Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
- Thread starter
- #221
Nimeshakata Tamara Na kupoteza matumaini YA kuwa pamojaTulia atakutafuta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshakata Tamara Na kupoteza matumaini YA kuwa pamojaTulia atakutafuta.
Dear Mimi ndo nimemzidi pesa mwanaume wanguPole sana
Inauma sana kuachwa na mpenz mwenye pesa yaan mwenye hela
Najua huyo jamaa alikuwa na hela kama angekuwa kapuku kama Mimi hapa wala hata usingehangaika naye
Pole. Move on. Usilazimishe kupendwa usipopendwa. Ni tabia mbaya sana.Hello wakuu,
Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.
Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.
Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
Pole sana,kama ni wa kwako atarudi lakini pia asiporudi mwache aende mwana kwenda.Hello wakuu,
Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.
Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.
Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
Ni kabila gan huyo mwanamume wako na ni dini gan na wewe ni kabila gan na ni dini ganDear Mimi ndo nimemzidi pesa mwanaume wangu
Njoo private nikushauri,ishu ndogo sana hii,usinipuuze TafadhaliHello wakuu,
Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.
Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.
Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
Mimi mchaga yeye mnyakyusa dhehebu wote tunasali kkkktNi kabila gan huyo mwanamume wako na ni dini gan na wewe ni kabila gan na ni dini gan
Nataka nikufundishe kwa mjibu wa biblia ili usonge mbele leo hii utaondoa mawazo yote ya kujidhuru
Nijibu
AMINA
jifunze kuwa na plani b. Huna haja ya kujidhuru majibu ya maswali yako yote yako katika wimbo wa ambwene mwasongwe uitwao "nimeachilia" utafte utanishukuru baadaeHello wakuu,
Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.
Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.
Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
Naomba Ni Pm mkuu Mimi nashindwacNjoo private nikushauri,ishu ndogo sana hii,usinipuuze Tafadhali
Sawa ahsante nautafuta saivjifunze kuwa na plani b. Huna haja ya kujidhuru majibu ya maswali yako yote yako katika wimbo wa ambwene mwasongwe uitwao "nimeachilia" utafte utanishukuru baadae
Inawezekana bt jambo jingine ambalo huwacost wanawake hasa ktk kipindi cha uchumba kuelekea ndoa ni MITONGOZO.Ila Mimi naona hanipendii
Sijawahi kumcheatInawezekana bt jambo jingine ambalo huwacost wanawake hasa ktk kipindi cha uchumba kuelekea ndoa ni MITONGOZO.
Wanaume hua tukinusa hili, hata kama hukua na nia ya kukubali hua tunakua disapponted vibaya mno.
Tumeachana maana Alianza kunichuniaYaani wewe ndo umemuacha, afu wewe ndo unaumia?