Naungana na wasioamini uwepo wa Mungu

Naungana na wasioamini uwepo wa Mungu

God died many years ago
FB_IMG_17292708366350043.jpg

Yupo wapi ndugu yako Nietzsche ?
 
Kitendo cha kutaka kujiua ni tatizo la afya ya akili.
pole sana

Usilazmishe kwamba mapito uliyopitia kwamba Mungu hayupo kisa ulipata tabu, ulikata tamaa, ulikosa msaada

tambua uwepo wa Mungu ni sawa na kutambua uwepo wa nguvu za asili. Unapaswa ujue namna ya kufikiwa na hizo nguvu
 
Iliwalinda na nini?. Mizimu iliyokosa akili ya kuwapa mababu waunde magari ndege meli. Imewajaza ujinga tu. Ikasubiri hata barabara wafundishwe kujenga na walioamini Mungu yupo.
Hao wanaounda hivyo ulivyo zungumzia...walitukuta tuna Farasi na punda...vitu vyetu vya asili vyote wameondoka navyo wametuletea vitu vyao vyenye madhara makubwa kweli kweli...!

Sio kwamba atuwezi kuunda sisi tulikuwa na technology pana wakoloni wakaiua kwa kuwaua Babu zetu...! Leo hii Bado sisi ni watumwa isipo kuwa mtumwa Mimi ni mtumwa nilie huru...!​
 
Sawa mkuu. Mizimu inapaisha watu na nyungo tu usiku. Wakawajambie waafrica wezao na kuwakaba usiku. Wakija wenye kuamini Mungu wanachukua tu dhahabu zetu wanapeleka kwao Mizimu inatizama tu.
Unazungumzia uchawi mkuu...uchawi na Mizimu ni vitu viwili tofauti
 
Nimeishia kwenye salamu tu nikaacha.

Nishajua kilichoandikwa lazima utakua utumbo.

Hata hivyo nasikitika Ku comment kwenye utumbo ila sio mbaya maana comment yangu yenyewe utumbo pia 😁
 
Nimeishia kwenye salami tu nikaacha.

Nishajua kilichoanfikwa lazima utakua utumbo.

Hata hivyo nasikitika Ku comment kwenye utumbo ila sio mbaya maana comment yangu yenyewe utumbo pia 😁
Shukrani sana asili ikulinde
 
Back
Top Bottom