BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
- Thread starter
-
- #141
Watu wake, kwami wale Ma director wana share pale?Sasa hapa Tatizo ni bandari au ni Serekali?
Kwanini unapendekeza bandari ibinafsishwe bada ya Serekali inayoshindwa kusima bandari ndio ibinafsishwe.
Saa100 kichwa anakitumia kufungia ushungi amna mtu paleHakuna nchi ambayo imebinafsisha kila kitu mzee bandari ni sehemu nyeti sana huwezi kumpa mtu binafsi aendeshe kuna mambo mengi ya kiusalama kwetu na nchi jirani ni sawa na kuzi privatelize airports haiwezekani zitakuwa ni highways za kupitishia magendo na silaha haramu .
YAANI TUMPE MCHINA NDIO ASIMAMIE BANDARI YETU LOL!!
Wale wanakuja na mifumo yao utaishia kupata mshahara ila sio kuibaKwaiyo hiyo kampuni mnataka kubinafsisha itakuja na wafanyakazi wake?
Nyie mmeweza nini? Taka kimoja wapo mlicho weza kufanya biasharaAkili za hovyo kabisa hizi, kwa hiyo furaha yako uwape wageni wakuendeshee mambo yako wewe uendelee na story za pwagu na pwaguzi kwenye kijiwe cha kahawa.
Kama mnataka kubinafsisha kwa nini msiwambie watanzania wenyewe waunde makampuni waiendesha, au ndo ule jenerali Ulimwengu aliuita ugenishaji.
Upi? Hakuna commitment pale make muda wowote mkurugenzi anapigwa chiniUkweli kubinafsishwa sioni kama ni busara. tuone mfumo wa uendeshaji mashirika ya umma ndio tatizzo kubwa, ubadilike, isaidie kuwabana wateule au uongozi wake. Hivi hakuna kiongozi anayeumia kwa kuchagua fisadi eti kwa sababu unamfahamu au anafahamia na wapambe wako.
Turudi kwa Rais kwa Rais Mkapa, ili kiongozi aombe, na kweka vigezo vya utekelezaji; kwamba kila mwaka anapimwa kwa utekelezaji wake na kamati maalum ya usimamizi wa mashirika ya umma. Kila shirika lijulikane madhaifu yake ya kuboresha.
Kabisa cha ajabu wajinga humu hawalioni hiloMALI ZA UMMA ZINAZOKUWA CHINI YA SEREKALI ZILE ZA KIBIASHARA NDIO MLANGO MKUU WA WIZI WA MALI ZA UMMA.
Wewe nyamaza hujui kitu TPA onanfumo mzuri sana hakuna nfanyakazi anaweza kuiba pesa ya malaka pesa zote baada ya malipo zinapelekwa azina kupitia MabankWale wanakuja na mifumo yao utaishia kupata mshahara ila sio kuiba
Ingia google utafute mmezoea kutafuniwa Kila kituYataje then tuingie google
Hii story ya Namibia inaonekana ni kama 100% kilichotokea Namibia.
Soma hapo chini
"In 2019, DP World, a Dubai-owned port operator, under the aegis of Sultan Bin Sulayem, with support from the former Transport Executive Director, Willem Goeimann orchestrated a plan to gain control of the newly constructed N$4.2 billion Walvis Bay container terminal through a direct agreement for a period of 50 years.
DP World’s strategy included extending unwarranted generosity to several Namibian decision makers, some of whom were completely oblivious of their true intent; to avoid a competitive process that would most probably undercut their chances of controlling this strategic asset. To bypass Namibia’s procurement laws and justify a direct agreement, DP World’s agents pushed for a largely farcical Government-to-Government agreement between UAE and Namibia, which was a mere smokescreen, hiding DP World’s real motive. This deception was clearly manifested when they signed an MOU with Nara Namib to develop a Free Economic Zone in Walvis Bay.
It was considered dangerous and inimical to the interest of Namibian People but it seems no one made the effort to analyse it in detail.
For unscrupulous foreign opportunists all you need is the opportunity, an architect to draft the master plan, a local agent that knows how to manipulate the system, a few key officials and the unscrupulous foreign investor to exploit Namibia and deprive it of real economic development".
Corruption: How Dubai Firm DP World Plots To Fraudulently Secure Control Of Walvis Bay Port
NAMIBIA: The 2019 Fishrot scandal was a moment of epiphany for many Namibians; a coming to terms with the unpleasant reality that Namibia’s public service has been a hotbed for corruption for many years. And the recently hatched Walvis Bay Port syndicate indicates that, that unfortunate reality...kenyainsights.com
Kama Alhaji Mwinyi Alivyifanya Loliondo Kuitoa Miaka 100 Kwa MwarabuCcm mnauza bandari yetu miaka 100? Mkataba gani wa miaka 100? Kwa malengo Yapi? Miaka 100 mabadiliko yatakua makubwa sana hapa Duniani, Kwanini tunahukumu vizazi vyetu vitatu au vinne kwa tamaa za sasa?
Baada ya hapo atakuja mwingine ajifanye Mzalendo wakati alishiriki uchafu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Alhaji Mwinyi Alivyifanya Loliondo Kuitoa Miaka 100 Kwa Mwarabu
Yanakwenda Kukamilishwa Tena Na Mama Anawapa Tena Waarabu Bandari Miaka 100
Kubali tu hata ubishe vipi huo ndiyo ukweli. Kwani TTCL imekodishwa? Angalia performance yake ilivyoSerikali imejaa wezi na wapigaji? Unakubali kuwa sisi Kama sisi hatuwezi kuendesha hata hii serikali?
Kama tatizo ni wapigaji, si Kuna mamlaka ? Kuna raisi? Kwa nini hao wapigaji wasiadhibiwe? Au unataka kusema raisi na vyombo vya dola hawawezi kusimamia serikali?
Kesho wapaji wakiwa ikulu, inabidi ikulu nayo apewe mtu wa nje kuiendesha?
Tunatetea Jambo ambalo ni gumu