Umechanganya lugha,kama ulilenga mimi nisome,sijakuelewa kabisaKwa nini useme kwamba kila kilichopo (Mungu akiwemo), lazima kiwe na chanzo? Is there no possibility of having chanzoless Chanzo?
Why shouldn't God be uncaused Cause? Is it impossible or simply counterintuitive?
Umeandika vizuri japo hasira imepelekea kuchanganya hoja. Dini zipo (kusanyiko la watu liaminilo jambo fulani). Kuhusu uwepo wa Mungu si hoja ya kujadili kati ya waamini na wasio amini. Mambo ya imani yataendelea kuwepo mpaka ukweli utakapo dhihiri. Ukiwauliza waumini watakwambia imeandikwa, fungua kitabu fulani. Lakini kuna mistari kamwe haisomwi kwenye mkusanyiko wa waumini, yana uongo ambao hata mtoto hawezi kukubali. Maendeleo ya science yakifika kiwango kikubwa uelewa kwa watu utaongezeka na kupata majibu ya maswali mengi yaliyokosa majibu enzi hizo na kubuniwa Mungu.Ndugu zangu niwasalimu kwa jina la mizimu ya mababu wema walio itunza asili ya kiafrika, mizimu iwalaani mababu waovu walio rubuniwa kupoteza uafrika na kutuletea Imani za ajabu zisizo kuwa na matokeo...!
View attachment 3132230
Kwenye maisha yangu niliwahi kutekwa na Imani ya dini Fulani ambayo kupitia mafundisho ya dini hiyo Kila nilicho wahi kuomba hakikuwahi kufanikiwa...ndani ya dini hiyo hiyo niliwahi kushuhudia watu washenzi, wafitini, wafilaji, wasengenyaji, wanaotembea na wake za watu tena wakiwa ni viongozi wa dini wenye nyazifa na vyeo vikubwa.
Kwa utafiti wangu nilio ufanya nimegundua Dini na Mungu ni vitu ambavyo havipo. Kuna watu nawajua tokea nakua Hadi Leo maisha Yao ni Duni😭😭😭
View attachment 3131826
Kuna watu nawajua tokea nakua Wana furaha na Wana enjoy maisha ila nyuma ya pazia ni wauzaji wakubwa wa madawa ya kulevya ambao Wana tuharibia kizazi chetu...nguvu kazi inapotea...!
Huyu mungu ni mungu gani aso na huruma...?
Niliwahi kupata changamoto Fulani kipindi nakua... changamoto hiyo ilipelekea Mimi kutaka kujiua bad enough nilijaribu kujiua two times kwa njia tofauti tofauti ikashindikana...! Niliwahi kujinyonga and I was experienced near death experience 😭😭😭😭
Second time nilikunywa sumu it wasn't work...!
{Nitazungumza next time kwanini nilifikia hatua ya kutaka kujiua commit suicide}
Kuna watu kwenye hii Dunia wanapitia mambo magumu sana ambayo hayaelezeki. Majority tunao waona Wana furaha they fake the smile nyuma ya pazia wengi Wana majuto na vilio vya sirini...! Huyu mungu mungu gani alie tuleta hapa Duniani tuteseke😭😭😭
Ina maana furaha ya mungu ni kutuona sisi tunateseka...?
Ndugu zangu nilicho kigundua kwa utafiti wangu mdogo ni kuwa siri ya mafanikio ya Kila mmoja ipo kwenye tarehe yake ya kuzaliwa ndio maana hata Yesu waliiona nyota yake kabla hajazaliwa.
Mimi na wewe tunateseka kwasababu atupendi kuifuatilia asili ya kwetu tuna kazi ya kuabudu mizimu ya mababu wa kizungu na kiarabu...ila mizimu yetu tumeiacha...!
Leo hii mtu akijiita NGOSHA anaonekana mjinga na mlugaluga...ila Michael au John ndio wanaonekana wajanja na wanao enda na wakati...!
View attachment 3131822
Hivi kweli sisi waafrika tumezidiwa akili kiasi hicho...hakuna kitabu hata kimoja Cha dini kinachoonyesha kuwa Afrika pamewahi kuwa na Nabii...ila watu wazuri na manabii wote wanatoka kwenye nchi zao😭😭😭
Mababu zetu wazuri wameitwa Mizimu...Babu wa kiyahudi na kiarabu yeye sio mzimu ni mtakatifu...!
Walitutesa sana...tukawachapa sana kiasili rejeeni vita za MajiMaji...na nyinginezo zilizo piganwa kijadi amini nawaambia wakoloni tuliwachapa tukawagala gaza...wazee wetu walikuwa wanalindwa na Mizimu mikali...!
Hiyo iliwapelekea wakoloni kurudi nyuma na kujipanga upya...wakatutengenezea Mungu wao tukasahau Matambiko yetu na Mizimu yetu...!
View attachment 3131825
Kwa hoja zangu hizo dhaifu natangaza rasmi Mimi sio muumini wa dini yoyote Ile na siku nikifa mnizike KIMILA
Kwani kweli alikuanayo hayo majini?Nakumbuka zamani nipo mdogo baba angu alinambia sheikh fulani ni wa kumwogopa sana coz anafuga majini na yanamsaidia kwenye kila kitu.
Nilikuja pigwa na butwaa nilipomkuta barabarani ananyeshewa na mvua chapachapa na akaniomba tushee mwamvuli wangu huku ananiuliza kama nimesikia ngurumo za radi.
NIKAYADHARAU MAJINI YAKE
Angalia na hii:Wengi wanaoamini Mungu yupo ni either kwa kuwa wanaogopa kuchomwa moto (kama walivyotishwa na wachungaji tokea utotoni) au wana uwezo mdogo wa kufikiria mambo kwa kina.
Pia, waamini wengi hawajawahi kusoma chochote kinachohusu dini zao nje ya yale yaliyo nje ya vitabu vyao vya kidini. Kwa kifupi, wana upeo mdogo sana wa mambo ya dini.
Unaongea kuisifia sayansi kana kwamba yenyewe ndiyo imeumba? Ni sawa na kuitukuza fizikia eti kwa sababu roketi imepaa angani. Nonsense!Maendeleo ya science yakifika kiwango kikubwa uelewa kwa watu utaongezeka na kupata majibu ya maswali mengi yaliyokosa majibu enzi hizo na kubuniwa Mungu.
Nguvu za uvutano (gravity), umewahi kuziona? Lakini zipo au hazipo? Niambie tena wanaoamini vitu fulani vipo na hawajawahi kuviona ni vichaa.Kichaa mkubwa ni yule anae amini kitu ambacho hajawai kukiona...!
Ukweli ni kwamba hayupo. Upotofu ni kuamini yupo wakati hauwezi kuthibitisha uwepo wake.Angalia na hii:
Wengi wanaoamini Mungu hayupo ni ama wanadhani kwa kuung'ang'ania huo upotofu mno, basi kiaina utageuka kuwa ukweli.
Atheist na agnostic hawafundishwi toka utotoni! Wanafundishwa wapi?(kama walivyofundishwa na wanafalsafa wapagani tokea utotoni mwao).
Mtu anayefahamu kuhusu mungu mmoja wa dini mmoja kati ya maelfu ya dini na miungu duniani ana uelewa finyu mno. Huwezi linganisha na mtu aliyechukua muda wake na kufanya upembuzi wa dhana za dini mbalimbali kwa kina.au wana uelewa mdogo kiakili; au yote mawili kwa pamoja.
Mlikuwa wapagani wapi wakati akili zinafunguka mshabatizwa nakuwa indoctrinated?Pia wanadhani waumini hawajui kuhusu dhana potofu za dini au kwamba hawakuwahi kuwa wapagani kama wao kabla hawajaongoka.
Kwa kifupi watu wa dini wengi wapi ndani ya mfumo ulioundwa kuwadhibiti, hawajawahi kujihoji kuhusu wanachoamini na wanaogopa hata kuwaza against Imani zao wakisema ni kukufuru.Kwa kifupi wanajidanganya na kudanganyika.
Bora hata niliamini Jua Lina matokeo yanayoonekana ila kuhusu swala la Mungu ni mtambuka sanaKwahyo mtoa mada hyo pumzi unayovuta umepewa na mizimu ya kwenu? Umewahi kuuliza mizimu yako kwanini ipo hvo?Umewahi kuuliza mizimu yako kwanini jua linachomoza mashariki na kuzama magharibi kupelekea usiku na mchana je inaweza kubadili jua kuchomoza magharibi?Umewahi kuuliza mizimu yako inauwezo wa kuzuia kifo?Usijifunze sehemu moja hebu jifunze na kwingine upate uhalisia ulivo.
God doesn't exist.... without research no right to speakKama ulikuwa unamwamini Mungu na unashindwa kuamini kuamini katika uwezo wako hapo ulikosea
God exist
But you need to get involved in things you love and being responsible for ur life 100%
We IDD haupo serious tulia Mungu na anatendaGod doesn't exist.... without research no right to speak
Kaka Bora ungewekeza kwenye kilimo kinge kulipa kuliko kutoa SADAka...! Bora ungewapa masikini Moja kwa Moja wange kushukuru na universe ingekuridishia fadhira...!Mkuu umechagua sehemu sahihi.
Kuna kipindi nilikuwa mlevi wa dini, nilikuwa mtoa sadaka mzuri sana mpaka leo nazijutia hela zangu bora ningenunua hata nyama nikawape mbwa mitaani
Nipo seriously ila mungu asio itika akiitwa simtaki...na simtambui nitaiabudu mizimu tu...!We IDD haupo serious tulia Mungu na anatenda
This is Crazy 😳God died many years ago
Haya mambo yanafikirisha sana mi naona Kila mtu abaki na mtazamo wakeNdugu zangu niwasalimu kwa jina la mizimu ya mababu wema walio itunza asili ya kiafrika, mizimu iwalaani mababu waovu walio rubuniwa kupoteza uafrika na kutuletea Imani za ajabu zisizo kuwa na matokeo...!
View attachment 3132230
Kwenye maisha yangu niliwahi kutekwa na Imani ya dini Fulani ambayo kupitia mafundisho ya dini hiyo Kila nilicho wahi kuomba hakikuwahi kufanikiwa...ndani ya dini hiyo hiyo niliwahi kushuhudia watu washenzi, wafitini, wafilaji, wasengenyaji, wanaotembea na wake za watu tena wakiwa ni viongozi wa dini wenye nyazifa na vyeo vikubwa.
Kwa utafiti wangu nilio ufanya nimegundua Dini na Mungu ni vitu ambavyo havipo. Kuna watu nawajua tokea nakua Hadi Leo maisha Yao ni Duni😭😭😭
View attachment 3131826
Kuna watu nawajua tokea nakua Wana furaha na Wana enjoy maisha ila nyuma ya pazia ni wauzaji wakubwa wa madawa ya kulevya ambao Wana tuharibia kizazi chetu...nguvu kazi inapotea...!
Huyu mungu ni mungu gani aso na huruma...?
Niliwahi kupata changamoto Fulani kipindi nakua... changamoto hiyo ilipelekea Mimi kutaka kujiua bad enough nilijaribu kujiua two times kwa njia tofauti tofauti ikashindikana...! Niliwahi kujinyonga and I was experienced near death experience 😭😭😭😭
Second time nilikunywa sumu it wasn't work...!
{Nitazungumza next time kwanini nilifikia hatua ya kutaka kujiua commit suicide}
Kuna watu kwenye hii Dunia wanapitia mambo magumu sana ambayo hayaelezeki. Majority tunao waona Wana furaha they fake the smile nyuma ya pazia wengi Wana majuto na vilio vya sirini...! Huyu mungu mungu gani alie tuleta hapa Duniani tuteseke😭😭😭
Ina maana furaha ya mungu ni kutuona sisi tunateseka...?
Ndugu zangu nilicho kigundua kwa utafiti wangu mdogo ni kuwa siri ya mafanikio ya Kila mmoja ipo kwenye tarehe yake ya kuzaliwa ndio maana hata Yesu waliiona nyota yake kabla hajazaliwa.
Mimi na wewe tunateseka kwasababu atupendi kuifuatilia asili ya kwetu tuna kazi ya kuabudu mizimu ya mababu wa kizungu na kiarabu...ila mizimu yetu tumeiacha...!
Leo hii mtu akijiita NGOSHA anaonekana mjinga na mlugaluga...ila Michael au John ndio wanaonekana wajanja na wanao enda na wakati...!
View attachment 3131822
Hivi kweli sisi waafrika tumezidiwa akili kiasi hicho...hakuna kitabu hata kimoja Cha dini kinachoonyesha kuwa Afrika pamewahi kuwa na Nabii...ila watu wazuri na manabii wote wanatoka kwenye nchi zao😭😭😭
Mababu zetu wazuri wameitwa Mizimu...Babu wa kiyahudi na kiarabu yeye sio mzimu ni mtakatifu...!
Walitutesa sana...tukawachapa sana kiasili rejeeni vita za MajiMaji...na nyinginezo zilizo piganwa kijadi amini nawaambia wakoloni tuliwachapa tukawagala gaza...wazee wetu walikuwa wanalindwa na Mizimu mikali...!
Hiyo iliwapelekea wakoloni kurudi nyuma na kujipanga upya...wakatutengenezea Mungu wao tukasahau Matambiko yetu na Mizimu yetu...!
View attachment 3131825
Kwa hoja zangu hizo dhaifu natangaza rasmi Mimi sio muumini wa dini yoyote Ile na siku nikifa mnizike KIMILA
Wewe hutamani kuwa kama wao...! Ebu nionyeshe nyumba ya Ibada ambayo haihubiri SADAka niwe naenda...!Tatizo linalokusumbua ni uchanga katika imani.
Hao wachungaji kuwa hivyo ni Mungu mwenyewe kaamua ila nawao walipitia Maisha magumu kama hao wa chini.
Wamepanda hapo kwasababu ya Mungu.
Mungu hayupo...!Ha
Haya mambo yanafikirisha sana mi naona Kila mtu abaki na mtazamo wake