X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
- #21
Mimi nawekeza nguvu zangu kujiamini Jua...Lina matokeo yanayoonekana...ila hii dhana ya mungu imegoma kabisa kuingia kwenye akili zanguBro Amini tu hata usipomkuta hutokuwa na hasara