Naumaliza mwaka Kwa machungu ya kuachana na mwanaume wangu niliyempenda sana

Naumaliza mwaka Kwa machungu ya kuachana na mwanaume wangu niliyempenda sana

mipango yetu ilikua tufunge ndoa Na alipanga mwezi Huu aje nyumbani kujitambulisha lkn gafla imrtokea Bada ya kimya kirefu siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu...naumia Na sijawahi kumkosea chochote Ila ameamua kunifanyia Huu ukatili
Naumia Sana najiuliza maswali ambayo sipati majibu
Hapa ndio penye pwenti ya msingi haya tuambie kwenye hizi harakati ulimwambia unataka kumpiga kiasi gani? Maana hapa ndio wanaponyoooshwa wengi kigezo cha ndoa mtu anatandika na mkeka wa shida zake mfululizo siku hizi vijana wameamka ukimleta shida zako analala mbele yeye sio kituo cha watoto yatima yaani akuoe kwa kukuonea huruma?
 
Duh, pole sana, piga moyo konde, unaweza kuishi bila yeye, kitakachokutesa ni mazoea tu, ukiweka mazingira mazuri(sio kilevi wala kuanzisha mahusiano kwa kukurupuka) basi utaishi vizuri na kwa amani, yeye sio oxygen yako, yeye sio wa kwanza na hawezi kuwa wa mwisho. Mpaka hapo hana thamani ya kuitwa mumeo, umeumbwa uenjoy sio kuteseka.
Asieijua thamani yako, hana haki ya kupata chozi lako.
 
Hello wakuu,
Nimeona nishare sababu Niko Katika Hali mbaya mawazo Mabaya YA kujidhuru yananijia kichwani....sijawahi kupenda kama nilivompenda yeye kila kitu kilikua vizuri gafla akakata mawasiliano week 3 nikimpigia hapokei sms hajibu nimehangaika nikaongea Na dada Na kaka yake lkn bado alinikalia kimya....mara ya mwisho kuwasiliana nae tuliwasiliana vizuri tu...mipango yetu ilikua tufunge ndoa Na alipanga mwezi Huu aje nyumbani kujitambulisha lkn gafla imrtokea Bada ya kimya kirefu siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu...naumia Na sijawahi kumkosea chochote Ila ameamua kunifanyia Huu ukatili
Naumia Sana najiuliza maswali ambayo sipati majibu
Kibaya zaidi maumivu hayo yy hajui kama unayapata. Angalia kulia na kushoto kisha vuka barabara uende ng`ambo
 
Aibu nishaipata sababu mahusiano yetu yalikua open Sana
Aibu ya kuvunjika mahusiano ndio kitu gani?

Sikiliza binti, huyo bwana angekuwa amejitambulisha na kukulipia mahari hiyo ndiyo ingekuwa aibu, siyo hii unayoiongelea hapa.

Hayo yalikuwa mahusiano ya kawaida, kinachokuumiza ni malengo na upendo ambao unasema ulikuwa nao juu yake, usijiongezee vitu vya kukuumiza moyo.

Lakini, kosa lako lilikuwa kutuma ujumbe wa kuvunja mahusiano, ungekaa kimya ungeondoka na ushindi mkubwa maana pengine alipatwa na matatizo wewe kwa kukurupuka kwako umevuruga mambo.

Pengine anaweza kurudi, msikilize sababu zake na lazima hili lililotokea uliweke kama taa nyekundu, kama hana sababu za msingi inabidi uyape fikra ya upili hayo mahusiano yenu. Na asiporudi songa mbele, achana na mambo ya kujidhuru ni ukatili kwako na wapendwa wako.

Pole.
 
Duh, pole sana, piga moyo konde, unaweza kuishi bila yeye, kitakachokutesa ni mazoea tu, ukiweka mazingira mazuri(sio kilevi wala kuanzisha mahusiano kwa kukurupuka) basi utaishi vizuri na kwa amani, yeye sio oxygen yako, yeye sio wa kwanza na hawezi kuwa wa mwisho. Mpaka hapo hana thamani ya kuitwa mumeo, umeumbwa uenjoy sio kuteseka.
Asieijua thamani yako, hana haki ya kupata chozi lako.
Umeandika ujumbe mreeefuuu utafikiri na wewe unaufuata
 
Yeye ndo alipropose ndoa Wala Sio mimi
Alipropose wewe ukaja na yako ya ili unioe fanya hivi na vile na vile, kaaangalia kaona hapa naingia kwenye dushu hili ngoja nilale mbele hapa naenda kupigwa, demand zenu kabla ya ndoa ziwe na akili sio mna-demand vitu sio vijana wanaingia mitini na wanaofanya hivyo ni wale wenye akili pekee mazombi wanakubali kila kitu
 
Back
Top Bottom