Naumaliza mwaka Kwa machungu ya kuachana na mwanaume wangu niliyempenda sana

Naumaliza mwaka Kwa machungu ya kuachana na mwanaume wangu niliyempenda sana

Hello wakuu,

Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.

Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.

Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
Miss_Mariaah
Binti mrembo.
Ni jambo la kusikitika kuumiza moyo kwa mtu ambaye haoni thamani yako tena.
Haijalishi ni mzuri kiasi gani lakini kama amekuvunja moyo hupaswi kumpa nafasi ya kuomboleza na kumkumbuka.

Furabia maisha, ukweli ni kwamba hupendwi wewe kama wewe isipokuwa eidha your good looking, hekima/ busara zako, uli honacho...baaasi.

Jifunze kuishi wewe kama wewe.
Furaha yako ikimtegemea mwanadamu utalia kila siku.
 
Hello wakuu,

Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.

Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.

Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
Noma sana!
 
Hello wakuu,

Nimeona nishare sababu niko katika hali mbaya. Mawazo mabaya ya kujidhuru yananijia kichwani. Sijawahi kupenda kama nilivyompenda yeye. Kila kitu kilikuwa vizuri, ghafla akakata mawasiliano. Wiki 3 sasa nikimpigia hapokei, sms hajibu.

Nimehangaika, nikaongea na dada na kaka yake lakini bado alinikalia kimya. Mara ya mwisho kuwasiliana naye tulizungumza vizuri tu. Mipango yetu ilikuwa tufunge ndoa na alipanga mwezi huu aje nyumbani kujitambulisha. Lakini ghafla kimya chake kikatokea.

Baada ya kimya kirefu, siku 5 zilizopita nikamtumia sms ya kuachana lakini hakunijibu kitu. Naumia sana. Sijawahi kumkosea chochote ila ameamua kunifanyia ukatili huu. Naumia na najiuliza maswali ambayo sipati majibu.
Ukilinganisha na wanaume, wanawake mnaongoza kuzingua kwenye mapenzi, unaweza kukuta kuna jamaa ulishamzingua kabla ya kumpata huyu..........jitahidi kuwa mvumilivu kujua kulikoni, na hao wanaokushauri kwamba mwanaume hafai kunyenyekewa wanakupoteza.

Katika mambo yanayojenga taswira imara ya mwanaume kwa mwanamke ni utii na unyenyekevu. Kimwonekano ameshakupenda, lakini utii wako na unyenyekevu kwake kunakufanya uwe bora zaidi ya hao wengine wazuri kama wewe au labda wamekuzidi kiasi, hii ni siri nawaibia wanawake.
 
Maybe help me to understand, umesema juzi kati ukamtumia sms ya kuachana na hakukujibu kitu.
Sasa kama wewe ndiye uliyemuacha nini kinakuumiza leo?
😂😂..alikuwa anapima mambo bhana
 
Angalia angalia mwingine chap azibe pengo, jitahidi ukiachika asubuhi jioni uwe kwenye new and happy relation.
 
Hapa ndo panaponishandaga mwenzio hii rukaruka siiwezagiii
Hakuna Kitu kibaya kama umeachana Na mtu alafu ukaanza mahusiano gafla hapo unakua unamtumia mwenzako kama kipoozeo unaweza ukaona hajafit standard zako ukajikuta unahamia kwingine Napo ukakosa unachotaka ukahamie Kwanza mwishowe unajikuta MTU wa kurukaruka Na kuumiza watu
 
Back
Top Bottom