Nawachukia Sana wanawake wapiga mizinga

Aisee tutafanyaje tena inabidi tuwavumilie tuu kama wanavotuvumilia sisi, kumbuka wao ndio mama zetu na Dada zetuπŸ˜…πŸ˜…

Ko umeamua kuniazishia uzi Superbug
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Hapana dear usiwaze hivyo Wala haihusiani na penzi letu hapa nimewazungumzia wale wa uswahilini jf hakuna wadada wa hivi. Stay safe mamy.
 
Yaani hii unaeza kuwa unamkusanyia mtu 50k weekly. Bado hamjaenda kupiga masanga na kitimoto. Kweli tumeubwa mateso!!
Kuna moja alikuwa anakuja kila nikipiga akitaka kurudi kwao nampiga na wekundu 5, lakini mwisho wa siku akasema mimi bahiri. Nikapiga chini
 
Tozo kila mahali.


Serikali iwape wanawake uagent wa TRA kukusanya Kodi
 
Kuwe na Kodi ya tongozo Basi iitwe wooing tax tujue moja tunalipa Kodi.
 
Ukiona demu anakupiga mizinga mingi hiyo ni dalili kuwa hakutaki na kama vipi huyo atakuletea umaskini tu, kaa nae chonjo
 
Wanaume tafuteni hela acheni kulalamika mapenzi ni kitu expensive sana, Sasa nyie mnapenda kitonga tu Yani buku tano unaaumia wakati wanaume wenzenu wanahonga Hadi magari, viwanja na hawalalamiki.
Tell them my daughter
 
Wanaume tafuteni hela acheni kulalamika mapenzi ni kitu expensive sana, Sasa nyie mnapenda kitonga tu Yani buku tano unaaumia wakati wanaume wenzenu wanahonga Hadi magari, viwanja na hawalalamiki.
Wacha weeee sasa 50/50 ipo wapi imnayoililia kila siku au inachagua baadhi vitu na maeneo, sometimes hawa wanawake wana harakati hawajui wanacho kipigania.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kumbe wengine huwa ni kukomoa si kwa raha zao?

Unataka kula kinyesi ukidhani unamkomoa kumbe Wengine ndio starehe yao[emoji848][emoji2827]
 
Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…