didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 861
- 1,476
GONOREAWakuu hali yangu ya kiafya ni mbaya hadi nmeshindwa kwenda kazini leo kikubwa pumbu zangu zinauma sana pamoja na sehem ya kichwa cha mjubelege hapa nmekunywa daw tang asubuhi at least saiv ndo nmepata nafuu hata ya kuandika haya. Niombeen sana baadae ntaingia kwa vipimo nakaribisha pia mwenye ushauri.Epuka ngono zembe kwa gharama yoyote ile.....wasalaam
Mkuu pole ila TATIZO unalijuaWakuu hali yangu ya kiafya ni mbaya hadi nmeshindwa kwenda kazini leo kikubwa pumbu zangu zinauma sana pamoja na sehem ya kichwa cha mjubelege hapa nmekunywa daw tang asubuhi at least saiv ndo nmepata nafuu hata ya kuandika haya. Niombeen sana baadae ntaingia kwa vipimo nakaribisha pia mwenye ushauri.Epuka ngono zembe kwa gharama yoyote ile.....wasalaam
Lugha ya uandishi wako inaonesha wewe ni wale wanaookota madege yasiyolika baa zikifungwa. Ushauri wangu ni kuwa nenda kwa mchoma ashua muuzie hata kwa bei ya hasara.Wakuu hali yangu ya kiafya ni mbaya hadi nmeshindwa kwenda kazini leo kikubwa pumbu zangu zinauma sana pamoja na sehem ya kichwa cha mjubelege hapa nmekunywa daw tang asubuhi at least saiv ndo nmepata nafuu hata ya kuandika haya. Niombeen sana baadae ntaingia kwa vipimo nakaribisha pia mwenye ushauri.Epuka ngono zembe kwa gharama yoyote ile.....wasalaam
Unatoa chuma, unaweka chuma...
hali yangu mbaya
Asante kwa ushaurLugha ya uandishi wako inaonesha wewe ni wale wanaookota madege yasiyolika baa zikifungwa. Ushauri wangu ni kuwa nenda kwa mchoma ashua muuzie hata kwa bei ya hasara.
Nionee huruma Joanna nifadhili mimi nitulie nikae ndani.Mkuu una nyuzi nyingi sana za haya magonjwa 😂😂
Angalia usije kupata lile gonjwa baba lao
Mzee nimetumia azuma lknGONOREA
Nenda kafanyiwe checkupMzee nimetumia azuma lkn
Ishi umuEpuka ngono zembe kwa gharama yoyote ile