spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Kwani farasi hawapo? Punda hawapo. Na hiyo siyo kuwaunda tumewakuta wapo tu. Wao wametengeneza vitu ambavyo havikuwepo. Kama ndege treni magari meli pikpik na vingine vingi tu. We unafikli dar to mwanza na punda wako ungefika baada ya siku ngapi?. Mizimu inaangalia tu. Inawaachia wanaoamini Mungu yupo watengenezeHao wanaounda hivyo ulivyo zungumzia...walitukuta tuna Farasi na punda...vitu vyetu vya asili vyote wameondoka navyo wametuletea vitu vyao vyenye madhara makubwa kweli kweli...!
Sio kwamba atuwezi kuunda sisi tulikuwa na technology pana wakoloni wakaiua kwa kuwaua Babu zetu...! Leo hii Bado sisi ni watumwa isipo kuwa mtumwa Mimi ni mtumwa nilie huru...!
Hakuna tofauti yoyote Ile.Unazungumzia uchawi mkuu...uchawi na Mizimu ni vitu viwili tofauti
Mizimu ipo iliwalinda Babu zetu...inatulinda na sisi pia...!
Tofauti ipo...mkuuHakuna tofauti yoyote Ile.
Umepotea njia mkuu🤣🤣🤣naamini Katka Mungu
Yaan Kama wewe unavyoamini. Namimi naamini Mizimu majini na uchawi ni kitu kimoja tuTofauti ipo...mkuu
Bora tufanye matambiko tu...!kutambika mizimu, kufanya ibada, kutoa kafara kishirikina zote hizo ni njia za kufungua nguvu za asili (natural power)
ni maamuzi yako utumie njia gani
wale watenda maovu usione wanafanikiwa, wale tayari wamesha kubari kushirikiana na shetani na anawazidishia ili wazidi kuamini ktk uovu na kuzidi kuwa wafuasi nguvu nyeusi za asili
Halafu mizimu yao ikashindwa kuwaokoa? Ni lini tutajifunza kuwaona wanadamu kuwa ni walewale licha ya rangi na tofauti zingine kama hali, hadhi na jiografia?Hao wanaounda hivyo ulivyo zungumzia...walitukuta tuna Farasi na punda...vitu vyetu vya asili vyote wameondoka navyo wametuletea vitu vyao vyenye madhara makubwa kweli kweli...!
Sio kwamba atuwezi kuunda sisi tulikuwa na technology pana wakoloni wakaiua kwa kuwaua Babu zetu...! Leo hii Bado sisi ni watumwa isipo kuwa mtumwa Mimi ni mtumwa nilie huru...!
Mpumbavu husema moyoni mwake, hakuna Mungu.Ndugu zangu niwasalimu kwa jina la mizimu ya mababu wema walio itunza asili ya kiafrika, mizimu iwalaani mababu waovu walio rubuniwa kupoteza uafrika na kutuletea Imani za ajabu zisizo kuwa na matokeo...!
Kwenye maisha yangu niliwahi kutekwa na Imani ya dini Fulani ambayo kupitia mafundisho ya dini hiyo Kila nilicho wahi kuomba hakikuwahi kufanikiwa...ndani ya dini hiyo hiyo niliwahi kushuhudia watu washenzi, wafitini, wafilaji, wasengenyaji, wanaotembea na wake za watu tena wakiwa ni viongozi wa dini wenye nyazifa na vyeo vikubwa.
Kwa utafiti wangu nilio ufanya nimegundua Dini na Mungu ni vitu ambavyo havipo. Kuna watu nawajua tokea nakua Hadi Leo maisha Yao ni Duni😭😭😭
View attachment 3131826
Kuna watu nawajua tokea nakua Wana furaha na Wana enjoy maisha ila nyuma ya pazia ni wauzaji wakubwa wa madawa ya kulevya ambao Wana tuharibia kizazi chetu...nguvu kazi inapotea...!
Huyu mungu ni mungu gani aso na huruma...?
Niliwahi kupata changamoto Fulani kipindi nakua... changamoto hiyo ilipelekea Mimi kutaka kujiua bad enough nilijaribu kujiua two times kwa njia tofauti tofauti ikashindikana...! Niliwahi kujinyonga and I was experienced near death experience 😭😭😭😭
Second time nilikunywa sumu it wasn't work...!
{Nitazungumza next time kwanini nilifikia hatua ya kutaka kujiua commit suicide}
Kuna watu kwenye hii Dunia wanapitia mambo magumu sana ambayo hayaelezeki. Majority tunao waona Wana furaha they fake the smile nyuma ya pazia wengi Wana majuto na vilio vya sirini...! Huyu mungu mungu gani alie tuleta hapa Duniani tuteseke😭😭😭
Ina maana furaha ya mungu ni kutuona sisi tunateseka...?
Ndugu zangu nilicho kigundua kwa utafiti wangu mdogo ni kuwa siri ya mafanikio ya Kila mmoja ipo kwenye tarehe yake ya kuzaliwa ndio maana hata Yesu waliiona nyota yake kabla hajazaliwa.
Mimi na wewe tunateseka kwasababu atupendi kuifuatilia asili ya kwetu tuna kazi ya kuabudu mizimu ya mababu wa kizungu na kiarabu...ila mizimu yetu tumeiacha...!
Leo hii mtu akijiita NGOSHA anaonekana mjinga na mlugaluga...ila Michael au John ndio wanaonekana wajanja na wanao enda na wakati...!
View attachment 3131822
Hivi kweli sisi waafrika tumezidiwa akili kiasi hicho...hakuna kitabu hata kimoja Cha dini kinachoonyesha kuwa Afrika pamewahi kuwa na Nabii...ila watu wazuri na manabii wote wanatoka kwenye nchi zao😭😭😭
Mababu zetu wazuri wameitwa Mizimu...Babu wa kiyahudi na kiarabu yeye sio mzimu ni mtakatifu...!
Walitutesa sana...tukawachapa sana kiasili rejeeni vita za MajiMaji...na nyinginezo zilizo piganwa kijadi amini nawaambia wakoloni tuliwachapa tukawagala gaza...wazee wetu walikuwa wanalindwa na Mizimu mikali...!
Hiyo iliwapelekea wakoloni kurudi nyuma na kujipanga upya...wakatutengenezea Mungu wao tukasahau Matambiko yetu na Mizimu yetu...!
View attachment 3131825
Kwa hoja zangu hizo dhaifu natangaza rasmi Mimi sio muumini wa dini yoyote Ile na siku nikifa mnizike KIMILA
Kwa kweli ni hoja dhaifu kama ulivyohitimisha. Hongera sana kwa kutambua kwamba hoja zako ni dhaifu.Ndugu zangu niwasalimu kwa jina la mizimu ya mababu wema walio itunza asili ya kiafrika, mizimu iwalaani mababu waovu walio rubuniwa kupoteza uafrika na kutuletea Imani za ajabu zisizo kuwa na matokeo...!
Kwenye maisha yangu niliwahi kutekwa na Imani ya dini Fulani ambayo kupitia mafundisho ya dini hiyo Kila nilicho wahi kuomba hakikuwahi kufanikiwa...ndani ya dini hiyo hiyo niliwahi kushuhudia watu washenzi, wafitini, wafilaji, wasengenyaji, wanaotembea na wake za watu tena wakiwa ni viongozi wa dini wenye nyazifa na vyeo vikubwa.
Kwa utafiti wangu nilio ufanya nimegundua Dini na Mungu ni vitu ambavyo havipo. Kuna watu nawajua tokea nakua Hadi Leo maisha Yao ni Duni😭😭😭
View attachment 3131826
Kuna watu nawajua tokea nakua Wana furaha na Wana enjoy maisha ila nyuma ya pazia ni wauzaji wakubwa wa madawa ya kulevya ambao Wana tuharibia kizazi chetu...nguvu kazi inapotea...!
Huyu mungu ni mungu gani aso na huruma...?
Niliwahi kupata changamoto Fulani kipindi nakua... changamoto hiyo ilipelekea Mimi kutaka kujiua bad enough nilijaribu kujiua two times kwa njia tofauti tofauti ikashindikana...! Niliwahi kujinyonga and I was experienced near death experience 😭😭😭😭
Second time nilikunywa sumu it wasn't work...!
{Nitazungumza next time kwanini nilifikia hatua ya kutaka kujiua commit suicide}
Kuna watu kwenye hii Dunia wanapitia mambo magumu sana ambayo hayaelezeki. Majority tunao waona Wana furaha they fake the smile nyuma ya pazia wengi Wana majuto na vilio vya sirini...! Huyu mungu mungu gani alie tuleta hapa Duniani tuteseke😭😭😭
Ina maana furaha ya mungu ni kutuona sisi tunateseka...?
Ndugu zangu nilicho kigundua kwa utafiti wangu mdogo ni kuwa siri ya mafanikio ya Kila mmoja ipo kwenye tarehe yake ya kuzaliwa ndio maana hata Yesu waliiona nyota yake kabla hajazaliwa.
Mimi na wewe tunateseka kwasababu atupendi kuifuatilia asili ya kwetu tuna kazi ya kuabudu mizimu ya mababu wa kizungu na kiarabu...ila mizimu yetu tumeiacha...!
Leo hii mtu akijiita NGOSHA anaonekana mjinga na mlugaluga...ila Michael au John ndio wanaonekana wajanja na wanao enda na wakati...!
View attachment 3131822
Hivi kweli sisi waafrika tumezidiwa akili kiasi hicho...hakuna kitabu hata kimoja Cha dini kinachoonyesha kuwa Afrika pamewahi kuwa na Nabii...ila watu wazuri na manabii wote wanatoka kwenye nchi zao😭😭😭
Mababu zetu wazuri wameitwa Mizimu...Babu wa kiyahudi na kiarabu yeye sio mzimu ni mtakatifu...!
Walitutesa sana...tukawachapa sana kiasili rejeeni vita za MajiMaji...na nyinginezo zilizo piganwa kijadi amini nawaambia wakoloni tuliwachapa tukawagala gaza...wazee wetu walikuwa wanalindwa na Mizimu mikali...!
Hiyo iliwapelekea wakoloni kurudi nyuma na kujipanga upya...wakatutengenezea Mungu wao tukasahau Matambiko yetu na Mizimu yetu...!
View attachment 3131825
Kwa hoja zangu hizo dhaifu natangaza rasmi Mimi sio muumini wa dini yoyote Ile na siku nikifa mnizike KIMILA
Mbona hatumuoni Mungu akirusha ngumiHuu uzi upo kwa ajili ya kugombanisha watu na Mungu.
Mkuu hao mizimu ndio wameumba dunia? Au nao nisehemu ya uumbaji?Mizimu ipo iliwalinda Babu zetu...inatulinda na sisi pia...!
Suala la kuumbwa ni mtambuka,hakuna muumbaji na ikiwa yupo basi naye atakuwa na muumbaji wake naye muumbaji wake atakuwa na muumbaji wake.............Sasa kama dini it wasn't work wewe una uhakika unajua hata umeumbwa na nani?.