Number ni 26
JF-Expert Member
- Apr 3, 2019
- 1,573
- 3,088
Mdogo wangu IDDI MUHANDO! Nakuonya kama kaka yako, achana na skanka! Pia Dubai haikupendi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunafundishwa kusali kwa sababu ndiyo namna bora ya kuwasiliana na Mola. Akili haizaliwi ikiwa tayari imejengeka maarifa, bali inafundishwa kupokea na kutumia maarifa.Jamani mimi naomba tu nielezwe
Kama Mungu ni mjuzi zaidi anajua kila kitu kwanini tunafundishwa kusali?
Kwanini Shetani amekosea kaletwa duniani bustanini EDEN alafu sisi tukikosea tunaenda motoni
Ibilis laanatullah kwa mujibu wa mafunzo ya uislam ameumbwa kwa moto sio
sasa siku ya mwisho atarudishwa motoni?
Kwa ajili ya hoja, hebu tuseme uko sahihi. Kwa hiyo ulimwengu umetokana na nini? Kwa nini, kwa mujibu wa sayansi, kila dutu, ikiwemo miamba, ina chanzo chake?Suala la kuumbwa ni mtambuka,hakuna muumbaji na ikiwa yupo basi naye atakuwa na muumbaji wake naye muumbaji wake atakuwa na muumbaji wake.............
Ingekuwa mimi nisingehangaika kumuuliza swali asiloweza kujibu kiyakinifu. Anachojaribu kufanya jamaa ni kutafuta kichaka (cha karanga, bila shaka) ili kujifichamo.Mkuu hao mizimu ndio wameumba dunia? Au nao nisehemu ya uumbaji?
Hakuna mwenye jibuKwa ajili ya hoja, hebu tuseme uko sahihi. Kwa hiyo ulimwengu umetokana na nini? Kwa nini, kwa mujibu wa sayansi, kila dutu, ikiwemo miamba, ina chanzo chake?
Hey! Mr. Genius Always Cold! Are you watching from Kuala Lumpur Malaysia or just from nearby Kamiti Maximum Prison in Kenya?Am watching
Kwa nini useme kwamba kila kilichopo (Mungu akiwemo), lazima kiwe na chanzo? Is there no possibility of having a chanzoless Chanzo?Hakuna mwenye jibu
Muamini wa Mungu ama mwanasayansi
Skanka🤣🤣🤣🤣Mdogo wangu IDDI MUHANDO! Nakuonya kama kaka yako, achana na skanka! Pia Dubai haikupendi
Mpumbavu husema moyoni mwake kuna Mungu.Mpumbavu husema moyoni mwake, hakuna Mungu.
Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.Ukiiwaza Dunia na kuangalia mienendo yake kwa umakini mkubwa na Kisha kutafakari.
Basi utagundua huyo Mungu kama anavyoelezwa na Vitabu vya dini hayupo na kama basi hana nguvu wanazomnasibisha.
Angalia mauaji hapo Sudan, Kongo, Ethiopia, Gaza na kule Ukraine(Ukirene).
Angalia shida wanazopata watu mbalimbali, wanaomba maombi hawajibiwi.
Magonjwa na Vita, mabalaa kama Vimbunga.
Hivyo Kuna asilimia zaidi ya 93% hakuna Mungu.
Mwenzio alisema hivyo hivyo akaenda mbali akasema akifa tumchome moto watu wale wakamfuata wakampa dili la mamilioni baada ya akiulizwa anasema akifa azikwe km wanavyozikwa wazungu, Pesa ugumu wa maisha unaweza ukakufanya ufanye maamuzi ya kiduanzi Mimi sihami dini kwenda dini yoyote na sitaki mtu yoyote ajipendekeze kwenye dini na dini yangu ni upendo sio nyingine ni Upendo, sina mbambamba sijui mizimu matunguli ni yenu Mimi dini yangu ni upendo kuna Mungu hakuna Mungu Mimi dini yangu ni upendoKwa hoja zangu hizo dhaifu natangaza rasmi Mimi sio muumini wa dini yoyote Ile na siku nikifa mnizike KIMILA
Mwenzio alisema hivyo hivyo akaenda mbali akasema akifa tumchome moto watu wale wakamfuata wakampa dili la mamilioni baada ya akiulizwa anasema akifa azikwe km wanavyozikwa wazungu, Pesa ugumu wa maisha unaweza ukakufanya ufanye maamuzi ya kiduanzi Mimi sihami dini kwenda dini yoyote na sitaki mtu yoyote ajipendekeze kwenye dini na dini yangu ni upendo sio nyingine ni Upendo, sina mbambamba sijui mizimu matunguli ni yenu Mimi dini yangu ni upendo kuna Mungu hakuna Mungu Mimi dini yangu ni upendo
Huu ndio ukweli japo ni mchungu ila wafia dini watakuja kukupiga mawe...dini Zina himiza tutoe SADAka🤣🤣🤣🤣 tulitajirishe huku sisi waumini tukibaki na machungu yetuMungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Watu wanahangaika sana kumuongelea na kumuelezea Mungu ambaye hajawahi kuwepo na hayupo kujiongelea mwenyewe, kujitetea mwenyewe na kujidhihirisha mwenyewe yeye kama yeye kwamba yupo.
Huyo Mungu kama yupo ajitokeze mwenyewe hadharani ajidhihirishe kama ana huo uwezo.
Ili nipate nini Mimi...! Nipo ugenini huku hata kupiga kura hakuna...! Huku nilipo wamevuka kikwazo cha uchaguziUmejiandikisha lakini?
Mateso kwetu sisi mafukara unadhani mzee kikwete Ako na miaka mingapi kwa sasa...? Je kwake ni mateso...?Ikizidi 80 ni mateso tu. Ila Cha ajabu kwako Mungu hayupo. Ila Mizimu aka majini yapo. Hahahaaaaa. Mpumbavu amesema moyoni mwake hakuna Mungu.
Kichaa mkubwa ni yule anae amini kitu ambacho hajawai kukiona...!Wewe ni kichaa kabisa, period.
Asilimia kubwa ya wafia dini ni walevi ama wa bangi au pombe fuatilia utagunduaMdogo wangu IDDI MUHANDO! Nakuonya kama kaka yako, achana na skanka! Pia Dubai haikupendi