Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
- Thread starter
- #81
Yeye ndo alipropose ndoa Wala Sio mimiUlikua unataka umshikishe ndoa kakushtukia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye ndo alipropose ndoa Wala Sio mimiUlikua unataka umshikishe ndoa kakushtukia.
Hapa ndio penye pwenti ya msingi haya tuambie kwenye hizi harakati ulimwambia unataka kumpiga kiasi gani? Maana hapa ndio wanaponyoooshwa wengi kigezo cha ndoa mtu anatandika na mkeka wa shida zake mfululizo siku hizi vijana wameamka ukimleta shida zako analala mbele yeye sio kituo cha watoto yatima yaani akuoe kwa kukuonea huruma?mipango yetu ilikua tufunge ndoa Na alipanga mwezi Huu aje nyumbani kujitambulisha lkn gafla imrtokea Bada ya kimya kirefu siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu...naumia Na sijawahi kumkosea chochote Ila ameamua kunifanyia Huu ukatili
Naumia Sana najiuliza maswali ambayo sipati majibu
Kibaya zaidi maumivu hayo yy hajui kama unayapata. Angalia kulia na kushoto kisha vuka barabara uende ng`amboHello wakuu,
Nimeona nishare sababu Niko Katika Hali mbaya mawazo Mabaya YA kujidhuru yananijia kichwani....sijawahi kupenda kama nilivompenda yeye kila kitu kilikua vizuri gafla akakata mawasiliano week 3 nikimpigia hapokei sms hajibu nimehangaika nikaongea Na dada Na kaka yake lkn bado alinikalia kimya....mara ya mwisho kuwasiliana nae tuliwasiliana vizuri tu...mipango yetu ilikua tufunge ndoa Na alipanga mwezi Huu aje nyumbani kujitambulisha lkn gafla imrtokea Bada ya kimya kirefu siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu...naumia Na sijawahi kumkosea chochote Ila ameamua kunifanyia Huu ukatili
Naumia Sana najiuliza maswali ambayo sipati majibu
Sasa mko mahusiaano week 3 mtu haongei Na wewe utajihesabia una mahusianoYeye alimtumia sms ya kuachana sasa anataka nini ?
We ulijua alipata changamoto gani Mwanaume akiwa kwenye changamoto hataki kusumbuliwa.Hapo zilikua zimeshapita week mbili mkuu nikimpigia hapokei sms hajibu nilimtumia break up text nione kama ata make effort kuokoa mahusiano ndo nikarealize kama alidhamiria tuachane
Sijataka kwenda Hana shida yoyoteKwake hupajui?
Kwa hatua hiyo ya mahusiano utakuwa unapajua kwake!!
Ushajaribu kumfata kujua anashida gani?
Sent from my SM-A325N using JamiiForums mobile app
Siungi mkono story za kupimana.Na unampimaje mtu Kwa ukatili hivi
Changamkia fursa kijana? Hutaki kuwa mponyaji?kufanya nini?
Aibu ya kuvunjika mahusiano ndio kitu gani?Aibu nishaipata sababu mahusiano yetu yalikua open Sana
Na hajalii kabisaaKibaya zaidi maumivu hayo yy hajui kama unayapata. Angalia kulia na kushoto kisha vuka barabara uende ng`ambo
Umeandika ujumbe mreeefuuu utafikiri na wewe unaufuataDuh, pole sana, piga moyo konde, unaweza kuishi bila yeye, kitakachokutesa ni mazoea tu, ukiweka mazingira mazuri(sio kilevi wala kuanzisha mahusiano kwa kukurupuka) basi utaishi vizuri na kwa amani, yeye sio oxygen yako, yeye sio wa kwanza na hawezi kuwa wa mwisho. Mpaka hapo hana thamani ya kuitwa mumeo, umeumbwa uenjoy sio kuteseka.
Asieijua thamani yako, hana haki ya kupata chozi lako.
Nina miaka 28Kwanza kama uko kwenye 40's ndoa sio lazima unaweza ukafa ukiwa single ukatafuta Tu watu wa kukupoza maana umri huo tayari unakua mtu mzima na Una malengo yako kama uko chini ya hapo ndio uhangaike na ndoa
Wiki tatu mbona ndogo mimi sikuongea na mpenzi wangu mwezi mzima nillkua na stress zangu siyo kwamba nilikua nimuacha ila sikua ba furaha ya kuongea nae nilitaka utulivuSasa mko mahusiaano week 3 mtu haongei Na wewe utajihesabia una mahusiano
Sasa kama hamtaki anahangaika nini hapaYeye ndiye hamtaki jamaa we umeona amesema alimtumia sms ya kuachana.
Lini sasa wakati sahv ana miaka 32 😀😀😀😀😀😀achana nae jitahidi na wewe usimtafute
kula vizuri jipende na jipe furaha mwenyewe siku yaja utapata anaejali hisia zako 🙂↔️🙂↔️
Yani Week 3 tu sawa na siku 21 je ndoa utaiweza wewe..? Kuna wamba wanapotea Hadi miezi 6 wapo zao migodini huko bila mawasiliano wakirudi wanamkuta kigoli wake katulia tuli..Ni week 3 mkuu
Alipropose wewe ukaja na yako ya ili unioe fanya hivi na vile na vile, kaaangalia kaona hapa naingia kwenye dushu hili ngoja nilale mbele hapa naenda kupigwa, demand zenu kabla ya ndoa ziwe na akili sio mna-demand vitu sio vijana wanaingia mitini na wanaofanya hivyo ni wale wenye akili pekee mazombi wanakubali kila kituYeye ndo alipropose ndoa Wala Sio mimi