Nauza Magauni ya mtumba, jumla 2500 hadi 3000. Unapata gauni kali
Sad for you that huna mamlaka pole kama huvai ni wewe acha wengne waishi watakavyo lol 😂
Ni ujinga sana kuendekeza kuvaa nitumba. Pamba tunayo inakuwaje tuvae mitumba????? Nchi yetu imebarikiwa kila kitu unaenda kuleta nguo za marehemu na mamizimu ya wazungu shiti kabisa.
 
Hello dear kwa wadada wanaopenda kupendeza au kama unataka fanya biashara ya nguo usisite kuniagiza mimi nauza vitu vizuri kuanzia tops, dresses na skirts bei poa jumla na reja reja karibuni
Tops bei ya jumla kuanzia 1500 hadi 2000
Skirt bei ya jumla kuanzia 2000 hadi 3000
Vigauni kuanzia 2500 hadi 4000 ( inategemea na aina za gauni )
Karibuni naweka picha hapo chini ya mifano baadhi ya tops tunazouza tunazingatia quality karibuni
IMG_3934.jpeg
IMG_3846.jpeg
IMG_3841.jpeg
IMG_3833.jpeg
IMG_3825.jpeg
IMG_3985.png
IMG_3981.png
IMG_3984.png
 

Attachments

  • IMG_3983.png
    IMG_3983.png
    1.6 MB · Views: 2
Hello dear kwa wadada wanaopenda kupendeza au kama unataka fanya biashara ya nguo usisite kuniagiza mimi nauza vitu vizuri kuanzia tops, dresses na skirts bei poa jumla na reja reja karibuni
Tops bei ya jumla kuanzia 1500 hadi 2000
Skirt bei ya jumla kuanzia 2000 hadi 3000
Vigauni kuanzia 2500 hadi 4000 ( inategemea na aina za gauni )
Karibuni naweka picha hapo chini ya mifano baadhi ya tops tunazouza tunazingatia quality karibuniView attachment 3140902View attachment 3140904View attachment 3140905View attachment 3140906View attachment 3140908View attachment 3140913View attachment 3140915View attachment 3140916
Cute
 
Huwa inakata stimu balaa, mtu anapost hata insta kitu unapendaaa, unauliza bei anakuambia njoo whatsapp 🤦🤦 nikijibiwa hivyo naendelea na mambo mengine.

Biashara ikishakua na njoo huku, njoo inbox inakera

Yes wakileta njoo whatsapp jua hapo hakuna mfanyabiashara either ni Tapeli(both me/ke) au kama ke(anadanga anatafuta vichwa) au kama me(Gasho).
 
Yan ni wajinga sana hawa watoto.
Badala ya ku post picha anaanza kujib comments zingine halaf picha haweki.
Huyu nina was was ana biashara nyingine huyu akuvute inbox umtext akutumie picha za kipochi unyevu plas 50k round 1 kusini mabondeni 150k😂

100% correct ,ana biashara nyingine huyo si unajua tena wabongo kwa kuendekeza ngono anajua mtu akienda PM lazima wataanza kurushia nyavu watasahau lengo la biashara.
 
Hello dear kwa wadada wanaopenda kupendeza au kama unataka fanya biashara ya nguo usisite kuniagiza mimi nauza vitu vizuri kuanzia tops, dresses na skirts bei poa jumla na reja reja karibuni
Tops bei ya jumla kuanzia 1500 hadi 2000
Skirt bei ya jumla kuanzia 2000 hadi 3000
Vigauni kuanzia 2500 hadi 4000 ( inategemea na aina za gauni )
Karibuni naweka picha hapo chini ya mifano baadhi ya tops tunazouza tunazingatia quality karibuniView attachment 3140902View attachment 3140904View attachment 3140905View attachment 3140906View attachment 3140908View attachment 3140913View attachment 3140915View attachment 3140916

Ndiyo biashara inavyopaswa kuwa ,mtu akipenda kitu ndiyo anakuja PM mwenyewe si kwa kumlazimisha kuomba picha.
 
Kama nguo mnavaaga za 1500, 2000 kwann mntaka kuhongwa elf 50 na kuendelea, hii chenji 48,000 mnapeleka wap au na nyie mnahonga chenji zetu eh.

Ila maafisa utamu bwana top ya sh 2000, iphone 14 na birkin bag! Usiulize kavitoa wapi..
 
Hellow guys unamaliza chuo kazi hamna naomba mnisapport mm kijana mwenzenu
Kama wewe ni mjasiliamali mdogo na unataka kuuza nguo na unataka nikupeleke kutafuta nguo nzuri za mtumba karibu nikuhudumie
Magauni bei inaanzia 500 hadi 4000 tu
Sket kuanzia 500 - 3000
Na tops na shirts ni kuanzia 300 au 500-2000
Tishirt kuanzia 2000
Karibuni jaman natoa huduma ya kukupeleka au kukuelekeza jins ya kuoata nguo nzuri hata ukitaka nikusaidie kuchagua kama upo mkoani karibu - 0625056158 whatsapp/calls
 
hey wapendwa
Kama unataka nguo za kuuza au za familia au za kupeleka vijijini karibuni natoa huduma za kwenda kukuonesha machimbo utakopata nguo kali
Magauni kuanzia 1000 hadi 3000
Sket unapata kuanzia 500 hadi 3000
Toos na vishati unapata kuanzia 300 au 500 hadi 2000
Karibuni sana ukitaka nikupeleke na kukusaidia kuchagua njoo inbox au whasapp au nipigie 0625056158
 
Back
Top Bottom