishukuru baadae relax na ww keep calm amd distanceHow sure are u ananitest nini sasa