Naunga mkono suala la kubinasifisha Bandari ya Dar es Salaam

Naunga mkono suala la kubinasifisha Bandari ya Dar es Salaam

Watanzania ni wezi imeshindikana kuwadhibiti kutokana na aina ya viongozi iliyopo na wanalindana sana kwenye wizi wao hivyo serikali haipati pesa zinazo stahiLi kupitia badari bora kuwapa wawekezaji tuu
Uafrika hasa utanzania ni LAANA
 
Kiufupi ccm hawana uchungu na tanzania tukicheka nao wakimaliza bandari wanaenda uza Kilimanjaro kwasabu hizi kwqmba mlima unaingizia taisa asala.
Mkuu.

Uafrika hasa Utanzania ni LAANA.

Wananchi ni kama ma Ng'ombe yanayo swagwa wala hayajui yanapo pelekwa ni kupelekwa msobe msobe tu.

Ngozi nyeusi ina laana.

Inabidi mkoloni arudi kutawala hili bara kwa viboko na mijeledi.
 
Hio Bandari ya Dar kama ingejengwa ya Baganoyo na ya Bagamoyo ikawa ni private na ya Dar ikawa ni ya Serikali bila shaka meli zingehamia Bagamoyo na ya Dar ingekuwa kama TTCL now.


Hata mimi kwa hili naunga mkono zaid ya 1000000% serikali inashindwa kuwasimamia watu iliyo waajir yenyewe
Na ni rahisi kujua ni nani ameshindwa kazi. TPA ipo chini ya Wizara, Wizara inaongozwa na Waziri aliyeteuliwa na Raisi.
 
Kiufupi ccm hawana uchungu na tanzania tukicheka nao wakimaliza bandari wanaenda uza Kilimanjaro kwasabu hizi kwqmba mlima unaingizia taifa asala.
Mkuu.

Uafrika hasa Utanzania ni LAANA.

Waafrika na watanzania kwa ujumla ni kama Ma ng'ombe yanayo swagwa wala hayajui yanapo pelekwa ni kupelekwa msobe msobe tu bila kuhoji uelekeo wao.

Ikifikia wakati wa uchaguzi yanakuwa kama manyumbu yana sahau shida na matatizo yanayo wakumba na kuendelea kuwachagua viongozi walewale wala rushwa na wanyonyaji.

Inabidi mkoloni arudi kutawala hili bara kwa viboko na mijeledi.
 
Bandari ni suala la usalama wa taifa, ni mpaka wa nchi.
Ndiyo mkuu uko sahihi wezi wanafikiria namna ya kunufaisha familia zao.
Na njia moja kubwa wanayotumia kwenye kujinufaisha hi hii ya MIKATABA. Ukisikia kuna MKATABA umesainiwa, angalia kwa jicho la tatu, utaona nia halisi ya nyuma ya pazia.
Ukweli ndiyo tena wanasaini mikataba ya Karne ili familia zao,watoto,wajukuu,na vitukuu wao waendelee kuwa exempted material.
 
Mkuu.

Uafrika hasa Utanzania ni LAANA.

Waafrika na watanzania kwa ujumla ni kama Ma ng'ombe yanayo swagwa wala hayajui yanapo pelekwa ni kupelekwa msobe msobe tu bila kuhoji uelekeo wao.

Ikifikia wakati wa uchaguzi yanakuwa kama manyumbu yana sahau shida na matatizo yanayo wakumba na kuendelea kuwachagua viongozi walewale wala rushwa na wanyonyaji.

Inabidi mkoloni arudi kutawala hili bara kwa viboko na mijeledi.
Dawa ni kuiondoa CCM bila hivyo tutaendelea kuteseka.
 
Kuwaachia kila kitu wawekezaji maana yake tunakiri hatuwezi kujitawala, ni bora sasa tumrudishe mkoloni arudi kwasababu naamini kabisa, jinsi mambo yanavyoendelea serikalini kwa sasa, pia tunahitaji kuibinafsisha serikali yetu.

Hivyo sioni sababu kwanini tuendelee kuwaza kubinafsisha vitu vidogo dogo, wakati kule juu penye tatizo la msingi tunaendelea kupaacha kama palivyo, alaah, kumbe inawezekana hata vichwa vyetu pia vinatakiwa kubinafsishwa, kwasababu fikra zetu nazo ni mgando.
Una akili sana ila tu hujielewi
 
Kuwaachia kila kitu wawekezaji maana yake tunakiri hatuwezi kujitawala, ni bora sasa tumrudishe mkoloni arudi kwasababu naamini kabisa, jinsi mambo yanavyoendelea serikalini kwa sasa, pia tunahitaji kuibinafsisha serikali yetu.

Hivyo sioni sababu kwanini tuendelee kuwaza kubinafsisha vitu vidogo dogo, wakati kule juu penye tatizo la msingi tunaendelea kupaacha kama palivyo, alaah, kumbe inawezekana hata vichwa vyetu pia vinatakiwa kubinafsishwa, kwasababu fikra zetu nazo ni mgando.
Unamawazo ya kizamani sana hayaendani na dunia ya leo..
 
Kuwaachia kila kitu wawekezaji maana yake tunakiri hatuwezi kujitawala, ni bora sasa tumrudishe mkoloni arudi kwasababu naamini kabisa, jinsi mambo yanavyoendelea serikalini kwa sasa, pia tunahitaji kuibinafsisha serikali yetu.

Hivyo sioni sababu kwanini tuendelee kuwaza kubinafsisha vitu vidogo dogo, wakati kule juu penye tatizo la msingi tunaendelea kupaacha kama palivyo, alaah, kumbe inawezekana hata vichwa vyetu pia vinatakiwa kubinafsishwa, kwasababu fikra zetu nazo ni mgando.
Mleta uzi anahitaji kubinafsishwa haraka sana,ni hasara kwa taifa
 
Umetoa hoja nzuri but hii syteam isiwe kwa viongozi wa juu tuu bali iende mpaka kwa wafanyakazi wa chini kila mtu ajue jukumu lake ni lipi
Ni sahihi Mkuu, kila mmoja apewe malengo ya kutimiza na iwapo akashindwa basi nafasi yake ijazwe na mwingine.
 
Dawa ni kuiondoa CCM bila hivyo tutaendelea kuteseka.
Waku iondoa HAWAPO.

Kwa maana watanzania wengi ni wajinga, machawa na kama ma ng'ombe yanayo swagwa wala hayajui yanapo pelekwa.

Hayajui haki zao ni zipi, Yanadhani serikali kufanya kazi za maendeleo ni kuwapa msaada.

Ndio maana kila kitu ni kumshukuru Rais wanasahau kwamba ni wajibu wa serikali kuleta maendeleo maana Raia hulipa kodi kwa maendeleo ya nchi, Wala si msaada.

Kama mtu alisema tu kwenye chombo cha habari yule mtangazaji Hando namnukuu hapa [emoji116]
"Serikali inakopa kopa sana" Aka kemewa vikali mno na adhabu juu. Sasa unadhani hawa watawala watakuja kutoka madarakani?

Hawatokaa watokee kamwe, wata tawala milele kwa nature ya watanzania walivyo waoga.

We are doomed to remain poor.

Uafrika hasa utanzania ni LAANA.
 
Back
Top Bottom