Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake mkiwa na pesa kuzidi mwanaune mnakuwa na viburi.Why mapenzi Sio pesa
Hii style yenu ya ku test mitambo itawaua!!Hello wakuu,
Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.
Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.
Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
😂 😂 😂.... Mkuu umejua kunichekesha sana aisee!!Pole sana
Inauma sana kuachwa na mpenz mwenye pesa yaan mwenye hela
Najua huyo jamaa alikuwa na hela kama angekuwa kapuku kama Mimi hapa wala hata usingehangaika naye
Jamaa ashajua uchafu wako.Hello wakuu,
Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.
Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.
Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
Pole sanaKarbu PM tuliwazane mkuu. Mpenzi wangu ameniacha na kafanyiwa sendoff last week huko marangu
Mimi sijawahi muonesha kiburi Wala ujeuri always namuachaga yeye awe juu Mimi nakua chini hata kama akinikosea nabaki kwenye nafasi yanguWanawake mkiwa na pesa kuzidi mwanaune mnakuwa na viburi.
Jaribu kumtafuta kwenye makazi yake pia
Week 3 unamtafuta wewe tu hakujibu hata ungekua wewe mkuu ungehisi niniKukaa kimya wiki 3 tu ndo kuachana?? Mda mfupi sana huo kufanya maamuzi hayo
Why ulimuacha😂 😂 😂.... Mkuu umejua kunichekesha sana aisee!!
Mimi yupo mmoja nilimzingatia sana yaani naweza kusema ni moja ya mahusiano yangu yaliyotumia hela zangu nyingi kuanzia shopping, kula, bills kama zote...
Siku moja niliamua kukaa kimya hakuwahi kuamini mpka leo kumbe ndo nimemuacha hivyo! 😁😁😁
Am very decentJamaa ashajua uchafu wako.
Hilo ngoja nimalizie, kuna wanawake wana shoo mbovu yaani ukipiga hutamani hata kuendelea mapenzi...Asilimia kubwa ya sisi wanaume hatuwi tested. Kitendo cha kuthubutu kuandika tuachane wanaume wengi hatuwezi jisumbua wala kujigusa inakuwa imeisha.
Pia kukaa kimya kwa muda fulani ni njia ya kuacha mambo yapite salama kama kulikuwa na tofauti. Na hii tunafanya kwa wanawake wanaongea sana kwa lugha mbovu na hawataki kujishusha.
Kuna hili lingine nikisema litakuumiza ukiona bado harespond kubali yaishe
Hakuna uhusiano hapo na kama upo basi ndio ule uhusiano usiojulikana una husiana na nini.Hatakama Jamani ndo ukae week 3
Na wanawake wake wakiwa wanapewa pesa wao wanaamin kuwa wanapendwa, kumbe wanapigwa😂 😂 😂.... Mkuu umejua kunichekesha sana aisee!!
Mimi yupo mmoja nilimzingatia sana yaani naweza kusema ni moja ya mahusiano yangu yaliyotumia hela zangu nyingi kuanzia shopping, kula, bills kama zote...
Siku moja niliamua kukaa kimya hakuwahi kuamini mpka leo kumbe ndo nimemuacha hivyo! 😁😁😁
Pole sana mtumish MUNGU akusaidie sana jamaniMimi sijawahi muonesha kiburi Wala ujeuri always namuachaga yeye awe juu Mimi nakua chini hata kama akinikosea nabaki kwenye nafasi yangu
Niligundua tu ana tabia ambazo mimi sizipendi!Why ulimuacha