Naumaliza mwaka Kwa machungu ya kuachana na mwanaume wangu niliyempenda sana

Kuna jambo huliweki wazi, si rahisi kwa hatua mlofikia mtu kukata mawasiliano ghafla bila sababu yoyote.
 
Wiki tatu mbona ndogo mimi sikuongea na mpenzi wangu mwezi mzima nillkua na stress zangu siyo kwamba nilikua nimuacha ila sikua ba furaha ya kuongea nae nilitaka utulivu
Mwezi mzima na bado unampenda unamkalia mtu kimya mwezi mzima
 
Hii ni lugha katili kwa mwanadamu mwenzako anayepitia mazito kama haya.....

Mitandao ya kijamii isitufanye tuwe makatili wa kihisia dhidi ya binadamu wenzetu kwa kuwa tu tuna uhuru wa kuandika chochote......
Wewe acha unafiki hapa,

Ulikua unatuma picha za watu waliouawa Gaza,picha ambazo hazikua nzuri kiubinadamu,

Nikakuripoti kwa moderator,ila ukawa unazidi tu kutuma hizo picha kwa makusudi,

So,acha unafiki wako hapa na kujifanya eti una busara.
 
Amesema amekukuta sio bikira,yupo chimbo anashughulikia mission ya kumpata mwanamke wa ndoto yake
 
Kaa utulie dada Tena kama waweza FUTA namba yake kabisaaaaa, ana moyo wake na fikra zake, enda na mtu anapoenda sawa akipinda shika hamsini zako, si rahisi lkn ndio ukweli, shika hamsini zako kama hujawahi mjua, maisha Yako yana thamani kuliko ya mwenzako aliyekutelekeza Tena kimya kimya.
 
Mkuu nilikua mwema Na mtulivu Sana Kwa kijana Wangu Wala sikutaka mambo makubwa sababu uwezo wake naujua
 
Mara YA 3

Ohoo, move on dear, kama wako atarudi kama sio ndo kwaheri.
Ukija kupata mwingine hii kauli uifute kinywani mwako na kwenye maandishi yako na ujifunzage kujipa muda ikitokea sinto fahamu, ndugu zake ungepiga tu kujua kama ndugu yao yuko mzima au la, ulivyojua mzima basi nawe ungekausha tu ila sio kuanza kuwashtakia.
Anyway pole utakua sawa muda ni tiba tosha.
 
Mkuu nilikua mwema Na mtulivu Sana Kwa kijana Wangu Wala sikutaka mambo makubwa sababu uwezo wake naujua
Kijana wako? Dadadek ndio maana kala unyoya wewe kumuitaje kijana wako hivi unaelewa hilo neno maana yake wewe huyo jamaa ni km kijakazi wako mkata majani ya sungura?
 
Sasa nifanyaje tayari nishamwambia tuachane nlikua too emotional
 
Sasa nifanyaje tayari nishamwambia tuachane nlikua too emotional
Pole kama ni mwanaume mwenye akili atajua humaanishi, ila kama nae anatumia hisia kama wewe, mtasuluhisha kwa tabu hilo suala, usipende kumwambia muachane mtu ambae humudu kuachana nae.

Kama ushatumia means zote kumtafuta na bado hajibu, na wewe utulie sasa, kumtafuta zaidi na huku anaona kabisa unamtafuta ni kuzidi kumsumbua tu na wewe kujitesa zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…