Naunga mkono suala la kubinasifisha Bandari ya Dar es Salaam

Naunga mkono suala la kubinasifisha Bandari ya Dar es Salaam

Kwan wakibinafsisha pesa zotozokua zinatolew kwa serikali hawatozipiga?
 
Ukweli kubinafsishwa sioni kama ni busara. tuone mfumo wa uendeshaji mashirika ya umma ndio tatizzo kubwa, ubadilike, isaidie kuwabana wateule au uongozi wake. Hivi hakuna kiongozi anayeumia kwa kuchagua fisadi eti kwa sababu unamfahamu au anafahamia na wapambe wako.

Turudi kwa Rais kwa Rais Mkapa, ili kiongozi aombe, na kweka vigezo vya utekelezaji; kwamba kila mwaka anapimwa kwa utekelezaji wake na kamati maalum ya usimamizi wa mashirika ya umma. Kila shirika lijulikane madhaifu yake ya kuboresha.
Mtu kama january ataihonga iyo kamati
 
Ifike wakati Serikali iachane na kufanya biashara make huu ni ujamaa na ushakuwa proved haiwezekani zaidi ya upigaji.

Kwa taarifa zaidi soma hapa >> Tanzania inatarajiwa kuingia mkataba na kampuni ya DP World ya Dubai kuendeleza Bandari ya Dar es Salaam

Mashirika ya umma kama Bandari, Tanesco, Maji, sijui Posta, TTCL, ATCL, na zinitakiwa kuingia sokoni kuuzwa.

Hiyo Bandari ya Dar kama ingejengwa ya Baganoyo na ya Bagamoyo ikawa ni private na ya Dar ikawa ni ya Serikali bila shaka meli zingehamia Bagamoyo na ya Dar ingekuwa kama TTCL now.

Tanesco angali utendaji wao, lazima wafuatwe offisini uwe unajuama na mfanya kazi mmoja wapo, na sio tu kufuatana na kuwapa rushwa juu, sasa ingekuwa inasimamiwa na watu weupe unazani kungekuwa na kufuatana offisini?

Angalia TTCL haijulikani kazi zao kwa sasa, hivi TTCL ilikuwa ni ya kushindwa hadi na wakina Haloteli? TTCL ilipaswa kuwa sawa na Vodacom, ila Kwa sababu ni Mali ya Umma hakuna anaye jali pale na imejaa wafanya kazi wengi kuliko ufanisi na hakuna anajali.

Mamlaka za maji zimejaa upigaji tupu, unafuatilia kuunganishiwa maji hadi unachoka na lazima uhonge la sivyo hutakaa uunganishiwe maji.

Kwani Bandari ikikodishwa hao wanao kodisha watakuja kuondoka nayo? Wataihamisha? Tuachane na ujamaaa
Ndio tupangishe ila siyo kwa miaka Mia duh
 
Naunga hoja mkuu serikali yetu kwenye mashirika Haina uwezo wa kuyaendesha wabinafsishe wabaki kukusanya Kodi tu huko naona kidogo wanajiweza lakini usimamizi ni mbovu kwakweli
Kwahyo yule muarabu ndio unaoan anawezaa SAS umezaliwa Kuja kutawaliaa na uwezi kufanya kitu
 
Akili za hovyo kabisa hizi, kwa hiyo furaha yako uwape wageni wakuendeshee mambo yako wewe uendelee na story za pwagu na pwaguzi kwenye kijiwe cha kahawa.

Kama mnataka kubinafsisha kwa nini msiwambie watanzania wenyewe waunde makampuni waiendesha, au ndo ule jenerali Ulimwengu aliuita ugenishaji.​
Serikali yetu imejaa wezi na wapigaji wa kila aina pale Bandari. Kama suala la NBC lilikuja na majibu tofauti na matarajio yetu sio kigezo cha kuwanyima hawa jamaa wa Dubai wakaendesha bandari yetu.

Huko USA bandari nyingi tu zinaendeshwa na makampuni ya kukodisha, sisi tuna kipi chenye kuwazidi hao wamarekani kiuchumi na katika suala zima la tija itakayopatikana hapo bandarini?.

Kama mleta mada hatumiwi bila ya kujijua basi hana uwezo wa kutazama hasara tunayopata kama Taifa kwa bandari kuendelea kuendeshwa na kundi la wapigaji.

Maana uhalisia ni kwamba wapigaji huwa wanabadilishwa kadri ya awamu mpya ya uongozi inapoingia madarakani, madudu ni yale yale ya miaka yote.
 
Uafrika hasa utanzania ni LAANA
I feel you, lakini Hapana, uTanzania (uTanganyika) sio Laana,

1. Laana ni Kutumia dola kuingia na kubaki madarakani, wakati huna Nia, Maono, Uwezo na Maarifa ya kuongoza Taifa kubadilisha utajiri wa mali asili kwenda kwenye maisha bora ya wananchi.

2. Laana ni kuwa sehemu ya dola na kutumika kukamilisha laana No. 1
 
Ukweli ni kwamba hawa watu wanakuja na sababu za kijinga eti bora bandari ibinafsishwe kwasaba watanzania ni wezi jambo ambo sio kwrli

ni hivi mashirika ya umma na mamlaka yamejaa makada wa ccm unategemea nini

kumaliza huuu ujinga inatakiwa Watanzania tuamke asubuhi tuamasishane wote nchi nzima tuitoe ccm bilakukupepesa macho lasivyo tuendelee kuvuna mabua.

Kisha tumuweke mtu kama Tundu Lissu awaminye kende watapike malizo zote walizoiba tangu uhuru hadi leo tuakikishe wanarudisha kila kitu cha Taifa hili
Wewe unamuona tundu lissu kama mtu safi, kalagha bhao, huwa Najaribu kuunda serekali ya chadema kifikra huwa nashindwa kujua itakuwaje?, mfano rais TL, Makamu wa rais yule with zanzibar, Waziri mkuu mbowe, Waziri biashara sugu, Mambo ya ndani lema, hivi mnadhani hapo patakuwa na nchi kweli?
 
Wewe unamuona tundu lissu kama mtu safi, kalagha bhao, huwa Najaribu kuunda serekali ya chadema kifikra huwa nashindwa kujua itakuwaje?, mfano rais TL, Makamu wa rais yule with zanzibar, Waziri mkuu mbowe, Waziri biashara sugu, Mambo ya ndani lema, hivi mnadhani hapo patakuwa na nchi kweli?
Kwa akili zako za kufirika hakuna nchi
 
Ifike wakati Serikali iachane na kufanya biashara make huu ni ujamaa na ushakuwa proved haiwezekani zaidi ya upigaji.

Kwa taarifa zaidi soma hapa >> Tanzania inatarajiwa kuingia mkataba na kampuni ya DP World ya Dubai kuendeleza Bandari ya Dar es Salaam

Mashirika ya umma kama Bandari, Tanesco, Maji, sijui Posta, TTCL, ATCL, na zinitakiwa kuingia sokoni kuuzwa.

Hiyo Bandari ya Dar kama ingejengwa ya Baganoyo na ya Bagamoyo ikawa ni private na ya Dar ikawa ni ya Serikali bila shaka meli zingehamia Bagamoyo na ya Dar ingekuwa kama TTCL now.

Tanesco angali utendaji wao, lazima wafuatwe offisini uwe unajuama na mfanya kazi mmoja wapo, na sio tu kufuatana na kuwapa rushwa juu, sasa ingekuwa inasimamiwa na watu weupe unazani kungekuwa na kufuatana offisini?

Angalia TTCL haijulikani kazi zao kwa sasa, hivi TTCL ilikuwa ni ya kushindwa hadi na wakina Haloteli? TTCL ilipaswa kuwa sawa na Vodacom, ila Kwa sababu ni Mali ya Umma hakuna anaye jali pale na imejaa wafanya kazi wengi kuliko ufanisi na hakuna anajali.

Mamlaka za maji zimejaa upigaji tupu, unafuatilia kuunganishiwa maji hadi unachoka na lazima uhonge la sivyo hutakaa uunganishiwe maji.

Kwani Bandari ikikodishwa hao wanao kodisha watakuja kuondoka nayo? Wataihamisha? Tuachane na ujamaaa
Hii Bandari iligeuzwa shamba la bibi la watu wachache kuchuma harafu wengine tunabakia kuwa Wapenzi watazamaji..

Naipongeza Serikali kuweka investor Cha msingi wakubaliane pesa Kwa mwaka Ili awatimue wale wezi na waliokuwa wanaleta inefficiency..

Iende Hadi kwenye sekta zingine mfano tuna Kampuni ya Ranchi ya Taifa hakuna wanachofanya ni upuuzi tuu.
 
Hii Bandari iligeuzwa shamba la bibi la watu wachache kuchuma harafu wengine tunabakia kuwa Wapenzi watazamaji..

Naipongeza Serikali kuweka investor Cha msingi wakubaliane pesa Kwa mwaka Ili awatimue wale wezi na waliokuwa wanaleta inefficiency..

Iende Hadi kwenye sekta zingine mfano tuna Kampuni ya Ranchi ya Taifa hakuna wanachofanya ni upuuzi tuu.
Iligeuzwa shamba la bibi na nani?
 
Serikali yetu imejaa wezi na wapigaji wa kila aina pale Bandari. Kama suala la NBC lilikuja na majibu tofauti na matarajio yetu sio kigezo cha kuwanyima hawa jamaa wa Dubai wakaendesha bandari yetu.

Huko USA bandari nyingi tu zinaendeshwa na makampuni ya kukodisha, sisi tuna kipi chenye kuwazidi hao wamarekani kiuchumi na katika suala zima la tija itakayopatikana hapo bandarini?.

Kama mleta mada hatumiwi bila ya kujijua basi hana uwezo wa kutazama hasara tunayopata kama Taifa kwa bandari kuendelea kuendeshwa na kundi la wapigaji.

Maana uhalisia ni kwamba wapigaji huwa wanabadilishwa kadri ya awamu mpya ya uongozi inapoingia madarakani, madudu ni yale yale ya miaka yote.
Serikali imejaa wezi na wapigaji? Unakubali kuwa sisi Kama sisi hatuwezi kuendesha hata hii serikali?

Kama tatizo ni wapigaji, si Kuna mamlaka ? Kuna raisi? Kwa nini hao wapigaji wasiadhibiwe? Au unataka kusema raisi na vyombo vya dola hawawezi kusimamia serikali?

Kesho wapaji wakiwa ikulu, inabidi ikulu nayo apewe mtu wa nje kuiendesha?

Tunatetea Jambo ambalo ni gumu
 
Serikali imejaa wezi na wapigaji? Unakubali kuwa sisi Kama sisi hatuwezi kuendesha hata hii serikali?

Kama tatizo ni wapigaji, si Kuna mamlaka ? Kuna raisi? Kwa nini hao wapigaji wasiadhibiwe? Au unataka kusema raisi na vyombo vya dola hawawezi kusimamia serikali?

Kesho wapaji wakiwa ikulu, inabidi ikulu nayo apewe mtu wa nje kuiendesha?

Tunatetea Jambo ambalo ni gumu
Uafrika hasa utanzania ni LAANA
 
Wewe unamuona tundu lissu kama mtu safi, kalagha bhao, huwa Najaribu kuunda serekali ya chadema kifikra huwa nashindwa kujua itakuwaje?, mfano rais TL, Makamu wa rais yule with zanzibar, Waziri mkuu mbowe, Waziri biashara sugu, Mambo ya ndani lema, hivi mnadhani hapo patakuwa na nchi kweli?
Hiyo list ndani mwaka moja pesa zote tangu uhuru mtazitapika tu mkishindwa hadi wake zenu watanadishwa kurudi pesa za umma.

Huu ni ujinga
 
Tanesco iliwahi binafsishwa, kilitokea nini?
 
Aisee
 

Attachments

  • Screenshot_2023-06-06-14-57-07-971_com.mi.globalbrowser.jpg
    Screenshot_2023-06-06-14-57-07-971_com.mi.globalbrowser.jpg
    226.9 KB · Views: 2
Ifike wakati Serikali iachane na kufanya biashara make huu ni ujamaa na ushakuwa proved haiwezekani zaidi ya upigaji.

Kwa taarifa zaidi soma hapa >> Tanzania inatarajiwa kuingia mkataba na kampuni ya DP World ya Dubai kuendeleza Bandari ya Dar es Salaam

Mashirika ya umma kama Bandari, Tanesco, Maji, sijui Posta, TTCL, ATCL, na zinitakiwa kuingia sokoni kuuzwa.

Hiyo Bandari ya Dar kama ingejengwa ya Baganoyo na ya Bagamoyo ikawa ni private na ya Dar ikawa ni ya Serikali bila shaka meli zingehamia Bagamoyo na ya Dar ingekuwa kama TTCL now.

Tanesco angali utendaji wao, lazima wafuatwe offisini uwe unajuama na mfanya kazi mmoja wapo, na sio tu kufuatana na kuwapa rushwa juu, sasa ingekuwa inasimamiwa na watu weupe unazani kungekuwa na kufuatana offisini?

Angalia TTCL haijulikani kazi zao kwa sasa, hivi TTCL ilikuwa ni ya kushindwa hadi na wakina Haloteli? TTCL ilipaswa kuwa sawa na Vodacom, ila Kwa sababu ni Mali ya Umma hakuna anaye jali pale na imejaa wafanya kazi wengi kuliko ufanisi na hakuna anajali.

Mamlaka za maji zimejaa upigaji tupu, unafuatilia kuunganishiwa maji hadi unachoka na lazima uhonge la sivyo hutakaa uunganishiwe maji.

Kwani Bandari ikikodishwa hao wanao kodisha watakuja kuondoka nayo? Wataihamisha? Tuachane na ujamaaa
Bandari ni moja ya mpaka muhimu sana ambao Usalama wake una Maslahi makubwa kwa Taifa letu
 
Mleta mada uko sahihi. DP World ni kampuni yenye weledi usiotia shaka. Kwa wasioijua ni kuwa wao pia ndo wana mikataba kwenye bandari sita za USA. Je, USA wao ni wajinga? Hakuna namna tunaweza piga hatua kwa kuendekeza watanzania wenzetu wanaotupiga daily.
 
Hapo serekali ndio inatakiwa kubadilika ukishindwa kuendeshe bandari Kuna siku utabinafsisha TRA
TRA itabinafsishwa pia kwenye baadhi ya vitengo na kubakiza vitengo vichache, ila ubinafsishwaji wa kimfumo, huduma nyingi zitaingizwa kwenye mifumo ya electronic na kuwa operated na mashine hivyo watengeneza mashine za mifumo ndo watachukua nafasi.
 
Back
Top Bottom