Naumaliza mwaka Kwa machungu ya kuachana na mwanaume wangu niliyempenda sana

Naumaliza mwaka Kwa machungu ya kuachana na mwanaume wangu niliyempenda sana

Sawa nimeshafuta mawasiliano yake mpaka namba ZA ndugu zake
Bado unampenda huyo, akija na excuse yoyote unarudi kundini.
Iliamua ukiwa na hasira.

Kama umeamua kuachana nae ni sawa, ila ni vizuri ukawa na maamuzi yasiyoyumbishwa na unayoamini hutajilaumi au kujuta baadae.

Sio mwamba kaoa huko, unaanza kuleta vagi mara kupinga ndoa nakuleta fujo kwa mkewe. Wanawake wengi wanakuaga hivyo.
 
Bado unampenda huyo, akija na excuse yoyote unarudi kundini.
Iliamua ukiwa na hasira.

Kama umeamua kuachana nae ni sawa, ila ni vizuri ukawa na maamuzi yasiyoyumbishwa na unayoamini hutajilaumi au kujuta baadae.

Sio mwamba kaoa huko, unaanza kuleta vagi mara kupinga ndoa nakuleta fujo kwa mkewe. Wanawake wengi wanakuaga hivyo.
Siwezi kufanya Ivo mkuu
 
Hello wakuu,

Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.

Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.

Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.


Ulikuwa unampenda au ulikuwa na mapenzi na yeye? Why this question b'se mwanamke hajapewa kupenda, amepewa kutii


Ni wanawake wachache sana wanaweza kupenda, ni wale waliopata Neema ya kujenga logic ndani yao
 
Bado unampenda huyo, akija na excuse yoyote unarudi kundini.
Iliamua ukiwa na hasira.

Kama umeamua kuachana nae ni sawa, ila ni vizuri ukawa na maamuzi yasiyoyumbishwa na unayoamini hutajilaumi au kujuta baadae.

Sio mwamba kaoa huko, unaanza kuleta vagi mara kupinga ndoa nakuleta fujo kwa mkewe. Wanawake wengi wanakuaga hivyo.
Kitendo cha yeye kupost tu ni dhahiri bado anampenda
 
Ulikuwa unampenda au ulikuwa na mapenzi na yeye? Why this question b'se mwanamke hajapewa kupenda, amepewa kutii


Ni wanawake wachache sana wanaweza kupenda, ni wale waliopata Neema ya kujenga logic ndani yao
Ulikuwa unampenda au ulikuwa na mapenzi na yeye? Why this question b'se mwanamke hajapewa kupenda, amepewa kutii


Ni wanawake wachache sana wanaweza kupenda, ni wale waliopata Neema ya kujenga logic ndani yao
Nlikua nampenda mkuu
 
Hello wakuu,

Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.

Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.

Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
Huyo jamaa amegundua nini juu yako, una tatoo za mtu wako wa zamani sehemu za siri au alifuma sms za mtu anayekudanganya?
 
Hello wakuu,

Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.

Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.

Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
Endelea kuumia nyie ndio tumbili na visokolokwinyo mnaopaswa kuteseka mashetani wa bustani ya Eden ndio tuzo yenu
 
Ni kweli nimesoma neno "KUJIDHURU" au macho yangu yamekosea?😂😂😂😂😂Hapo kwanza Ncheke.....
Piga kimya kwani ye nani bwana kuna wanaume wa kila sample hapa duniani utampata tu mwingine.
 
Nlikua nampenda mkuu


Waefeso 5.25

"Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda Kanisa, akajitoa kwa ajili yake"
Waefeso 5.22

"Enyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu."



Wajibu wa kupenda MUNGU aliuweka kwa mme i.e kumpenda mke wake kama KRISTO alivyolipenda kanisa, ina maana mme anatoa upendo kwa mke wake kama ule upendo ambao KRISTO aliutoa kwa kanisa and then mke anapokea upendo kwa kutii kama anavyomtii KRISTO


Kwaiyo mme ni giver wa upendo na mke ni receiver wa upendo kwa kutii hi kanuni ikivunjwa Ndio matatizo huanza, Yeye ilibidi akupende wewe ungeona ustawi wa hayo mahusiano
 
apo sio bure kuna unyevunyevu wala sio love wala nini

watu wanapenda miteremko sana hawajali wenzao wamehaso kiasi gani adi kufika apo walipo.
 
Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
Pole dada, lakini jifunze, mwanamke hana uwezo wa kumpenda mtu labda mwanao wa kumzaa vinginevyo mnajioendaga nyinyi tu
 
Hello wakuu,

Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.

Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.

Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majiHili
Tutaaminije lakini samahani
Hili nalo litapita 😎
 
Back
Top Bottom