Right Way In Light
JF-Expert Member
- Jul 27, 2024
- 1,322
- 3,461
Yan ni wajinga sana hawa watoto.Tanzania tupo nyuma sana kwenye biashara za online ,unaweka tangazo hapa la kuuza biadhaa halafu halina picha ,mtu akitaka picha unamwambia akutext whatsapp ,seriously???
Huko wasapu mtu atakuja kucomfirm oda kama karidhia, weka kila kitu hapa, itapendeza.Akija wasap ndo atatumiwa picha atachagua yeye anazionaje shida iko wapi hapo
Nshakutumia ingia wasapHuko wasapu mtu atakuja kucomfirm oda kama karidhia, weka kila kitu hapa, itapendeza.
Ndio ulikua unapiga video call kunionesha? Nlikua sehemu mbaya 😹Nshakutumia ingia wasap
Naam ndio mimi picha zinakuja 😅Ndio ulikua unapiga video call kunionesha? Nlikua sehemu mbaya 😹
Huwa inakata stimu balaa, mtu anapost hata insta kitu unapendaaa, unauliza bei anakuambia njoo whatsapp 🤦🤦 nikijibiwa hivyo naendelea na mambo mengine.Tanzania tupo nyuma sana kwenye biashara za online ,unaweka tangazo hapa la kuuza biadhaa halafu halina picha ,mtu akitaka picha unamwambia akutext whatsapp ,seriously???
Pole dear kama nimekukera jaman samahani sanaHuwa inakata stimu balaa, mtu anapost hata insta kitu unapendaaa, unauliza bei anakuambia njoo whatsapp 🤦🤦 nikijibiwa hivyo naendelea na mambo mengine.
Biashara ikishakua na njoo huku, njoo inbox inakera
Tulia man...Nguo ambazo amevaa mzungu akazitipa na kuzileta afrika kama mtumba sitakuja kuzivaa.
Kuwa na amani dada mzuri, ichukulie lesson tu ufanye maboresho katika biashara yako.....kila laheri dearPole dear kama nimekukera jaman samahani sana
acha uchawi kwenye biashara ya watu.....kama hauvai si upite tuNguo ambazo amevaa mzungu akazitipa na kuzileta afrika kama mtumba sitakuja kuzivaa.
Unauza nguo za marahemu???? Ni ujinga sana kununua mtumba. Ningekuwa na mamlaka ningepiga marufuku biashara ya nguo za marehemuHellow wapendwa nauza nguo za mtumba kali Magauni na tops kali pia.
-Magauni jumla utapata kuanzia sh 2000, 2500 tu hadi 3000 guys vigauni vizuri mnoo ambayo ukienda kuuza unapata faida kama unataka kuanza biashara karibu
Nauza magauni kwa reja reja pia kuanzia sh elfu 7000 hadi 15000.
Tuhamie kwenye tops au vishazi, guy unapata tops jumla kwa bei kuanzia elfu 1500 tu hadi 2000 tu imagine quality inazingatiwa karibu WhatsApp nitakuonesha mifano ya nguo, jamani hutojuta nguo ni nzuri njoo WhatsApp: 0625056158
Kama wewe ni mdada au mkaka una mtaji mdogo na hujui ufanye nini na una passion ya kuuza nguo karibu tufanye biashara.
Anatafuta namba zao.Tanzania tupo nyuma sana kwenye biashara za online ,unaweka tangazo hapa la kuuza biadhaa halafu halina picha ,mtu akitaka picha unamwambia akutext whatsapp ,seriously???
Hako ka gauni la purple rain kamemwagika vzr, kanampendezamtu mwenye mzigo mkubwaPole dear kama nimekukera jaman samahani sana