Mpotezee,futa namba zake na kukumbuke zake zote, Muombe mungu amtoe nafsini mwakoAnazo Ila Mimi nimemzidi Mara 5 yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpotezee,futa namba zake na kukumbuke zake zote, Muombe mungu amtoe nafsini mwakoAnazo Ila Mimi nimemzidi Mara 5 yake
Ahsanteee week 3 mtu unapiga hapokei sms hajibu nikamuandikia io text ya Kuachana nithibitishe kama tumeachanaAibu ya kuvunjika mahusiano ndio kitu gani?
Sikiliza binti, huyo bwana angekuwa amejitambulisha na kukulipia mahari hiyo ndiyo ingekuwa aibu, siyo hii unayoiongelea hapa.
Hayo yalikuwa mahusiano ya kawaida, kinachokuumiza ni malengo na upendo ambao unasema ulikuwa nao juu yake, usijiongezee vitu vya kukuumiza moyo.
Lakini, kosa lako lilikuwa kutuma ujumbe wa kuvunja mahusiano, ungekaa kimya ungeondoka na ushindi mkubwa maana pengine alipatwa na matatizo wewe kwa kukurupuka kwako umevuruga mambo.
Pengine anaweza kurudi, msikilize sababu zake na lazima hili lililotokea uliweke kama taa nyekundu, kama hana sababu za msingi inabidi uyape fikra ya upili hayo mahusiano yenu. Na asiporudi songa mbele, achana na mambo ya kujidhuru ni ukatili kwako na wapendwa wako.
Pole.
Baaasi kwa kuwa umeyajua hayo, utakufa kwa mengine, ajali, malaria, na vinginevyo lakini sio stress za mapenzi.Huu ndio ukweli unamuwazaje mtu ambaye hakuthamini kama ni mimi nitaishia Tu kukukera basi lakini sio niache kuwaza mambo yangu nikuwaze wewe usieona thamani yangu hapana
Mkuu nilimtafuta dada yake Na Kaka yake nikaongea nao nikawaeleza situation wakaongea Nae lkn hakunitafutaSiwezi kushauri kitu hapa kwa sababu sijaona response ya upande wa kiumeni..
mwanamke kafanya makosa sana kutuma sms ya kuachana kwa sababu hajui hali aliyokua nayo mwanaume wake at that moment..
Miss_Mariaah ulipaswa kuwatafuta ndugu na jamaa wa mchumba wako ili ujue kama mumeo mtarajiwa ametekwa ama amelazwa hospitali ama kapotea tu, hapo ndio unge draw conclusion..
Otherwise niseme una akili kama za wqtoto wa 2000. Wanafanya maamuzi ya moto wa kifuu badae yanakuja kuwacost pakubwa..
njoo inbox nikuelekeze kituMkuu nilimtafuta dada yake Na Kaka yake nikaongea nao nikawaeleza situation wakaongea Nae lkn hakunitafuta
Njoo nikupe farajaHello wakuu,
Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.
Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.
Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
UtanyookaYeye ndo alipropose ndoa Wala Sio mimi
Na wengi wana haka ka utoto.Wanawake bwana, sababu za kuandika "tuachane" wakati kiuhalisia haupo tayari kwa hilo ni nini?
Mara YA 3Hiyo kauli ya tuachane ni mara ya ngapi unamwambia? Usikute huwa ndo kauli yako mkipishana.
Ulipoanza kuandika hivi tu ishaonyesha wewe ni mwanamke wa aina gani ndo maana jamaa kaona bora alale zake mbele mambo yasiwe mengi sana bora apite kushotoAnazo Ila Mimi nimemzidi Mara 5 yake
Naomba Ni PM mkuunjoo inbox nikuelekeze kitu
Wala siko Ivo unavofikiriUlipoanza kuandika hivi tu ishaonyesha wewe ni mwanamke wa aina gani ndo maana jamaa kaona bora alale zake mbele mambo yasiwe mengi sana bora apite kushoto
Ukisha hakiki, maumivu yataisha au?Nlitaka nihakikishe kama tumeachana