Nawaalika warembo wa kula nao bata

nime kutrace IP address yako kumbe uko hapa hapa Bongo.....lakini si mbaya mkuu...kama kweli una umatemate nitakupa mademu wawili tu wa mwananyamala utarudi hoi
 
Nasikia mombasa, wanaume upewa hela, alafu wanakuja bongo kula bata chafu kabisa.
 
Kitu cha bure tu hakipo,huezi tumia Pesa ya mtu bila sababu inabid anaseme anataka nn kwa hao wanawake 10

Naeza enda Alafu kesho yake nijikute sina Figo moja[emoji23][emoji23]
Kweli kabisaa
 
Wewe ndo umenena vyema sana! Cha mtu kinaliwa na mtu bhn chuma kinaliwa na kutu!! Eti dunia ya leo mtu anakwambia ataibiwa figo moja as if hyo figo unaivua kama chupi!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbavu zanguuuuu!!!
 
Utume kabisa na ya kutolea.....
 
Ukiwaita hivi wanajivutavuta ni sawa na umtumie 'mwizi' text umwambie leo mlango upo wazi kaibe .








Word "mwizi" is not there to insult you ladies.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…