Naunga mkono suala la kubinasifisha Bandari ya Dar es Salaam

Naunga mkono suala la kubinasifisha Bandari ya Dar es Salaam

Jinga Kabisa lisiloelewa chochote. Soma basi hata diploma ya economics. Ukisoma huwezi kuwa na akili mgando kama hii
Wewe ndie mfano wa viongozi wa taifa hili mliotufelisha, mlienda shule kuongeza maarifa msiyojua kuyatumia, badala yake mnarudi tena kwa wazungu wawasaidie kujisimamia, ajabu bila aibu unakuja hapa kujiona genius uliyosomea diploma ya uchumi.!!
 
..Kagame ana bandari kavu ambayo amewapa Dubai Port wamuendeshee.

..Pia Kagame ameshindwa kuendesha shirika la ndege, kapata hasara kila mwaka. RwandaAir imeingia ubia na Qatar Airways.

NB:

..kinachonitatiza ni kwamba tumekimbilia kwa Dubai Port na hakukuwa na ushindani ktk kupata muwekezaji.
Ni shirika gani la ndege Africa linatengeneza faida ?
 
Sijaona mahali mtoa mada amesema wapewe wageni.yeye kazungumzia kubinafsisha.punguza mihemko.
Lengo la kubinafsisha ni kwa ajili ya kuwapa Waarabu au Wachina hakuna jambo jingine hapo.
kubinafsisha kupo kwa aina mbili. mojawapo ni kuwapa watu wa ndani na aina nyingine ni kuwapa wawekezaji wa nje. Hapa kweli tunaweza kuwawezesha wawekezaji wetu wa ndani na kuisimamia bandari na mashirika mengine yakaendeshwa kwa tija na kwa faida zaidi kuliko kuiachia serikali wakati kila mwaka mwaka wanazalisha hasara tu. serikali ibaki kwenye majukumu yake ya msingi ambayo ni kutoa huduma za msingi na kudhibiti ubora wa huduma na viwango pamoja na kukusanya kodi katika hizo taasisi.
Watu wenyewe ni akina Mwigulu Nchema,January Makamba na Ridhiwani Kikwete chini ya Bunge bubu la Tulia Acksoni nchi itabaki mifupa tu.
 
Kuwaachia kila kitu wawekezaji maana yake tunakiri hatuwezi kujitawala, ni bora sasa tumrudishe mkoloni arudi kwasababu naamini kabisa, jinsi mambo yanavyoendelea serikalini kwa sasa, pia tunahitaji kuibinafsisha serikali yetu.

Hivyo sioni sababu kwanini tuendelee kuwaza kubinafsisha vitu vidogo dogo, wakati kule juu penye tatizo la msingi tunaendelea kupaacha kama palivyo, alaah, kumbe inawezekana hata vichwa vyetu pia vinatakiwa kubinafsishwa, kwasababu fikra zetu nazo ni mgando.
Hapo ndiyo akili yako ikoishia? Bandari ni kitu kidogo? Na TANESCO, TTCL n.k ni vitu vidogo? Tumia akili kufikiri. Kutawala na kufanya biashara ni vitu viwili tofauti. Serikali ilishajitoa ktk shughuli za uzalishaji na biashara. Hata TANESCO na TTCL vinatakiwa vibinafsishwe, wenzetu wazungu serikali haizalishi wala kufanya biashara, sasa sijui ni ukoloni upi unauzungumzia.
 
Lengo la kubinafsisha ni kwa ajili ya kuwapa Waarabu au Wachina hakuna jambo jingine hapo.
Jama wewe huwezi kuendesha kwanini wasipewe wanaoweza kuendesha?

Ukikataa kwa hiyari watu wanakukopesha hakafubwanachukuwa kiulaini kabisa.

Hata nyumbani ni hivyo hivyo kama wewe huwezi watu wanakugongea.
 
Kwanza we mwenyewe una elimu yoyote ya uchumi? Isijekuwa unatafuta Kosa lake in a layman's search. Ukitafuta Kosa lake wakati hata hujui Kosa ni Nini huwezi kuliona
Msomi ukiulizwa swali unatakiwa straight ujibu, na sio ujibu kwa kuuliza swali, hiyo ni dalili ya kutojielewa.
 
Wewe ndie mfano wa viongozi wa taifa hili mliotufelisha, mlienda shule kuongeza maarifa msiyojua kuyatumia, badala yake mnarudi tena kwa wazungu wawasaidie kujisimamia, ajabu bila aibu unakuja hapa kujiona genius uliyosomea diploma ya uchumi.!!
Marekani inadaiwa na china sana tu. Kukopa ni moja ya maendeleo chanya. Ungesema ungejua. Shida ya nyie elimu ndo tatizo
 
Tatizo sio kubinafsisha, tatizo ni yale unayoyataria baada ya kubinafsisha yatapatikana?

Leo mitandao ya simu ni binafsi, wanafanya yale tusiyokubaliana nayo, WAZIRI muhusika kageuka kuwa MSEMAJI wao, nini tunanufaika nacho?

Wauza mafuta, ni binafsi. EWURA wapo, bei ya mafuta imeshuka huko duniani, wauza mafuta wamegoma kushusha, untouchable, ukiuliza, unaambiwa muagizaji mwenyewe ni remotr controller wa nambari uno! Hapa ubinafsi zaidi ndo manufaa labda.

Magufulification ndo mwarobaini!
mfuate huyo mshamba mwenzio kaburini, yule ndio alikuwa hajui hata anafanya nini, shukuru Mungu ameondoka.
 
kubinafsisha kupo kwa aina mbili. mojawapo ni kuwapa watu wa ndani na aina nyingine ni kuwapa wawekezaji wa nje. Hapa kweli tunaweza kuwawezesha wawekezaji wetu wa ndani na kuisimamia bandari na mashirika mengine yakaendeshwa kwa tija na kwa faida zaidi kuliko kuiachia serikali wakati kila mwaka mwaka wanazalisha hasara tu. serikali ibaki kwenye majukumu yake ya msingi ambayo ni kutoa huduma za msingi na kudhibiti ubora wa huduma na viwango pamoja na kukusanya kodi katika hizo taasisi.
Serikali yetu ibaki kwenye kutoa huduma zipi? elimu? afya? maji? umeme? kote huko bado kuna matatizo miaka 60 baada ya kupata uhuru.

Narudia tena, serikali yetu nayo ibinafsishwe kwanza, kabla hatujafikiria kubinafsisha hizo taasisi nyingine.
 
Jama wewe huwezi kuendesha kwanini wasipewe wanaoweza kuendesha?

Ukikataa kwa hiyari watu wanakukopesha hakafubwanachukuwa kiulaini kabisa.

Hata nyumbani ni hivyo hivyo kama wewe huwezi watu wanakugongea.
Tunataka nchi yoyote duniani iliyowahi kufanya hivyo na kufanikiwa ili na sisi tufanikiwe.
 
Akili za hovyo kabisa hizi, kwa hiyo furaha yako uwape wageni wakuendeshee mambo yako wewe uendelee na story za pwagu na pwaguzi kwenye kijiwe cha kahawa.

Kama mnataka kubinafsisha kwa nini msiwambie watanzania wenyewe waunde makampuni waiendesha, au ndo ule jenerali Ulimwengu aliuita ugenishaji.​
Kaunde kampuni wewe halafu uombe kuendesha bandari hukatazwi
 
Wewe ndie mfano wa viongozi wa taifa hili mliotufelisha, mlienda shule kuongeza maarifa msiyojua kuyatumia, badala yake mnarudi tena kwa wazungu wawasaidie kujisimamia, ajabu bila aibu unakuja hapa kujiona genius uliyosomea diploma ya uchumi.!!
Marekani inadaiwa na china sana tu. Kukopa ni moja ya maendeleo chanya. Ungesema ungejua. Shida ya nyie elimu ndo tatizo
Nipo vizuri eneo hilo, ulipaswa usema kakosea wapi
Unajua kitu kinaitwa Modigliani theories? Unajua input and output models and how they work?
 
Hapo ndiyo akili yako ikoishia? Bandari ni kitu kidogo? Na TANESCO, TTCL n.k ni vitu vidogo? Tumia akili kufikiri. Kutawala na kufanya biashara ni vitu viwili tofauti. Serikali ilishajitoa ktk shughuli za uzalishaji na biashara. Hata TANESCO na TTCL vinatakiwa vibinafsishwe, wenzetu wazungu serikali haizalishi wala kufanya biashara, sasa sijui ni ukoloni upi unauzungumzia.
Wengi wenu hamjielewi!.
 
Back
Top Bottom