Naunga mkono maandamano ila Mbowe na Lissu nao wawe mbele na familia zao tarehe Septemba 23

Naunga mkono maandamano ila Mbowe na Lissu nao wawe mbele na familia zao tarehe Septemba 23

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
NAUNGA MKONO MAANDAMANO ya tarehe 23 ila Kwa Sharti Moja: Mbowe, Lissu na Familia Zao Wawe Mbele

Katika maandamano yanayotarajiwa kufanyika tarehe 23, naunga mkono juhudi hizi za kidemokrasia. Hata hivyo, kuna sharti muhimu: viongozi wetu, Mbowe, Lissu, na familia zao wanapaswa kuwa mstari wa mbele katika maandamano haya.

Tunaamini ni muhimu kwao kuwa sehemu ya kinachofanyika. Tunataka kuhakikisha kwamba risasi zikipigwa, zianze kwao kwanza, kwani hatutaki kuonekana kama wajinga tukiandamana huku wakiwa nyumbani wakiangalia kupitia televisheni.

Ni muhimu kwa viongozi wetu kushiriki kikamilifu katika mapambano haya ili kuonyesha kuwa wanajali usalama na maslahi ya wananchi. Tujitokeze kwa wingi tarehe 23, lakini kwa sharti hili muhimu.
 
NAUNGA MKONO MAANDAMANO ya tarehe 23 ila Kwa Sharti Moja: Mbowe, Lissu na Familia Zao Wawe Mbele

Katika maandamano yanayotarajiwa kufanyika tarehe 23, naunga mkono juhudi hizi za kidemokrasia. Hata hivyo, kuna sharti muhimu: viongozi wetu, Mbowe, Lissu, na familia zao wanapaswa kuwa mstari wa mbele katika maandamano haya.

Tunaamini ni muhimu kwao kuwa sehemu ya kinachofanyika. Tunataka kuhakikisha kwamba risasi zikipigwa, zianze kwao kwanza, kwani hatutaki kuonekana kama wajinga tukiandamana huku wakiwa nyumbani wakiangalia kupitia televisheni.

Ni muhimu kwa viongozi wetu kushiriki kikamilifu katika mapambano haya ili kuonyesha kuwa wanajali usalama na maslahi ya wananchi. Tujitokeze kwa wingi tarehe 23, lakini kwa sharti hili muhimu.
Kila wakati wanafanya hivyo, karibu nawewe na familia yako.
 
Kumbe maandamano hayo ni ya magaidi basi freshi acha mlambwe risasi. Nikajua yanatuhusu sisi wananchi

Hayahusu wajinga ndugu:

GXsPaGvXUAU4Kb4.jpeg
 
NAUNGA MKONO MAANDAMANO ya tarehe 23 ila Kwa Sharti Moja: Mbowe, Lissu na Familia Zao Wawe Mbele

Katika maandamano yanayotarajiwa kufanyika tarehe 23, naunga mkono juhudi hizi za kidemokrasia. Hata hivyo, kuna sharti muhimu: viongozi wetu, Mbowe, Lissu, na familia zao wanapaswa kuwa mstari wa mbele katika maandamano haya.

Tunaamini ni muhimu kwao kuwa sehemu ya kinachofanyika. Tunataka kuhakikisha kwamba risasi zikipigwa, zianze kwao kwanza, kwani hatutaki kuonekana kama wajinga tukiandamana huku wakiwa nyumbani wakiangalia kupitia televisheni.

Ni muhimu kwa viongozi wetu kushiriki kikamilifu katika mapambano haya ili kuonyesha kuwa wanajali usalama na maslahi ya wananchi. Tujitokeze kwa wingi tarehe 23, lakini kwa sharti hili muhimu.
hawawezi kuwa mbele wakati wanajuwa kabisa safari hii wamekatazwa watapigwa mpka wachakaeee haya tofautisha na yale matembezi waliyoweza kuwaleta na watoto wao safari hii hautamuona mbowe wala lisu na watoto wao wakiwa mbele wanatangulizwa manyumbu wasiojitambuwa ili waumizwe halafu wao wanaenda kwenye press kulaani wakati wengine wanauguza majeraha na ndugu zao
 
Haya maneno mnajazanaga ujinga tu. Mbona maandamano yaliyopita kina Mbowe na Lissu walikuwa front?

Acha kukaririshwa vitu nawe unavibeba tu
 
hawawezi kuwa mbele wakati wanajuwa kabisa safari hii wamekatazwa watapigwa mpka wachakaeee haya tofautisha na yale matembezi waliyoweza kuwaleta na watoto wao safari hii hautamuona mbowe wala lisu na watoto wao wakiwa mbele wanatangulizwa manyumbu wasiojitambuwa ili waumizwe halafu wao wanaenda kwenye press kulaani wakati wengine wanauguza majeraha na ndugu zao
Wajinga hawajawahi kuisha
 
Haya maneno mnajazanaga ujinga tu. Mbona maandamano yaliyopita kina Mbowe na Lissu walikuwa front?

Acha kukaririshwa vitu nawe unavibeba tu
Walikua wanatembea Yale sio maandamano Sasa haya ndio maandamano ambayo Hadi polisi wamewakataza waingie barabarani na wakae mbele sio kuwatanguliza wajinga kama wewe
 
Walikua wanatembea Yale sio maandamano Sasa haya ndio maandamano ambayo Hadi polisi wamewakataza waingie barabarani na wakae mbele sio kuwatanguliza wajinga kama wewe
Matusi ya nini sasa ndugu yangu.

Unajiona mjanjaaaaaa mwenyewe?
 
Ungekua msomi Wala usingehangaika kubishana na Mimi ambae sio msomi hivyo na wewe ni mbumbumbu tu

Huhitajiki kwenye maandamano kumbe shida yako nini ndugu?

Huna contribution wala impact yoyote popote.

Hadi hapo huoni wewe na uzi wako ulikuwa kwenye kujilisha upepo ndugu?
 
Huhitajiki kwenye maandamano kumbe shida yako nini ndugu?

Huna contribution wala impact yoyote popote.

Hadi hapo huoni wewe na uzi wako ulikuwa kwenye kujilisha upepo ndugu?
Ndio maana nikasema hayo maandamano ya magaidi acha polisi wawalambe risasi mpaka magaidi yaishe kwani shida nini
 
Back
Top Bottom