Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Ni humidifier au dehumidifier maana zina tofauti?Humidifier mpya 100k
Kindle reader for adults with full ebbok 200k ( nilinunua ebay $220).
Kind reader for kids with its pink cover 70k ( ina vitabu vya watoto na unaweza weka vitabu vingine).
LG Tall boy speaker 4 nahitaji 120k.
Core i3 desktop haina hddisk 150k.
Monitors zote mbili 100k
Smart hand scanner mpya 50k
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi vitakufaa? Ni brand newMkuu kama una viti au meza pulizi
Ndiyo. Isije tu ikawa vina mauzauza ya kilingeni.Hivi vitakufaa? Ni brand newView attachment 2446690
Ha ha ha 50K kwa kimoja dukani ni 60KNdiyo. Isije tu ikawa vina mauzauza ya kilingeni.
Unaviuzaje?
Ha ha ha 50K kwa kimoja dukani ni 60KNdiyo. Isije tu ikawa vina mauzauza ya kilingeni.
Unaviuzaje?
Hii free, unapata chanel zipi? Mfano DStv zote?Wakuu bado napambana nakimbiliaa deadline...
Naomba mdau anayehitajii Dish kubwa la Free to Air pamoja na receiver zake mbili na LNB mbili
Nahitaji laki mbili 200k only
Ukiona vinakufaa tafadhalii njoo uchukue
Nb: ( iwapo kuna house hold items yoyote utakuwa na uhitaji nayo tafadhalii niulizee kwa dharula niliyonayo chochote ambacho kitahitajika na ninacho nitakuuzia
Nicheki kwenye pm.
Au mawasiliano 0713498825View attachment 2446554View attachment 2446556View attachment 2446557View attachment 2446558
Sent using Jamii Forums mobile app
Boss sina maelekezo mengi kwenye hilii ..ila kwa ufupi kama mtumiajii tu wa kawaida na sio fundi..fta sattellite dish kazi yake ni kunasa free subscription channels..hivyo fundi anajuaa je ni sattelite ipi yenye free channels nyingi hivyo atakufungia dish lako katika uelekeo wa hiyo sattellite ....hivyo kama Dstv nao watakuwa na free subscription channels katika hiyo sattelite basi utazipata.Hii free,unapata chanel zipi?mfano dstv zote?
Nenda nhif zinaanzia 192,000 Kwa mwakaNimekufata mkuu kwenye bima yako ya uhakika uliyoniitia kwa mbwembwe zote unaishia kuniambiaa inaanza kuwa active baada ya mwaka mmoja.....Nimejikuta nimeshindwa kuvumilia aisee ili member wengine wenye changamoto wasikukimbilie wakidhani kuna unafuu wowote kama unavyojinasibu kwenye posti yako hapo.
Asante kwa ushauri Ndugu....hiyo hatua imeshapita.Nenda nhif zinaanzia 192,000 Kwa mwaka
Asaante mkuu kitanda double decker niliyoitangaza imeshalipiwaWeka picha ya kitanda hapa mkuu. Wahi kabla hela sijaila
Asante Boss, napambana nahitaji pesa kabla ya tarehe 20 Dec.Hiyo. HP laptop kama ikifika before 24 th dec. Ntainunua maana nakusanya haps kidogi kidogo
Asante Boss,napambana nahitaji pesa kabla ya tarehe 20 Dec.
Kitandaa tayari kimeuzwa Boss.Vp ktand bado kipo