Nauza Magauni ya mtumba, jumla 2500 hadi 3000. Unapata gauni kali
Tanzania tupo nyuma sana kwenye biashara za online ,unaweka tangazo hapa la kuuza biadhaa halafu halina picha ,mtu akitaka picha unamwambia akutext whatsapp ,seriously???
Yan ni wajinga sana hawa watoto.
Badala ya ku post picha anaanza kujib comments zingine halaf picha haweki.
Huyu nina was was ana biashara nyingine huyu akuvute inbox umtext akutumie picha za kipochi unyevu plas 50k round 1 kusini mabondeni 150k😂
 
Tanzania tupo nyuma sana kwenye biashara za online ,unaweka tangazo hapa la kuuza biadhaa halafu halina picha ,mtu akitaka picha unamwambia akutext whatsapp ,seriously???
Huwa inakata stimu balaa, mtu anapost hata insta kitu unapendaaa, unauliza bei anakuambia njoo whatsapp 🤦🤦 nikijibiwa hivyo naendelea na mambo mengine.

Biashara ikishakua na njoo huku, njoo inbox inakera
 
Katika kumkosoa MTU tujitahidi kutumia "Constructive criticism" na sio "destructive criticism"

Maana mtoa mada sifikirii Kama Ana exposure ya kutosha kuhusu huu mtandao wa JF.

Hivyo yeye lengo lake halikuwa baya Sana Ila mkimwelekeza itakuwa vizuri na sio kumponda.

JF watu hupendelea kuweka privacy Sana .

Hivyo kumuelekeza mtoa post kuhusu digital marketing kuielewa , digital marketing itamsaidia zaidi .
 
Hellow wapendwa nauza nguo za mtumba kali Magauni na tops kali pia.

-Magauni jumla utapata kuanzia sh 2000, 2500 tu hadi 3000 guys vigauni vizuri mnoo ambayo ukienda kuuza unapata faida kama unataka kuanza biashara karibu
Nauza magauni kwa reja reja pia kuanzia sh elfu 7000 hadi 15000.

Tuhamie kwenye tops au vishazi, guy unapata tops jumla kwa bei kuanzia elfu 1500 tu hadi 2000 tu imagine quality inazingatiwa karibu WhatsApp nitakuonesha mifano ya nguo, jamani hutojuta nguo ni nzuri njoo WhatsApp: 0625056158

Kama wewe ni mdada au mkaka una mtaji mdogo na hujui ufanye nini na una passion ya kuuza nguo karibu tufanye biashara.
Unauza nguo za marahemu???? Ni ujinga sana kununua mtumba. Ningekuwa na mamlaka ningepiga marufuku biashara ya nguo za marehemu
 
Unauza nguo za marahemu???? Ni ujinga sana kununua mtumba. Ningekuwa na mamlaka ningepiga marufuku biashara ya nguo za marehemu
Sad for you that huna mamlaka pole kama huvai ni wewe acha wengne waishi watakavyo lol 😂
 
Back
Top Bottom