Naungana na jamii ya kimataifa kutompa ushirikiano mheshimiwa Uhuru Kenyatta


Acha kuongea kama unaongea kwa kutumia masaburi,ndio maana nawambia Watanzania ongelea upuuzi wa nchi yako acha kuongea usichokijua kwa kujidai unajua wakati haujui lolote,ni mjaluo gani alihusika katika mauaji yaliyotokea Kenya? Mauaji yalitokea kwa kiasi kikubwa mikoa ya Central Kenya walichinjana wenyewe unasemaje kwamba walikuwa ni wajaluo ndio walikuwa wakiwachinja wengine? Acha uzezeta kuongea usichokijua bro uongo hauna mshahara,kati ya watu sijui saba waliopelekwa ICC nani kati yao ni mjaluo pale?
Uongo wa vijiweni ndio mnaleta humu jf acheni ndio maana mnaandika viingereza vibovu kwenye tweete kwa kujidai wajuaji waachieni wakenya mambo yao na nyie bakini na ya tanzania
Uliongea na wakikuyu gani wakakueleza haya uliyoyaandika humu? Acha kutoka povu mdomoni kuandika stori za vijiweni
 
haya yote yanajitokeza ni kutokana na CHADEMA kuumbuka kwa kumsupport ODINGA. Ndiyo maana inaanzishwa mijadala ambayo haina tija kwetu ili mradi tu wanaonyesha hisia zao za kumpinga Kenyatta

Masaburi wako kazini,haya amechaguliwa Kenyata nenda kachukue posho na njaa yako
 
Raila ni kibaraka wa wazungu ndio mana wakenya wamechimbia chini, akafie huko
 
Masaburi wako kazini,haya amechaguliwa Kenyata nenda kachukue posho na njaa yako

ndio kawaida yenu mkiishiwa hoja mnaanza kutoa matusi, kumbuka ile thred kuwa raila ni chadema na kenyatta ni ccm.usijivishe utaahira
 

Kwahiyo wewe unaijali sana Kenya kuliko wakenya wenyewe?
Try to be consistent with Democracy, you don't have to be part of that vicious western agenda
What if Kenyans had smelled a rat and went on to elect Kenyatta?
If USA refuses to cooperate with Kenyatta, China will fill that void (if any)
USA is fairly irrelevant in this new era, in fact their financial leverage is very limited now
 
mleta mada acha viroba kunywa banana.Marekani ndio inatuhitaji sisi. Kuna wachina so America watajileta wenyewe. Tuache ukibaraka wa Wazungu.
 
Watanzania bwana, who and what are u kutoa au kutotoa ushirikiano? Maneno maneno maneno!
 

Mh!hili nalo neno!
 
Wakuu,
sio kama Nashabikia hili, naandika haya Kwa Majonzi sana Maana ni kitu ambacho kinaweza kutokea Bongo.
Uchaguzi Kenya na ushindi wa Uhuru,achilia mbali kelele za kumiliki ardhi kuubwa,kesi ya Ocampo,still kakomaa,hapa Kwetu Ndugu Edo nae akijipanaga si anaweza akachukua shavu,achilia mbali kelele za Richmnd etc etc etc...?????

Eeeh Mwenyezi Mungu Epushia Mbali, Astaghfirullah -
 
nimejaribu kuangalia kama wewe ni mkenya au mmtanzania, hujajitambulisha vizuri. Hivi wewe kwa mawazo yako, ni yupi kati yako wewe na wakenya wanaojua walioanzisha vita ya 2007? bila shaka wakenya wanawajua zaidi kuliko wamagharibi wanavyowajua wanzilishi wa vurugu. katika uchaguzi ule, Kibaki na Odinga ndio waliokuwa wanachuana kwa karibu sana, na kwa kiasi kikubwa, Odinga aliporwa ushindi, na Kibaki alipora na kujiapisha ndani ya muda mfupi tu tena chini ya ulinzi mkali. Kwa hiyo, mwanzilishi wa vurugu kwa mawazo yangu, ni aliyepora ushindi yaani Kibaki na aliyeporwa ushindi Odinga, aliyeamua kuhamasisha wafuasi wake kuupigania. Lakini tume ya Annan, haikuwashukia si KIBAKI wala ODINGA, bali waliamua kuwachagulia vioongozi wakenya kwa kuhakikisha UHURU hagombei msimu ujao. Lakini wameshindwa kwani wakenya wameonesha kumkubali. Wewe inakuuma nini? Kwa wale wanaosema CCM imechakachua matokeo huko kenya, ikumbukwe kuwa, mawaziri wa J.K walionekana kwenda kumnadi RAILA, hakuna aliyeonekana kumnadi UHURU
 
Wild fauna umeongea point..uchakachuzi umefanywa kwa utaalam wa hali ya juu

Hivi inawezekanaje Makamu wa rais na Waziri Mkuu wakachakachuliwa na mawaziri wastaafu?
Africa is fool of miracles!
 
Af nyie watanzania vipi bhana?mbna nyie mmlimchagua rais asie jua A wala B?wakenya washachagua?hv hyo Icc ni kwa ajili ya african leaders?ushabiki wa waafrica wachache ndo unaowapa wazugu kiburi waendele kutunyanyasa,mbna kino hugo chavez,kina iran wapo na marekan haiwataka?kila nchi ina mipaka yake na maamuzi pia,mi nadhn municipal law inabdi, zieshmiwe!leo wamemkataa uhuru kesho watakuja watamkataa dr slaa!!waafrica inabidi tueshimiwe na jumuia za kimataifa.
 
Kabla hujafikiria kutomuunga mkono Kenyatta ambao najua hata Kenyatta haihitaji kuunga mkono nawe kwasababu Wakenya 6M washamuunga mkono,fikiria kwanza kusimamia maendeleo ya nchini kwako.
 

Sitapenda kuendeleza hii ligi kwani nimegundua au wewe sio saizi yangu kubishana nawe ama wewe ni mjaluo uliyehusika kwenye mauaji ya wakenya wenzio kwa kisingizio cha kuibiwa kura!!!!

Tiba
 

Nani huyo asiyejua A wala B?

Mimi nakubaliana na wakenya kwani Uhuru kwenye kampeni was smart than Raila, hakuwahi kuuma maneno
 

Mkuu, nakushukuru sana kwa kuuona huo ukweli. Kwenye mchango wangu hapa, nimeyasema hayo hayo lakini kuna Mjaluo mmoja hapa, ametaka kunikata kichwa na mimi kwa kutumia key board yake!!!!

Tiba
 
Chifu Tiba naomba nikuulize swali moja tu: hivi ni nani aliyefungua kesi pale the Hague na Uhuru na Ruto kuwa miongoni mwa washtakiwa?

Ndugu yangu NZI, mimi sio mtu sahihi kutoa jibu la swali lako. Lakini kwa uelewa wangu mdogo, kesi iliyofunguliwa dhidi ya Uhuruna Ruto na wengine, ilikuwa ni kujaribu tu kutuliza munkari na wale wapenzi wa Uhuru na Kenyatta wanasema hiyo kesi ilipewa msukumo na Raila ili kuwaua wapinzani wake kisiasa. Wengine wanasema lile ombi la Kenya la kuendesha kesi za waliohusika yenyewe kama nchi badala ya kuzipelekaThe Hague lilihujumiwa na Raila huyo huyo. Huyu Raila hata baadhi ya Wajaluo wenzake hawamwamini hata kidogo, kwani he is too ambitious na yuko tayari kufanya lolote ilimradi atimize ndoto zake. Lakini ndoto ya Urais naona sasa imefikia kikomo.

Tiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…