Naungana na wasioamini uwepo wa Mungu

Naungana na wasioamini uwepo wa Mungu

Jamani mimi naomba tu nielezwe
Kama Mungu ni mjuzi zaidi anajua kila kitu kwanini tunafundishwa kusali?

Kwanini Shetani amekosea kaletwa duniani bustanini EDEN alafu sisi tukikosea tunaenda motoni

Ibilis laanatullah kwa mujibu wa mafunzo ya uislam ameumbwa kwa moto sio
sasa siku ya mwisho atarudishwa motoni?
 
Hao wanaounda hivyo ulivyo zungumzia...walitukuta tuna Farasi na punda...vitu vyetu vya asili vyote wameondoka navyo wametuletea vitu vyao vyenye madhara makubwa kweli kweli...!

Sio kwamba atuwezi kuunda sisi tulikuwa na technology pana wakoloni wakaiua kwa kuwaua Babu zetu...! Leo hii Bado sisi ni watumwa isipo kuwa mtumwa Mimi ni mtumwa nilie huru...!​
Kwani farasi hawapo? Punda hawapo. Na hiyo siyo kuwaunda tumewakuta wapo tu. Wao wametengeneza vitu ambavyo havikuwepo. Kama ndege treni magari meli pikpik na vingine vingi tu. We unafikli dar to mwanza na punda wako ungefika baada ya siku ngapi?. Mizimu inaangalia tu. Inawaachia wanaoamini Mungu yupo watengeneze
 
Mizimu ipo iliwalinda Babu zetu...inatulinda na sisi pia...!

kutambika mizimu, kufanya ibada, kutoa kafara kishirikina zote hizo ni njia za kufungua nguvu za asili (natural power)
ni maamuzi yako utumie njia gani

wale watenda maovu usione wanafanikiwa, wale tayari wamesha kubari kushirikiana na shetani na anawazidishia ili wazidi kuamini ktk uovu na kuzidi kuwa wafuasi nguvu nyeusi za asili
 
kutambika mizimu, kufanya ibada, kutoa kafara kishirikina zote hizo ni njia za kufungua nguvu za asili (natural power)
ni maamuzi yako utumie njia gani

wale watenda maovu usione wanafanikiwa, wale tayari wamesha kubari kushirikiana na shetani na anawazidishia ili wazidi kuamini ktk uovu na kuzidi kuwa wafuasi nguvu nyeusi za asili
Bora tufanye matambiko tu...!
 
Hao wanaounda hivyo ulivyo zungumzia...walitukuta tuna Farasi na punda...vitu vyetu vya asili vyote wameondoka navyo wametuletea vitu vyao vyenye madhara makubwa kweli kweli...!

Sio kwamba atuwezi kuunda sisi tulikuwa na technology pana wakoloni wakaiua kwa kuwaua Babu zetu...! Leo hii Bado sisi ni watumwa isipo kuwa mtumwa Mimi ni mtumwa nilie huru...!​
Halafu mizimu yao ikashindwa kuwaokoa? Ni lini tutajifunza kuwaona wanadamu kuwa ni walewale licha ya rangi na tofauti zingine kama hali, hadhi na jiografia?

Alichokuwa anaamini babu Hatt Mzungu ndicho kilekile alichokuwa akiamini babu Mwafrika Alkebulani, wakiwa katika upagani.
 
Ndugu zangu niwasalimu kwa jina la mizimu ya mababu wema walio itunza asili ya kiafrika, mizimu iwalaani mababu waovu walio rubuniwa kupoteza uafrika na kutuletea Imani za ajabu zisizo kuwa na matokeo...!

Kwenye maisha yangu niliwahi kutekwa na Imani ya dini Fulani ambayo kupitia mafundisho ya dini hiyo Kila nilicho wahi kuomba hakikuwahi kufanikiwa...ndani ya dini hiyo hiyo niliwahi kushuhudia watu washenzi, wafitini, wafilaji, wasengenyaji, wanaotembea na wake za watu tena wakiwa ni viongozi wa dini wenye nyazifa na vyeo vikubwa.

Kwa utafiti wangu nilio ufanya nimegundua Dini na Mungu ni vitu ambavyo havipo. Kuna watu nawajua tokea nakua Hadi Leo maisha Yao ni Duni😭😭😭
View attachment 3131826
Kuna watu nawajua tokea nakua Wana furaha na Wana enjoy maisha ila nyuma ya pazia ni wauzaji wakubwa wa madawa ya kulevya ambao Wana tuharibia kizazi chetu...nguvu kazi inapotea...!

Huyu mungu ni mungu gani aso na huruma...?

Niliwahi kupata changamoto Fulani kipindi nakua... changamoto hiyo ilipelekea Mimi kutaka kujiua bad enough nilijaribu kujiua two times kwa njia tofauti tofauti ikashindikana...! Niliwahi kujinyonga and I was experienced near death experience 😭😭😭😭

Second time nilikunywa sumu it wasn't work...!

{Nitazungumza next time kwanini nilifikia hatua ya kutaka kujiua commit suicide}

Kuna watu kwenye hii Dunia wanapitia mambo magumu sana ambayo hayaelezeki. Majority tunao waona Wana furaha they fake the smile nyuma ya pazia wengi Wana majuto na vilio vya sirini...! Huyu mungu mungu gani alie tuleta hapa Duniani tuteseke😭😭😭

Ina maana furaha ya mungu ni kutuona sisi tunateseka...?

Ndugu zangu nilicho kigundua kwa utafiti wangu mdogo ni kuwa siri ya mafanikio ya Kila mmoja ipo kwenye tarehe yake ya kuzaliwa ndio maana hata Yesu waliiona nyota yake kabla hajazaliwa.

Mimi na wewe tunateseka kwasababu atupendi kuifuatilia asili ya kwetu tuna kazi ya kuabudu mizimu ya mababu wa kizungu na kiarabu...ila mizimu yetu tumeiacha...!

Leo hii mtu akijiita NGOSHA anaonekana mjinga na mlugaluga...ila Michael au John ndio wanaonekana wajanja na wanao enda na wakati...!

View attachment 3131822
Hivi kweli sisi waafrika tumezidiwa akili kiasi hicho...hakuna kitabu hata kimoja Cha dini kinachoonyesha kuwa Afrika pamewahi kuwa na Nabii...ila watu wazuri na manabii wote wanatoka kwenye nchi zao😭😭😭

Mababu zetu wazuri wameitwa Mizimu...Babu wa kiyahudi na kiarabu yeye sio mzimu ni mtakatifu...!

Walitutesa sana...tukawachapa sana kiasili rejeeni vita za MajiMaji...na nyinginezo zilizo piganwa kijadi amini nawaambia wakoloni tuliwachapa tukawagala gaza...wazee wetu walikuwa wanalindwa na Mizimu mikali...!

Hiyo iliwapelekea wakoloni kurudi nyuma na kujipanga upya...wakatutengenezea Mungu wao tukasahau Matambiko yetu na Mizimu yetu...!
View attachment 3131825
Kwa hoja zangu hizo dhaifu natangaza rasmi Mimi sio muumini wa dini yoyote Ile na siku nikifa mnizike KIMILA​
Mpumbavu husema moyoni mwake, hakuna Mungu.
 
Hoja yako ni kuwa kwa kuwa unapitia matatizo na mungu unamuomba mungu hakusaidii ndo una amua mungu yupo. Mfano baba yako akiwa anakufundisha kitu utaona anakutesa unaweza ukaomba kitu asikupe sababu sio hakupendi ila kuna vitu anajua ni vya muhimu kukupa kuliko ulivyoomba. Ukiwa unajifunza kutembea unaweza ukaanguka baba yako anawambia muache amke mwenyewe ili ajifunze pia mabaya na mazuri yanawatokea wengi tu kuna nchi wana mafuriko wengine vita tsunami
 
Ukiiwaza Dunia na kuangalia mienendo yake kwa umakini mkubwa na Kisha kutafakari.

Basi utagundua huyo Mungu kama anavyoelezwa na Vitabu vya dini hayupo na kama basi hana nguvu wanazomnasibisha.

Angalia mauaji hapo Sudan, Kongo, Ethiopia, Gaza na kule Ukraine(Ukirene).

Angalia shida wanazopata watu mbalimbali, wanaomba maombi hawajibiwi.

Magonjwa na Vita, mabalaa kama Vimbunga.

Hivyo Kuna asilimia zaidi ya 93% hakuna Mungu.
 
Ndugu zangu niwasalimu kwa jina la mizimu ya mababu wema walio itunza asili ya kiafrika, mizimu iwalaani mababu waovu walio rubuniwa kupoteza uafrika na kutuletea Imani za ajabu zisizo kuwa na matokeo...!

Kwenye maisha yangu niliwahi kutekwa na Imani ya dini Fulani ambayo kupitia mafundisho ya dini hiyo Kila nilicho wahi kuomba hakikuwahi kufanikiwa...ndani ya dini hiyo hiyo niliwahi kushuhudia watu washenzi, wafitini, wafilaji, wasengenyaji, wanaotembea na wake za watu tena wakiwa ni viongozi wa dini wenye nyazifa na vyeo vikubwa.

Kwa utafiti wangu nilio ufanya nimegundua Dini na Mungu ni vitu ambavyo havipo. Kuna watu nawajua tokea nakua Hadi Leo maisha Yao ni Duni😭😭😭
View attachment 3131826
Kuna watu nawajua tokea nakua Wana furaha na Wana enjoy maisha ila nyuma ya pazia ni wauzaji wakubwa wa madawa ya kulevya ambao Wana tuharibia kizazi chetu...nguvu kazi inapotea...!

Huyu mungu ni mungu gani aso na huruma...?

Niliwahi kupata changamoto Fulani kipindi nakua... changamoto hiyo ilipelekea Mimi kutaka kujiua bad enough nilijaribu kujiua two times kwa njia tofauti tofauti ikashindikana...! Niliwahi kujinyonga and I was experienced near death experience 😭😭😭😭

Second time nilikunywa sumu it wasn't work...!

{Nitazungumza next time kwanini nilifikia hatua ya kutaka kujiua commit suicide}

Kuna watu kwenye hii Dunia wanapitia mambo magumu sana ambayo hayaelezeki. Majority tunao waona Wana furaha they fake the smile nyuma ya pazia wengi Wana majuto na vilio vya sirini...! Huyu mungu mungu gani alie tuleta hapa Duniani tuteseke😭😭😭

Ina maana furaha ya mungu ni kutuona sisi tunateseka...?

Ndugu zangu nilicho kigundua kwa utafiti wangu mdogo ni kuwa siri ya mafanikio ya Kila mmoja ipo kwenye tarehe yake ya kuzaliwa ndio maana hata Yesu waliiona nyota yake kabla hajazaliwa.

Mimi na wewe tunateseka kwasababu atupendi kuifuatilia asili ya kwetu tuna kazi ya kuabudu mizimu ya mababu wa kizungu na kiarabu...ila mizimu yetu tumeiacha...!

Leo hii mtu akijiita NGOSHA anaonekana mjinga na mlugaluga...ila Michael au John ndio wanaonekana wajanja na wanao enda na wakati...!

View attachment 3131822
Hivi kweli sisi waafrika tumezidiwa akili kiasi hicho...hakuna kitabu hata kimoja Cha dini kinachoonyesha kuwa Afrika pamewahi kuwa na Nabii...ila watu wazuri na manabii wote wanatoka kwenye nchi zao😭😭😭

Mababu zetu wazuri wameitwa Mizimu...Babu wa kiyahudi na kiarabu yeye sio mzimu ni mtakatifu...!

Walitutesa sana...tukawachapa sana kiasili rejeeni vita za MajiMaji...na nyinginezo zilizo piganwa kijadi amini nawaambia wakoloni tuliwachapa tukawagala gaza...wazee wetu walikuwa wanalindwa na Mizimu mikali...!

Hiyo iliwapelekea wakoloni kurudi nyuma na kujipanga upya...wakatutengenezea Mungu wao tukasahau Matambiko yetu na Mizimu yetu...!
View attachment 3131825
Kwa hoja zangu hizo dhaifu natangaza rasmi Mimi sio muumini wa dini yoyote Ile na siku nikifa mnizike KIMILA​
Kwa kweli ni hoja dhaifu kama ulivyohitimisha. Hongera sana kwa kutambua kwamba hoja zako ni dhaifu.
 
Back
Top Bottom