Nauponda sana upinzani ila nikitaka kuisifu CCM nafsi yangu inanisuta

Nauponda sana upinzani ila nikitaka kuisifu CCM nafsi yangu inanisuta

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Ukweli ni kwamba tuna aina ya upinzani dhaifu sana katika nchi yetu, upinzani ambao huoni mwelekeo wake katika siku za hivi karibuni ama siku nyingi zijazo.

Jambo hili linaniumiza sana moyo wangu kama mtanzania mzalendo mpenda nchi, kwani naamini kwamba bila upinzani madhubuti ni nadra kufikia ubora.

Matukio yanayoendelea kwenye vyama vya upinzani Kwa sasa yanafuta matumaini kwamba Kuna wakati tutakuja kupata vyama imara vyenye maono ya kuongoza mapambano dhidi ya mifumo kandamizi iliyopo sasa.

Nikifikia kuwaza hivyo naanza kujaribiwa kuwa niwasifie na kuwaunga mkono ccm.

Hata hivyo nafsi inanisuta sana kutokana na mambo ambayo hadi leo ningeyatarajia chini ya uongozi madhubuti yangekuwa yameshafanyika, ila kutokana na ulegelege kukosa maono nk hayo mambo hayajafanyika.

Kwakweli nilitarajia kutokana na ardhi tuliyojaaliwa, hali ya hewa ya kuridhishi, mito, mabonde mazuri, maziwa, mabwawa, bahati, misitu nk. Tungekuwa tunalisha ukanda wote wa Africa mashariki na kati Kwa 100%.

Laiti kama ccm ingefanya kazi yake ya kuisimamia serikali sawa sawa na kuja na maono ya kuisukuma nchi kimaendeleo, hakuna bidhaa inayotoka kwenye kilimo ingeagizwa na hao jirani zetu kutoka sehemu nyingine ya dunia isipokuwa Tanzania.

Kwakweli nilitarajia kutokana na utulivu tulio nao na hizo zinazoitwa siasa safi, maliasili tulizo nazo, nchi yetu ingekuwa inaongoza kwa mbali sana miongoni mwa majirani zetu wa Africa mashariki na kati katika kupokea watali wengi Kila mwaka.

Kwa kweli nilitarajia kutokana na rasilimali watu tuliyo jaaliwa kama CCM ingefanya kazi yake ya kuisimamia serikali sawa sawa nchi yetu ingekuwa inaongoza kwa mbali sana katika kutoa vipaji vinavyo Tisha sana Kwa bara zima la Africa, lakini hali ni tofauti kabisa kwani katika Kila mchezo tunaoshiriki wachezaji wetu huenda kuwasindikiza majirani mwaka baada ya mwaka.

Tulitakiwa tuongoze
Kiuchumi.
Kielimu
Kimichezo
Kimiundombinu
Kisanaa
Kiteknolijia
Kibiashasha
Kwenye kilimo, uvuvi, ufugaji, madini, viwanda, utalii, na mengine mengi

Kusema kweli sisi kama nchi tuna Kila sababu ya kuwa super power ya Africa mashariki na kati Kwa kuanzia lakini pia super power ya Africa nzima katika Kila kitu.

Tatizo letu tuna chama legevu. Hapa ndipo nawaza naishiwa pozi kabisa.

Huwa nikimkuta mtu anaisifia CCM ananiudhi sana.
 
Kila siku huwa unasema upinzani dhaifu, lakini kinachowafanya wawe dhaifu hukisemi.

Ni kama vile unalalamika kila siku unalo tatizo usilojua chanzo chake, ndio maana unachanganyikiwa, na kichwa kitaendelea kukuuma tu.
 
Maendeleao hayana chama , achana na mambo ya vyama penda nchi yako.
Kwenye vyama utakutana na wasaliti waliochangamka akina Lisu
 
Ukweli ni kwamba tuna aina ya upinzani dhaifu sana katika nchi yetu, upinzani ambao huoni mwelekeo wake katika siku za hivi karibuni ama siku nyingi zijazo.

Jambo hili linaniumiza sana moyo wangu kama mtanzania mzalendo mpenda nchi, kwani naamini kwamba bila upinzani madhubuti ni nadra kufikia ubora.

Matukio yanayoendelea kwenye vyama vya upinzani Kwa sasa yanafuta matumaini kwamba Kuna wakati tutakuja kupata vyama imara vyenye maono ya kuongoza mapambano dhidi ya mifumo kandamizi iliyopo sasa.

Nikifikia kuwaza hivyo naanza kujaribiwa kuwa niwasifie na kuwaunga mkono ccm.

Hata hivyo nafsi inanisuta sana kutokana na mambo ambayo hadi leo ningeyatarajia chini ya uongozi madhubuti yangekuwa yameshafanyika, ila kutokana na ulegelege kukosa maono nk hayo mambo hayajafanyika.

Kwakweli nilitarajia kutokana na ardhi tuliyojaaliwa, hali ya hewa ya kuridhishi, mito, mabonde mazuri, maziwa, mabwawa, bahati, misitu nk. Tungekuwa tunalisha ukanda wote wa Africa mashariki na kati Kwa 100%.

Laiti kama ccm ingefanya kazi yake ya kuisimamia serikali sawa sawa na kuja na maono ya kuisukuma nchi kimaendeleo, hakuna bidhaa inayotoka kwenye kilimo ingeagizwa na hao jirani zetu kutoka sehemu nyingine ya dunia isipokuwa Tanzania.

Kwakweli nilitarajia kutokana na utulivu tulio nao na hizo zinazoitwa siasa safi, maliasili tulizo nazo, nchi yetu ingekuwa inaongoza kwa mbali sana miongoni mwa majirani zetu wa Africa mashariki na kati katika kupokea watali wengi Kila mwaka.

Kwa kweli nilitarajia kutokana na rasilimali watu tuliyo jaaliwa kama ccm ingefanya kazi yake ya kuisimamia serikali sawa sawa nchi yetu ingekuwa inaongoza kwa mbali sana katika kutoa vipaji vinavyo Tisha sana Kwa bara zima la Africa, lakini hali ni tofauti kabisa kwani katika Kila mchezo tunaoshiriki wachezaji wetu huenda kuwasindikiza majirani mwaka baada ya mwaka.

Tulitakiwa tuongoze
Kiuchumi.
Kielimu
Kimichezo
Kimiundombinu
Kisanaa
Kiteknolijia
Kibiashasha
Kwenye kilimo, uvuvi,ufugaji,madini,viwanda,utalii, na mengine mengi

Kusema kweli sisi kama nchi tuna Kila sababu ya kuwa super power ya Africa mashariki na kati Kwa kuanzia lakini pia super power ya Africa nzima katika Kila kitu.

Tatizo letu tuna chama legevu.
Hapa ndipo nawaza naishiwa pozi kabisa.

Huwa nikimkuta mtu anaisifia ccm ananiudhi sana.
Umechoka kuwadanyanya raia. Nafsi yako inakusuta na bado. Kwa hiyo wewe ni mpiga debe gari lijae liondoke. Unakesha kituoni na Mia mia kila daladala ikipita.

Wewe waambie ulioona waache mauwongo, chuki na ubinafsi kwanza na waache roho mbaya za kisheni ili nchi yetu ifunguke.

Tunakushukuru kwa kuyaona na ukatubu. Karibu kwenye kundi la Raia wenye hekima na busara tumwondoe shetani na mambo yake yote tujenga nchi yetu.
 
Kila siku huwa unasema upinzani dhaifu, lakini kinachowafanya wawe dhaifu hukisemi..

Ni kama vile unalalamika kila siku unalo tatizo usilojua chanzo chake, ndio maana unachanganyikiwa, na kichwa kitaendelea tu kukuuma.
Nafika mahali najiuliza hivi hawa viongozi walisoma shule na kufundishwa na walimu hao hao waliotufundosha au walikuwa na madarasa yao uwongo na hizo chuki. Na ndiyo maana tunasikia PHD zinagawiwa.

Tuzidi kumwomba mungu amwondoe huyo ibilisi ili watanzania wajitambue na wafanyakazi kwa ajili ya kuokoa kizazi kijacho.
 
Unalalamika kuwa kuna upinzani dhaifu, ila wapinzani wa nchi hii hawashindani kwa sheria za kisiasa zilizopo nchini, bali wanapambana na nguvu za dola. Na wakiamua kufanya siasa kwa kulazimisha wanaishia kubambikiwa kesi za ugaidi, za mauaji nk, kisha mahakama inaagizwa na serikali namna ya kuendesha hizo kesi. Wakati wa uchaguzi tunaona wazi CCM wakibebwa, huku wapinzani wakihujumiwa waziwazi.

Kama kuna chama dhaifu nchi hii basi ni CCM,maana hicho kinapata upendeleo wa kila hali, mpaka inatumia raslimali za umma kufanya shughuli zake za kichama, na bado kinashinwa kufikia malengo tarajiwa. Ukitaka kuwalaumu wapinzani waachwe wafanye siasa kwa mujibu wa sheria, na wala hawahitaji hisani yoyote kisha uje utoe mrejesho.
 
Kusema ukweli nachukizwa na watu wanaosema kuwa Tanzania tuna upinzani dhaifu,au wale wanaosema wapinzani hawajawa tayari kushika Dola.Kwa makusudi wanajifanya hawaoni nguvu inayotumiwa na serikali ya ccm kuhakikisha hakuna uwanja sawa wa kufanya siasa hapa Tanzania.Akina Shaka wanazurura nchi nzima wakifanya mikutano,je Mbowe na wenzake wanaweza kufanya hivyo bila kukamatwa na kufunguliwa kesi?
Ni mtu aliyejitoa ufahamu au mwanaccm tu ndiye anaweza kuleta madai ya upinzani dhaifu .Vinginevyo mada kama hizi huwa zinalenga kukatishana tamaa tu.
 
CCM unayotaka kuisifia👇
 
Ukweli ni kwamba tuna aina ya upinzani dhaifu sana katika nchi yetu, upinzani ambao huoni mwelekeo wake katika siku za hivi karibuni ama siku nyingi zijazo.

Jambo hili linaniumiza sana moyo wangu kama mtanzania mzalendo mpenda nchi, kwani naamini kwamba bila upinzani madhubuti ni nadra kufikia ubora.

Matukio yanayoendelea kwenye vyama vya upinzani Kwa sasa yanafuta matumaini kwamba Kuna wakati tutakuja kupata vyama imara vyenye maono ya kuongoza mapambano dhidi ya mifumo kandamizi iliyopo sasa.

Nikifikia kuwaza hivyo naanza kujaribiwa kuwa niwasifie na kuwaunga mkono ccm.

Hata hivyo nafsi inanisuta sana kutokana na mambo ambayo hadi leo ningeyatarajia chini ya uongozi madhubuti yangekuwa yameshafanyika, ila kutokana na ulegelege kukosa maono nk hayo mambo hayajafanyika.

Kwakweli nilitarajia kutokana na ardhi tuliyojaaliwa, hali ya hewa ya kuridhishi, mito, mabonde mazuri, maziwa, mabwawa, bahati, misitu nk. Tungekuwa tunalisha ukanda wote wa Africa mashariki na kati Kwa 100%.

Laiti kama ccm ingefanya kazi yake ya kuisimamia serikali sawa sawa na kuja na maono ya kuisukuma nchi kimaendeleo, hakuna bidhaa inayotoka kwenye kilimo ingeagizwa na hao jirani zetu kutoka sehemu nyingine ya dunia isipokuwa Tanzania.

Kwakweli nilitarajia kutokana na utulivu tulio nao na hizo zinazoitwa siasa safi, maliasili tulizo nazo, nchi yetu ingekuwa inaongoza kwa mbali sana miongoni mwa majirani zetu wa Africa mashariki na kati katika kupokea watali wengi Kila mwaka.

Kwa kweli nilitarajia kutokana na rasilimali watu tuliyo jaaliwa kama ccm ingefanya kazi yake ya kuisimamia serikali sawa sawa nchi yetu ingekuwa inaongoza kwa mbali sana katika kutoa vipaji vinavyo Tisha sana Kwa bara zima la Africa, lakini hali ni tofauti kabisa kwani katika Kila mchezo tunaoshiriki wachezaji wetu huenda kuwasindikiza majirani mwaka baada ya mwaka.

Tulitakiwa tuongoze
Kiuchumi.
Kielimu
Kimichezo
Kimiundombinu
Kisanaa
Kiteknolijia
Kibiashasha
Kwenye kilimo, uvuvi,ufugaji,madini,viwanda,utalii, na mengine mengi

Kusema kweli sisi kama nchi tuna Kila sababu ya kuwa super power ya Africa mashariki na kati Kwa kuanzia lakini pia super power ya Africa nzima katika Kila kitu.

Tatizo letu tuna chama legevu.
Hapa ndipo nawaza naishiwa pozi kabisa.

Huwa nikimkuta mtu anaisifia ccm ananiudhi sana.
Acha yote.
 
Kila siku huwa unasema upinzani dhaifu, lakini kinachowafanya wawe dhaifu hukisemi.

Ni kama vile unalalamika kila siku unalo tatizo usilojua chanzo chake, ndio maana unachanganyikiwa, na kichwa kitaendelea tu kukuuma.
Kwa kweli udhaifu wao na upeo mdogo wa kupambana na chama tawala, maana ikiwa wazeee wetu waliweza kuubana ukoloni hadi ukasalimu amri hawa wapinzani wanaosubiri huruma za ccm wangethubutu kupambana na mzungu?
 
Kusema ukweli nachukizwa na watu wanaosema kuwa Tanzania tuna upinzani dhaifu,au wale wanaosema wapinzani hawajawa tayari kushika Dola.Kwa makusudi wanajifanya hawaoni nguvu inayotumiwa na serikali ya ccm kuhakikisha hakuna uwanja sawa wa kufanya siasa hapa Tanzania.Akina Shaka wanazurura nchi nzima wakifanya mikutano,je Mbowe na wenzake wanaweza kufanya hivyo bila kukamatwa na kufunguliwa kesi?
Ni mtu aliyejitoa ufahamu au mwanaccm tu ndiye anaweza kuleta madai ya upinzani dhaifu .Vinginevyo mada kama hizi huwa zinalenga kukatishana tamaa tu.
Kama unafuatilia siasa za wenzetu Uganda ambao mazingira ya kisiasa ni magumu sana lakini bado upinzani unapambana Kwa namna ambayo Kila mtu anajua hawa jamaa wamemaanisha wanachokifanya.
Hawa wapinzani wetu wanaobadilika badilika Kila kukicha mara unakuta wanapiga picha na wakuu wa ccm ikulu ni ngumu sana kuwaelewa kwamba wamekusudia kuleta upinzani.
 
Unalalamika kuwa kuna upinzani dhaifu, ila wapinzani wa nchi hii hawashindani kwa sheria za kisiasa zilizopo nchini, bali wanapambana na nguvu za dola. Na wakiamua kufanya siasa kwa kulazimisha wanaishia kubambikiwa kesi za ugaidi, mauji, kisha mahakama inaagizwa na serikali namna ya kuendesha hizo kesi. Wakati wa uchaguzi tunaona wazi CCM wakibebwa, huku wapinzani wakihujumiwa waziwazi.

Kama kuna chama dhaifu nchi hii basi ni CCM,maana hicho kinapata upendeleo wa kila hali, mpaka inatumia raslimali za umma kufanya shughuli zake za kichama, na bado kinashinwa kufikia malengo tarajiwa. Ukitaka kuwalaumu wapinzani waachwe wafanye siasa kwa mujibu wa sheria, na wala hawahitaji hisani yoyote kisha uje utoe mrejesho.
Kuilaumu ccm Kwa udhaifu wa upinzani ni sawa na Simba kuilaumu yanga Kwa madhaifu yanayoendelea clubuni hapo. Wao wanatakiwa kupambana kibabe sana hadi. ccm iombe sio kuiomba ccm ilegeze makali
 
Kwa kweli udhaifu wao na upeo mdogo wa kupambana na chama tawala, maana ikiwa wazeee wetu waliweza kuubana ukoloni hadi ukasalimu amri hawa wapinzani wanaosubiri huruma za ccm wangethubutu kupambana na mzungu?

Wapinzani wakiamua kupambana kwa namna unavyosema ww, nyie ndio mnakuwa wa kwanza kusema wanaharibu amani ya nchi, na mnashia kusema kwanini wasiheshimu sheria za nchi? Wakoloni pamoja na ushenzi wao walikuwa wanaheshimu mifumo.
 
Kama unafuatilia siasa za wenzetu Uganda ambao mazingira ya kisiasa ni magumu sana lakini bado upinzani unapambana Kwa namna ambayo Kila mtu anajua hawa jamaa wamemaanisha wanachokifanya.
Hawa wapinzani wetu wanaobadilika badilika Kila kukicha mara unakuta wanapiga picha na wakuu wa ccm ikulu ni ngumu sana kuwaelewa kwamba wamekusudia kuleta upinzani.

Huko Uganda wapinzani wangekuwa na nguvu ya kupambana hivyo usemavyo, Museveni angekaa madarakani zaidi ya miaka 30?
 
Kuilaumu ccm Kwa udhaifu wa upinzani ni sawa na Simba kuilaumu yanga Kwa madhaifu yanayoendelea clubuni hapo. Wao wanatakiwa kupambana kibabe sana hadi. ccm iombe sio kuiomba ccm ilegeze makali

Mfano wako wa simba na Yanga wala hauendani na kinachoendelea kwenye siasa za upinzani. Ni wapi umeona simba ikishindana na Yanga kisha vyombo vya dola vikawa upande wa timu moja. Kwa mfano huu inaonekana wala huelewi unaongea nini.

CCM ilitakiwa ifanye huo uhuni wake bila kupata upendeleo wa vyombo vya dola. Kisha tuone wapinzani wakichemsha. Hapa unaona kabisa CCM ikizidiwa, vyombo vya dola ndio vinatumika kuumiza wapinzani wasio na silaha.
 
Muwe MNAONA aibu mkuu!!

Upinzani unaochapwa Risasi,kuuawa na kesi za kusingiziwa kibao unataka wafanye Nini!?

Yaani vyombo vya ulinzi na USALAMA vyote vina kadi ya CCM KWA kuiunga mkono unataka nini!!?

Wamevumilia hadi WENGINE wameshindwa wamefika bei wangefanyaje!!?

Wewe ungekuwa KIONGOZI wa upinzani ungefanyaje!!!?

Tuache unafiki ungefanyaje!!?

"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba Mpya"
 
Wapinzani wakiamua kupambana kwa namna unavyosema ww, nyie ndio mnakuwa wa kwanza kusema wanaharibu amani ya nchi, na mnashia kusema kwanini wasiheshimu sheria za nchi? Wakoloni pamoja na ushenzi wao walikuwa wanaheshimu mifumo.
Kama hali ni hiyo wapo pale kufanya nini si wastaafu siasa ijulukane nchi haina upinzani ili tuanze upya kudai demokrasia kuliko kuwa na wapinzani ambao wana uhakika kuwa hawafurukuti
 
Muwe MNAONA aibu mkuu!!

Upinzani unaochapwa Risasi,kuuawa na kesi za kusingiziwa kibao unataka wafanye Nini!?

Yaani vyombo vya ulinzi na USALAMA vyote vina kadi ya CCM KWA kuiunga mkono unataka nini!!?

Wamevumilia hadi WENGINE wameshindwa wamefika bei wangefanyaje!!?

Wewe ungekuwa KIONGOZI wa upinzani ungefanyaje!!!?

Tuache unafiki ungefanyaje!!?

"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba Mpya"
Wajifute Kwa nini watudanganye kwamba ni wapinzani wakati wanajua fika kwamba mazingira hayaruhusu wao kufanya siasa nani kawalazimisha? Au wako pale Kwa maslahi mapana ya ccm kama COVID 19 walivyo bungeni?
 
Back
Top Bottom